Watumishi wa TRA Waliochaji Rushwa ya Tsh 30 Billion, Kisha Kumfungulia Huyu Mama Kesi ya Uhujumu Uchumi, Washughulikiwe

Huo ni mtandao mrefu hadi Wizarani
 
Baada ya kuonyesha kuwa hana hizo fedha akatengenezewa mashtaka ya uhujumu uchumi. Waliosokia kikao cha PM wakamfutia shtaka la uhujumu uchumi. Na kisha usiku wa kuamkia mkutano wa PM wakamuita akatoe mzigo[emoji35][emoji35][emoji35]
 
Magufuli alikuwa akiwashughulikia hao kwa kuwatimua mnasema ana wivu na matajiri.

Mbwa kabisa
wewe magu kakuharibu akili sana,hapo kariakoo hizi vurugu za mikodi na task force yote yalianza kipindi cha magufuli na ndicho kipindi wazambia na wacongo wakaacha kuja kununua vitu k'koo,hao wacomoro waliobaki ndio basi jiografi na usafirishaji umekua mgumu kwao ndio maana wamekomaa na k'koo ila walishajaribu mombasa kule issue usafiri wa kwenda comoro ikawaangusha
 
Ni Tanzania ya kishenzi Kweli Kweli. Ma-CCM yanang'ang'ania Katiba ya Kishenzi na tunaongozwa kishenzi.
 
Baada ya kuonyesha kuwa hana hizo fedha akatengenezewa mashtaka ya uhujumu uchumi. Waliosokia kikao cha PM wakamfutia shtaka la uhujumu uchumi. Na kisha usiku wa kuamkia mkutano wa PM wakamuita akatoe mzigo[emoji35][emoji35][emoji35]
Naangalia hapa Azam, wanasema wamefanya uwekezaji wa Billion 30 kwa ajili ya matangazo ya mpira kwa kwa miaka kadhaa.
Moyoni nikasema mbona hiyo ni kodi ya mama mmoja muuza vitenge Kariakoo?
Yaani hao maafisa waliotumika kumbambika hiyo mama hiyo kodi kama bado leo wako ofisini basi wote tuseme kwa sauti kuu "sisi ni wajinga"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…