Acha kujipa stress bure. Wakichagua wewe ndio tuseme unayeumwa? Amini usiamini, wapo wengi tu watachagua.Unaumwa wewe kwa lipi yaani,kutopandishwa mishahara,vyeo,hakuna semina,kwenda nje nk. Huyo mtumishi atakayechagua ccm atakuwa mwehu
Sent using Jamii Forums mobile app
Plus ishu ya kikotooo yaani kukopwa hata kile kidogo ukitegemeacho.Kuna usemi katika vitabu vitakatifu usemao: Mna macho lakini hamuoni na mna masikio lakini hamsikii.
Hivi watumishi wa umma, yaani serikali, na mashirika yote mnafahamu kuwa leo mpo kazini na kesho hampo? Aidha kwa kustaafu, ulemavu, kufukuzwa au kuacha mwenyewe?
Siku zote mnaweka akiba kupitia mifuko ya jamii kama NSSF, GEPF, PPF nk ambayo sasa imeunganishwa kiubabaishaji.
Lengo la akiba hiyo ni kukufaa uzeeni au wakati utakapohitaji. Lakini sasa ni zaidi ya miaka miwili watu wamestaafu na wengine mikataba imeisha na hakuna mafao yalipwayo zaidi ya danadana, kwa nini?
Jibu ni fedha zao hazipo, serikali ya CCM imezikopa (au tuite kupora) na ndio maana inashindwa kulipa.
Je, wewe uliye kazini sasa, unakubali hali hiyo ije ikutokee wakati wako wa kutoka kazini ukifika?
Hakuna anayetaka hilo. Dawa ni moja tu, kuhakikisha CCM hairudi ofisini kuendelea na hadaa zake na kushindwa kuinua uchumi.
Kama mfanyakazi ambaye unayo nafasi ya kuikataa CCM, pia unayo nafasi ya kuwaelimisha wale wote waliokuzunguka kuikataa CCM na hata wazazi wako kama wako kijijini.
Vinginevyo ujue CCM ikiendelea kuwepo ndio kifo chako cha mapema wakati hao walio humo na familia zao wanazidi kuneemeka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena mapolisi na walimu ndio hawajitambui kabisa ccm haijawa na fadhila kwao lakini ndo wanaongoza kuisaidia kama wamerogwa vileAcha kujipa stress bure. Wakichagua wewe ndio tuseme unayeumwa? Amini usiamini, wapo wengi tu watachagua.
Kama wewe unaona haina fadhila kwao halafu wao wanaona ni bora waichague basi kubali kuna kitu kuhusu uhusiano wao haukijui. Labda wewe kwa kutojua sababu ndio haujitambui.Tena mapolisi na walimu ndio hawajitambui kabisa ccm haijawa na fadhila kwao lakini ndo wanaongoza kuisaidia kama wamerogwa vile
Wananufaika na nn wako hoi kilife kuliko muuza machungwa postaKama wewe unaona haina fadhila kwao halafu wao wanaona ni bora waichague basi kubali kuna kitu kuhusu uhusiano wao haukijui. Labda wewe kwa kutojua sababu ndio haujitambui.
Kama wao ndio wanaumia kwanini ulazimishe kuwaambia kuwa wanaumia wakati waumiaji ni wao?!?Wananufaika na nn wako hoi kilife kuliko muuza machungwa posta
Ni bora kuchagua wanunuzi manana wanao jiuza wamejishusha thamaniUmeamua kuchagua WANUNUZI....
Kidogo leo umeongea vizuri.Kuna usemi katika vitabu vitakatifu usemao: Mna macho lakini hamuoni na mna masikio lakini hamsikii.
Hivi watumishi wa umma, yaani serikali, na mashirika yote mnafahamu kuwa leo mpo kazini na kesho hampo? Aidha kwa kustaafu, ulemavu, kufukuzwa au kuacha mwenyewe?
Siku zote mnaweka akiba kupitia mifuko ya jamii kama NSSF, GEPF, PPF nk ambayo sasa imeunganishwa kiubabaishaji.
Lengo la akiba hiyo ni kukufaa uzeeni au wakati utakapohitaji. Lakini sasa ni zaidi ya miaka miwili watu wamestaafu na wengine mikataba imeisha na hakuna mafao yalipwayo zaidi ya danadana, kwa nini?
Jibu ni fedha zao hazipo, serikali ya CCM imezikopa (au tuite kupora) na ndio maana inashindwa kulipa.
Je, wewe uliye kazini sasa, unakubali hali hiyo ije ikutokee wakati wako wa kutoka kazini ukifika?
Hakuna anayetaka hilo. Dawa ni moja tu, kuhakikisha CCM hairudi ofisini kuendelea na hadaa zake na kushindwa kuinua uchumi.
Kama mfanyakazi ambaye unayo nafasi ya kuikataa CCM, pia unayo nafasi ya kuwaelimisha wale wote waliokuzunguka kuikataa CCM na hata wazazi wako kama wako kijijini.
Vinginevyo ujue CCM ikiendelea kuwepo ndio kifo chako cha mapema wakati hao walio humo na familia zao wanazidi kuneemeka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanavuna bila kupanda na kujisifu kwamba wanaweza!Kuna usemi katika vitabu vitakatifu usemao: Mna macho lakini hamuoni na mna masikio lakini hamsikii.
Hivi watumishi wa umma, yaani serikali, na mashirika yote mnafahamu kuwa leo mpo kazini na kesho hampo? Aidha kwa kustaafu, ulemavu, kufukuzwa au kuacha mwenyewe?
Siku zote mnaweka akiba kupitia mifuko ya jamii kama NSSF, GEPF, PPF nk ambayo sasa imeunganishwa kiubabaishaji.
Lengo la akiba hiyo ni kukufaa uzeeni au wakati utakapohitaji. Lakini sasa ni zaidi ya miaka miwili watu wamestaafu na wengine mikataba imeisha na hakuna mafao yalipwayo zaidi ya danadana, kwa nini?
Jibu ni fedha zao hazipo, serikali ya CCM imezikopa (au tuite kupora) na ndio maana inashindwa kulipa.
Je, wewe uliye kazini sasa, unakubali hali hiyo ije ikutokee wakati wako wa kutoka kazini ukifika?
Hakuna anayetaka hilo. Dawa ni moja tu, kuhakikisha CCM hairudi ofisini kuendelea na hadaa zake na kushindwa kuinua uchumi.
Kama mfanyakazi ambaye unayo nafasi ya kuikataa CCM, pia unayo nafasi ya kuwaelimisha wale wote waliokuzunguka kuikataa CCM na hata wazazi wako kama wako kijijini.
Vinginevyo ujue CCM ikiendelea kuwepo ndio kifo chako cha mapema wakati hao walio humo na familia zao wanazidi kuneemeka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watumishi wa umma ukiondoa wale wateule wa Rais na familia zao hatuwezi kurudia ujinga. Tumejifunza kwa miaka 4 sasa. Atachaguliwa na wakulima.
Kumbuka dana dana waliopigwa waastafu wa EAC kuhusu mafao baada ya kuvunjika jumuiya ya mwanzo. Siyo binaadamu hawa.
Kwa fikra zako potofu unadhani kwamba hao wote wakiikataa ccm,itashindwa kuingia ikulu?Je, wewe uliye kazini sasa, unakubali hali hiyo ije ikutokee wakati wako wa kutoka kazini ukifika?
Unakumbuka kauli ya JK kuhusu kura za wafanyakazi? Au ulikuwa bado mtoto?Kwa fikra zako potofu unadhani kwamba hao wote wakiikataa ccm,itashindwa kuingia ikulu?
Kuna usemi katika vitabu vitakatifu usemao: Mna macho lakini hamuoni na mna masikio lakini hamsikii.
Hivi watumishi wa umma, yaani serikali, na mashirika yote mnafahamu kuwa leo mpo kazini na kesho hampo? Aidha kwa kustaafu, ulemavu, kufukuzwa au kuacha mwenyewe?
Siku zote mnaweka akiba kupitia mifuko ya jamii kama NSSF, GEPF, PPF nk ambayo sasa imeunganishwa kiubabaishaji.
Lengo la akiba hiyo ni kukufaa uzeeni au wakati utakapohitaji. Lakini sasa ni zaidi ya miaka miwili watu wamestaafu na wengine mikataba imeisha na hakuna mafao yalipwayo zaidi ya danadana, kwa nini?
Jibu ni fedha zao hazipo, serikali ya CCM imezikopa (au tuite kupora) na ndio maana inashindwa kulipa.
Je, wewe uliye kazini sasa, unakubali hali hiyo ije ikutokee wakati wako wa kutoka kazini ukifika?
Hakuna anayetaka hilo. Dawa ni moja tu, kuhakikisha CCM hairudi ofisini kuendelea na hadaa zake na kushindwa kuinua uchumi.
Kama mfanyakazi ambaye unayo nafasi ya kuikataa CCM, pia unayo nafasi ya kuwaelimisha wale wote waliokuzunguka kuikataa CCM na hata wazazi wako kama wako kijijini.
Vinginevyo ujue CCM ikiendelea kuwepo ndio kifo chako cha mapema wakati hao walio humo na familia zao wanazidi kuneemeka.
Sent using Jamii Forums mobile app