Watumishi wa Umma kucheka au kulia

Watumishi wa Umma kucheka au kulia

Lile Jambo letu ktk TGTS kwa kuongeza kama ifuatavyo:

B - 62000
C - 60000
D - 55000
E - 50000
F - 45000
G - 30000
H - 25000
I -. 20000
Tunampongeza,kazi iendelee.

Ni vizuri kujua kilichopo kapuni[emoji12].

Kazi iendelee


#MaendeleoHayanaChama
 
Nisamehe baby wangu, navyokupenda sasa.
Kuna mtu alikuja kuniletea dharau huko juu, shida mpo wengi humu na wengine wamekua kama wehu. Nisamehe sana
❤️daa,we jamaa una ulimi laini balaa🥰 yaan moyo wangu umetulia ghafla,mihemko ya hasira imeniisha.😜aisee🙌
 
[emoji3590]daa,we jamaa una ulimi laini balaa[emoji3059] yaan moyo wangu umetulia ghafla,mihemko ya hasira imeniisha.[emoji12]aisee[emoji119]
Hayo ndio mambo sasa, Mimi na wewe tu. Navyokupenda hujui tu. Nakupenda alafu nakupenda tena
 
Kwa makusanyo gani hadi waje kumudu kulipa kiasi hicho
 
Lile Jambo letu ktk TGTS kwa kuongeza kama ifuatavyo:

B - 62000
C - 60000
D - 55000
E - 50000
F - 45000
G - 30000
H - 25000
I -. 20000
Tunampongeza,kazi iendelee.

Ni vizuri kujua kilichopo kapuni[emoji12].

Kazi iendelee


#MaendeleoHayanaChama

Hii ni baada ya makato yote?
 
tusisahau kuhesabiwa tarehe 23/8/2022.
Sensa kwa maendeleo yetu na vizazi vyetu.
 
Lile Jambo letu ktk TGTS kwa kuongeza kama ifuatavyo:

B - 62000
C - 60000
D - 55000
E - 50000
F - 45000
G - 30000
H - 25000
I -. 20000
Tunampongeza,kazi iendelee.

Ni vizuri kujua kilichopo kapuni[emoji12].

Kazi iendelee


#MaendeleoHayanaChama
Mkuu, hata hiyo 50 haijafika!

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom