Uchaguzi 2020 Watumishi wa umma, chagua CCM 2020 yakukute ya wastaafu wa leo

Uchaguzi 2020 Watumishi wa umma, chagua CCM 2020 yakukute ya wastaafu wa leo

Kuna usemi katika vitabu vitakatifu usemao: Mna macho lakini hamuoni na mna masikio lakini hamsikii.

Hivi watumishi wa umma, yaani serikali, na mashirika yote mnafahamu kuwa leo mpo kazini na kesho hampo? Aidha kwa kustaafu, ulemavu, kufukuzwa au kuacha mwenyewe?

Siku zote mnaweka akiba kupitia mifuko ya jamii kama NSSF, GEPF, PPF nk ambayo sasa imeunganishwa kiubabaishaji.

Lengo la akiba hiyo ni kukufaa uzeeni au wakati utakapohitaji. Lakini sasa ni zaidi ya miaka miwili watu wamestaafu na wengine mikataba imeisha na hakuna mafao yalipwayo zaidi ya danadana, kwa nini?

Jibu ni fedha zao hazipo, serikali ya CCM imezikopa (au tuite kupora) na ndio maana inashindwa kulipa.

Je, wewe uliye kazini sasa, unakubali hali hiyo ije ikutokee wakati wako wa kutoka kazini ukifika?

Hakuna anayetaka hilo. Dawa ni moja tu, kuhakikisha CCM hairudi ofisini kuendelea na hadaa zake na kushindwa kuinua uchumi.

Kama mfanyakazi ambaye unayo nafasi ya kuikataa CCM, pia unayo nafasi ya kuwaelimisha wale wote waliokuzunguka kuikataa CCM na hata wazazi wako kama wako kijijini.

Vinginevyo ujue CCM ikiendelea kuwepo ndio kifo chako cha mapema wakati hao walio humo na familia zao wanazidi kuneemeka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna chama mbadala!
 
Kuna usemi katika vitabu vitakatifu usemao: Mna macho lakini hamuoni na mna masikio lakini hamsikii.

Hivi watumishi wa umma, yaani serikali, na mashirika yote mnafahamu kuwa leo mpo kazini na kesho hampo? Aidha kwa kustaafu, ulemavu, kufukuzwa au kuacha mwenyewe?

Siku zote mnaweka akiba kupitia mifuko ya jamii kama NSSF, GEPF, PPF nk ambayo sasa imeunganishwa kiubabaishaji.

Lengo la akiba hiyo ni kukufaa uzeeni au wakati utakapohitaji. Lakini sasa ni zaidi ya miaka miwili watu wamestaafu na wengine mikataba imeisha na hakuna mafao yalipwayo zaidi ya danadana, kwa nini?

Jibu ni fedha zao hazipo, serikali ya CCM imezikopa (au tuite kupora) na ndio maana inashindwa kulipa.

Je, wewe uliye kazini sasa, unakubali hali hiyo ije ikutokee wakati wako wa kutoka kazini ukifika?

Hakuna anayetaka hilo. Dawa ni moja tu, kuhakikisha CCM hairudi ofisini kuendelea na hadaa zake na kushindwa kuinua uchumi.

Kama mfanyakazi ambaye unayo nafasi ya kuikataa CCM, pia unayo nafasi ya kuwaelimisha wale wote waliokuzunguka kuikataa CCM na hata wazazi wako kama wako kijijini.

Vinginevyo ujue CCM ikiendelea kuwepo ndio kifo chako cha mapema wakati hao walio humo na familia zao wanazidi kuneemeka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umeandika vizuri Je nichama gani ambacho wewe unakiona kinaweza endesha nch
 
Kwa hiyo unashaurije? Maana CCM imeshindwa na unaona hakuna chama mbadala na haiwezekani kuendelea na walioshindwa maana ni kuelekea kwenye kifo chetu!
Au unashauri itumike njia ya Sudan?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sanduku la kura ndio muamuzi oktoba njia ya kidemokrasia kama umechoka hamia huko ulikokutaja!
 
Sisiemu ni kichomi, wapinzani wote hasa CHADEMA ni matapeli wakubwa sasa sijui tutafanyaje daa!
 
Yani mtu amefanya kazi kwa miaka mingi huku akikatwa na kuchangiwa na mwajiri wake kwa mujibu,
Sasa amestaafu badala ya kulipwa haki yake sasa anaambiwaje [emoji15][emoji15]

Mimi mbona naona kama ni kufikirika?!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna chama gani cha kuchaguliwa zaidi ya CCM?
Umeandika kama vile hao wanabeba asilimia kubwa ya kuamua matokeo.. pole yako.

Nendeni mkajipange sio kutisha na yenu..
 
Katika umri mtu anapokuwa amestaafu hapaswi kuwa na msongo wa mawazo.

Sasa kuchelewa kupata Mafao kwa wakati si itawazidishia zaidi msongo wa mawazo hao wazee wa watu?!

Nashauri wafikiriwe mara mbili


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna usemi katika vitabu vitakatifu usemao: Mna macho lakini hamuoni na mna masikio lakini hamsikii.

Hivi watumishi wa umma, yaani serikali, na mashirika yote mnafahamu kuwa leo mpo kazini na kesho hampo? Aidha kwa kustaafu, ulemavu, kufukuzwa au kuacha mwenyewe?

Siku zote mnaweka akiba kupitia mifuko ya jamii kama NSSF, GEPF, PPF nk ambayo sasa imeunganishwa kiubabaishaji.

Lengo la akiba hiyo ni kukufaa uzeeni au wakati utakapohitaji. Lakini sasa ni zaidi ya miaka miwili watu wamestaafu na wengine mikataba imeisha na hakuna mafao yalipwayo zaidi ya danadana, kwa nini?

Jibu ni fedha zao hazipo, serikali ya CCM imezikopa (au tuite kupora) na ndio maana inashindwa kulipa.

Je, wewe uliye kazini sasa, unakubali hali hiyo ije ikutokee wakati wako wa kutoka kazini ukifika?

Hakuna anayetaka hilo. Dawa ni moja tu, kuhakikisha CCM hairudi ofisini kuendelea na hadaa zake na kushindwa kuinua uchumi.

Kama mfanyakazi ambaye unayo nafasi ya kuikataa CCM, pia unayo nafasi ya kuwaelimisha wale wote waliokuzunguka kuikataa CCM na hata wazazi wako kama wako kijijini.

Vinginevyo ujue CCM ikiendelea kuwepo ndio kifo chako cha mapema wakati hao walio humo na familia zao wanazidi kuneemeka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Piga chini kijani
 
Kimsingi haihitaji degree kujua vile watumishi wanavyofiiria. Ila wamekuwa watulivu na wasikivu wakisikikiza kinachofuata.
Ila kwa machache yaliyofanyika ktk kipibdi hiki watumishi wamesahaulika. Hali zao Mbaya sana.

Naomba Serikali iwafikrie kwa huruma tu wastaafu. Wanasumbuliwa zaidi ya mwaka bila kupata chochote huku famioa zikiendelea kuadhirika na kukosa heshima mtaani. Wanakopa balaaa halafu hawalipi.
Serikali ihakikishe mtumishi unapokoma mshahara wake mwezi unaofuata apokee pension huku akisubiri burungutuambalo nalo hakuna sababu ya kusubiri mwaka mzima. Yaani wanataabika sana wkt Serikali yetu inasema na hela za kuwaza kuhudumia hata miezi 6

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • 2316672_uvccm.jpg
    2316672_uvccm.jpg
    20.8 KB · Views: 2
Mwalimu Mdoe amekufa kwa njaa akisotea mafao yake kwa miaka mitatu mfululizo bila mafanikio.

Namuomba Mwenyezi Mungu aipokee roho yake
Mdoe yupi huyo?Asije kuwa yule aliyenifundisha pale Wailes P/School,Temeke.

Mungu ampe pumziko la amani na wakati huo amlaaani Jiwe na washamba wenzake.
 
Back
Top Bottom