Uchaguzi 2020 Watumishi wa umma, chagua CCM 2020 yakukute ya wastaafu wa leo

Uchaguzi 2020 Watumishi wa umma, chagua CCM 2020 yakukute ya wastaafu wa leo

Chama tawala ni madudu. Chadema na vyama vingine vya upinzani ni madudu zaidi. Sasa sijui tukimbilie wapi Mana mpaka sasa tupo njia panda.

Sent using Jamii Forums mobile app


Unawezaje kusema kuwa vyama vingine vya upenzani ni madudu zaidi?

Je walishapewa nafasi ya uongozi waka ikikathibitika kuwa wameshindwa?

wapeni nafasi ya miaka 5 -10 tuone wataweza au watashindwa?!

Wakishindwa tutachagua kingine kama wanavyofanya nchi nyingine.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unawezaje kusema kuwa vyama vingine vya upenzani ni madudu zaidi?

Je walishapewa nafasi ya uongozi waka ikikathibitika kuwa wameshindwa?

wapeni nafasi ya miaka 5 -10 tuone wataweza au watashindwa?!

Wakishindwa tutachagua kingine kama wanavyofanya nchi nyingine.



Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu kama sio wife material sio lazima uoe ndio ujue hilo.
 
Tishia watu wote unao wafadhiri/wanao kutegemea kwa kuwapa conditions kuwa usipofanya hivi baadaye no ufadhiri wangu
 
Watumishi wa UMMA 99% ni CCM damu damu.Huwezi kuwatenganisha
 
Nani kama JPM? Hakuna, hao kina TL, Mbowe na Zito ni makuwadi, wamekwisha pumuliwa kwenye shigo zao wataweza kweli kuwaletea maendeleo Watanzania? Ukiona kiongozi anajiuzauza kwenye nchi za nje kama malaya kwenye bar muogope kama ukoma.
Nenda kwenye Maada..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unaweza ukajiuliza kwamba ni kweli ccm ni majizi yaan haifai kuendelea kuongoza lakini je usipo mpa ccm utampa nani unakuja kugundua watu wa kuwapa ety akina mbowe dah sijui tundulisu sijui zito kabwe hapan unaona bora ubaki tu ccm kwasababu upinzan hawako sereous na kuchukua inchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom