Watumishi wa Umma, Mmeona Madhara ya kutotizimiza wajibu wenu eneo la kazi? Maumivu ni makubwa mno

Watumishi wa Umma, Mmeona Madhara ya kutotizimiza wajibu wenu eneo la kazi? Maumivu ni makubwa mno

Mama Kasema uchunguzi ufanyike, Mama huyu huyu alisema atatoa Mil 50 kila kijiji wakati akiwa Makamu
Najua baada ya kusoma yale makaratasi akiwa ughaibuni yaliishia pale pale

Kama angesikia wanu yule kibonge au Abdul ni miongoni mwalioangukiwa , I am pretty sure safari ingegeuziwa airport

WatAnzania angalieni viongozi mliokuwa nao

Very selfish
That woman is a confused daughter of Jezebel stuffed with power mongering attitude while holding a brainless head. Nchi imeharibika sana i dont trusy women in leadership despite the fact that men are bunch of thieves but better the devil you know than an angel you dont know.
 
Nimefuatilia kwa undani ishu ya Jengo la KKO, inside information ambazo sio RASMI zinaeleza kwamba Afisa alie process kibali cha gorofa lililokuwa likijengwa aliandaa ripoti na ilionesha hatari ambayo inaweza kujitokeza endapo some measures hazitochukuliwa wakati wa ujenzi:

Pamoja na mambo mengine, Afisa huyo alionesha distance kati ya Jengo na Jengo na umri wa gorofa la zamani na technolojia iloyotumika kusimamisha,

Aidha, taarifa ilikuwa na mambo mengi ambayo yaliweka vikwazo vya kuanza ujenzi mpya mpaka measure zichukuliwe prior.

Hizo messure ambazo zililenga kulinda jengo la awali, zilikuwa zinakwenda kuongeza set up cost ya ujenzi mpya. Report ilipofika kwa watia saini, some of the key issues vikawa ammended ili ujenzi utembee chap, that is to hear , 10% ikatembea .

in few days , without analysis….. kibali was out with explaination kwamba mbona majengo mengine yapo hivo na mambo yanaenda poa !!!!!!

Within 3 weeks …… the glory of old good days were remembered, kitu kikaitika, desk officer akabaki kuwa mshindi…….

The glory of old good days zimebaki kuwa vilio huku Rais wa nchi akiwa nje ya nchi, sadly hata uokoaji wenyewe unatupa maswali magumu kweli kweli , KODI NA MIKOPO MIKUBWA ITAKAYOIGHARIMU TAIFA ALONG THE WAY …. INAKWENDA WAPI???

Kwa uokoaji kama ule, mikopo na kodi zinakwenda wapi ? Au kuna chuma ulete hapo TZ ?

Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa

Mapendekezo;

Hatuwezi kuendelea kulia lia na kupambana na matatizo tuliyoyaunda sisi wenyewe. Halaf tukeshe kusema Mungu tusaidie na utulinde, thaï is madness, someone has to be responsable ;

1. Afisa aliyefanya feasibility study kwa kuangalia technical aspects na uwezekano wa kusimamisha jengo hilo bila ya kuleta environnemental impact achukuliwe kwa uchunguzi zaidi,

2. Watia saini waliotoa go ahead contrary na feasibility study report wachukuliwe kwa uchunguzi zaidi na hatua stahili

3 . Mmiliki wa jengo achukuliwe kwa Uchunguzi na hatua stahiki

4. Focal injinia anaeandaa script ya Ujenzi na roadmap ya eneo lote achukuliwe kwa uchunguzi na hatua stahiki

Ikionekana kuna uzembe ndani yake na viashiria vya rushwa, wahusika wote wafike kizimbani sambamba na kutoa fidia kwa wahanga ambayo ni bilions of money kulipa familia za wafiwa na wale wote walio athirika, list za hawa watu zipo mahospitalini, zichukuliwe hizo records na walipwe

Kama haya mambo mkiyapeleka kimya kimya…. Someone will always do blunders huku ikiwagharimu maisha wengine

TAKUKURU hili ni eneo lenu, mbona enzi ya Ngosha mlikuwa na meno makali sana, what did you do kwenye meno yenu ?

Dr Megalodon, Otawwa
Rushwa inagharimu maisha ya Watanzania na mali zao.
 
Hamna kitu, na kuunda tume ni waste of Time

Majibu yapo wazi kuwa Watanzania wameua watanzania wenzie kwa tamaaa ya fedha huku mamlaka husika zikifanya makusudi

Dereva wa nchi ameshapoteana
 
Nimefuatilia kwa undani ishu ya Jengo la KKO, inside information ambazo sio RASMI zinaeleza kwamba Afisa alie process kibali cha gorofa lililokuwa likijengwa aliandaa ripoti na ilionesha hatari ambayo inaweza kujitokeza endapo some measures hazitochukuliwa wakati wa ujenzi:

Pamoja na mambo mengine, Afisa huyo alionesha distance kati ya Jengo na Jengo na umri wa gorofa la zamani na technolojia iloyotumika kusimamisha,

Aidha, taarifa ilikuwa na mambo mengi ambayo yaliweka vikwazo vya kuanza ujenzi mpya mpaka measure zichukuliwe prior.

Hizo messure ambazo zililenga kulinda jengo la awali, zilikuwa zinakwenda kuongeza set up cost ya ujenzi mpya. Report ilipofika kwa watia saini, some of the key issues vikawa ammended ili ujenzi utembee chap, that is to hear , 10% ikatembea .

in few days , without analysis….. kibali was out with explaination kwamba mbona majengo mengine yapo hivo na mambo yanaenda poa !!!!!!

Within 3 weeks …… the glory of old good days were remembered, kitu kikaitika, desk officer akabaki kuwa mshindi…….

The glory of old good days zimebaki kuwa vilio huku Rais wa nchi akiwa nje ya nchi, sadly hata uokoaji wenyewe unatupa maswali magumu kweli kweli , KODI NA MIKOPO MIKUBWA ITAKAYOIGHARIMU TAIFA ALONG THE WAY …. INAKWENDA WAPI???

Kwa uokoaji kama ule, mikopo na kodi zinakwenda wapi ? Au kuna chuma ulete hapo TZ ?

Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa

Mapendekezo;

Hatuwezi kuendelea kulia lia na kupambana na matatizo tuliyoyaunda sisi wenyewe. Halaf tukeshe kusema Mungu tusaidie na utulinde, thaï is madness, someone has to be responsable ;

1. Afisa aliyefanya feasibility study kwa kuangalia technical aspects na uwezekano wa kusimamisha jengo hilo bila ya kuleta environnemental impact achukuliwe kwa uchunguzi zaidi,

2. Watia saini waliotoa go ahead contrary na feasibility study report wachukuliwe kwa uchunguzi zaidi na hatua stahili

3 . Mmiliki wa jengo achukuliwe kwa Uchunguzi na hatua stahiki

4. Focal injinia anaeandaa script ya Ujenzi na roadmap ya eneo lote achukuliwe kwa uchunguzi na hatua stahiki

Ikionekana kuna uzembe ndani yake na viashiria vya rushwa, wahusika wote wafike kizimbani sambamba na kutoa fidia kwa wahanga ambayo ni bilions of money kulipa familia za wafiwa na wale wote walio athirika, list za hawa watu zipo mahospitalini, zichukuliwe hizo records na walipwe

Kama haya mambo mkiyapeleka kimya kimya…. Someone will always do blunders huku ikiwagharimu maisha wengine

TAKUKURU hili ni eneo lenu, mbona enzi ya Ngosha mlikuwa na meno makali sana, what did you do kwenye meno yenu ?

Dr Megalodon, Otawwa
Itafahamika tu mbona afsa ametuma utetezi mapema sana!
 
Nimefuatilia kwa undani ishu ya Jengo la KKO, inside information ambazo sio RASMI zinaeleza kwamba Afisa alie process kibali cha gorofa lililokuwa likijengwa aliandaa ripoti na ilionesha hatari ambayo inaweza kujitokeza endapo some measures hazitochukuliwa wakati wa ujenzi:

Pamoja na mambo mengine, Afisa huyo alionesha distance kati ya Jengo na Jengo na umri wa gorofa la zamani na technolojia iloyotumika kusimamisha,

Aidha, taarifa ilikuwa na mambo mengi ambayo yaliweka vikwazo vya kuanza ujenzi mpya mpaka measure zichukuliwe prior.

Hizo messure ambazo zililenga kulinda jengo la awali, zilikuwa zinakwenda kuongeza set up cost ya ujenzi mpya. Report ilipofika kwa watia saini, some of the key issues vikawa ammended ili ujenzi utembee chap, that is to hear , 10% ikatembea .

in few days , without analysis….. kibali was out with explaination kwamba mbona majengo mengine yapo hivo na mambo yanaenda poa !!!!!!

Within 3 weeks …… the glory of old good days were remembered, kitu kikaitika, desk officer akabaki kuwa mshindi…….

The glory of old good days zimebaki kuwa vilio huku Rais wa nchi akiwa nje ya nchi, sadly hata uokoaji wenyewe unatupa maswali magumu kweli kweli , KODI NA MIKOPO MIKUBWA ITAKAYOIGHARIMU TAIFA ALONG THE WAY …. INAKWENDA WAPI???

Kwa uokoaji kama ule, mikopo na kodi zinakwenda wapi ? Au kuna chuma ulete hapo TZ ?

Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa

Mapendekezo;

Hatuwezi kuendelea kulia lia na kupambana na matatizo tuliyoyaunda sisi wenyewe. Halaf tukeshe kusema Mungu tusaidie na utulinde, thaï is madness, someone has to be responsable ;

1. Afisa aliyefanya feasibility study kwa kuangalia technical aspects na uwezekano wa kusimamisha jengo hilo bila ya kuleta environnemental impact achukuliwe kwa uchunguzi zaidi,

2. Watia saini waliotoa go ahead contrary na feasibility study report wachukuliwe kwa uchunguzi zaidi na hatua stahili

3 . Mmiliki wa jengo achukuliwe kwa Uchunguzi na hatua stahiki

4. Focal injinia anaeandaa script ya Ujenzi na roadmap ya eneo lote achukuliwe kwa uchunguzi na hatua stahiki

Ikionekana kuna uzembe ndani yake na viashiria vya rushwa, wahusika wote wafike kizimbani sambamba na kutoa fidia kwa wahanga ambayo ni bilions of money kulipa familia za wafiwa na wale wote walio athirika, list za hawa watu zipo mahospitalini, zichukuliwe hizo records na walipwe

Kama haya mambo mkiyapeleka kimya kimya…. Someone will always do blunders huku ikiwagharimu maisha wengine

TAKUKURU hili ni eneo lenu, mbona enzi ya Ngosha mlikuwa na meno makali sana, what did you do kwenye meno yenu ?

Dr Megalodon, Otawwa
Kwenye geti la chuo kikuu cha Cape Town nchini Afrika kusini kuna maandishi yasemayo; "Ukitaka kuangamiza taifa lolote duniani huhitaji kutumia silaha za nyuklia wala mabomu ya atomic. Njia nzuri ya kuangamiza taifa ni kuharibu mfumo wa elimu. Ruhusu "mbumbumbu" waonekane wamefaulu na wasonge mbele.

Matokeo yake yatajionesha baada ya muda, "mbumbumbu" hao wakishahitimu. Wagonjwa watafia mikononi mwa madaktari, majengo yataanguka mikononi mwa wahandisi, pesa zitapotelea mikononi mwa wachumi, utu utapotea mikononi mwa viongozi wa dini, na haki itapotelea mikononi mwa mahakimu. Kuchezea elimu ni kuangamiza taifa"
 
Kwenye geti la chuo kikuu cha Cape Town nchini Afrika kusini kuna maandishi yasemayo; "Ukitaka kuangamiza taifa lolote duniani huhitaji kutumia silaha za nyuklia wala mabomu ya atomic. Njia nzuri ya kuangamiza taifa ni kuharibu mfumo wa elimu. Ruhusu "mbumbumbu" waonekane wamefaulu na wasonge mbele.

Matokeo yake yatajionesha baada ya muda, "mbumbumbu" hao wakishahitimu. Wagonjwa watafia mikononi mwa madaktari, majengo yataanguka mikononi mwa wahandisi, pesa zitapotelea mikononi mwa wachumi, utu utapotea mikononi mwa viongozi wa dini, na haki itapotelea mikononi mwa mahakimu. Kuchezea elimu ni kuangamiza taifa"
Ni kweli kabisa
 
Na bado jamii, ikiongozwa na Mpwayungu Village, inaendelea kuwatukana, kuwadhalilisha na kuwakejeli Wataalamu wa Elimu (WALIMU). Mnayajua madhala yake?

Au kwavile hayaonekani kwa macho kama ghorofa lililoanguka, hivyo mnaona sawa wakidhalilishwa?
Mbona hili janga halina uhusiano na elimu.
Kwani hao wanaoboronga kazi na kusababisha maafa hawana elimu?
 
Kwenye geti la chuo kikuu cha Cape Town nchini Afrika kusini kuna maandishi yasemayo; "Ukitaka kuangamiza taifa lolote duniani huhitaji kutumia silaha za nyuklia wala mabomu ya atomic. Njia nzuri ya kuangamiza taifa ni kuharibu mfumo wa elimu. Ruhusu "mbumbumbu" waonekane wamefaulu na wasonge mbele.

Matokeo yake yatajionesha baada ya muda, "mbumbumbu" hao wakishahitimu. Wagonjwa watafia mikononi mwa madaktari, majengo yataanguka mikononi mwa wahandisi, pesa zitapotelea mikononi mwa wachumi, utu utapotea mikononi mwa viongozi wa dini, na haki itapotelea mikononi mwa mahakimu. Kuchezea elimu ni kuangamiza taifa"
Na hicho ndicho walichofanya hapa nchiini

Ova
 
1. Mmiliki wa Jengo yupo wapi?
NANI NI MMILIKI WAJENGO.
2. Ramani za jengo ziko wapi??
Uokozi bila Ramani.

3. Ghorofa nne watu wanaokolewa siku nne na sio moja. TAIFA LIMEOZA.

4. Selikali ipo Radhi kununua Mabomu, magali ya Jeshi nk kuizuia CHADEMA na Inashindwa KUNUNUA VIFAA VYA UOKOAJI kwa Raia wake.

5. Niffer amejipeleka Kituoni, Yuko wapi mmliki wa Jengo.

6. Je ni nani aliyetoa vibali vya kujenga na kubomoa anakamatwa Niffer.
TANZANIA YANGU MASIKINI

ZIMA MOTO NA UOKOAJI NI SAWA NA HAKUNA KITU ZERO KABISA.
JESHI LIVUNJWE HARAKA

KARIAKOO HAKUNA PAKING HAKUNA OPEN SPACE HATA MOJA

MAJENGO MENGI KARIAKOO YAMEOZA
 
Swali rahisi sana.
Mmiliki atakuwa ana kosa gani ikiwa atakuwa na vibali halali na kuwatumia waatalamu wa fani husika katika ujenzi wa jengo lake?
Tutaangalia watowaji wa hivyo vibali nao walifuata taratibu zote za utowaji wa hivyo vibali!? Yaani hapa lazima kuna watu watanaswa tu!!
 
Nimefuatilia kwa undani ishu ya Jengo la KKO, inside information ambazo sio RASMI zinaeleza kwamba Afisa alie process kibali cha gorofa lililokuwa likijengwa aliandaa ripoti na ilionesha hatari ambayo inaweza kujitokeza endapo some measures hazitochukuliwa wakati wa ujenzi:

Pamoja na mambo mengine, Afisa huyo alionesha distance kati ya Jengo na Jengo na umri wa gorofa la zamani na technolojia iloyotumika kusimamisha,

Aidha, taarifa ilikuwa na mambo mengi ambayo yaliweka vikwazo vya kuanza ujenzi mpya mpaka measure zichukuliwe prior.

Hizo messure ambazo zililenga kulinda jengo la awali, zilikuwa zinakwenda kuongeza set up cost ya ujenzi mpya. Report ilipofika kwa watia saini, some of the key issues vikawa ammended ili ujenzi utembee chap, that is to hear , 10% ikatembea .

in few days , without analysis….. kibali was out with explaination kwamba mbona majengo mengine yapo hivo na mambo yanaenda poa !!!!!!

Within 3 weeks …… the glory of old good days were remembered, kitu kikaitika, desk officer akabaki kuwa mshindi…….

The glory of old good days zimebaki kuwa vilio huku Rais wa nchi akiwa nje ya nchi, sadly hata uokoaji wenyewe unatupa maswali magumu kweli kweli , KODI NA MIKOPO MIKUBWA ITAKAYOIGHARIMU TAIFA ALONG THE WAY …. INAKWENDA WAPI???

Kwa uokoaji kama ule, mikopo na kodi zinakwenda wapi ? Au kuna chuma ulete hapo TZ ?

Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa

Mapendekezo;

Hatuwezi kuendelea kulia lia na kupambana na matatizo tuliyoyaunda sisi wenyewe. Halaf tukeshe kusema Mungu tusaidie na utulinde, thaï is madness, someone has to be responsable ;

1. Afisa aliyefanya feasibility study kwa kuangalia technical aspects na uwezekano wa kusimamisha jengo hilo bila ya kuleta environnemental impact achukuliwe kwa uchunguzi zaidi,

2. Watia saini waliotoa go ahead contrary na feasibility study report wachukuliwe kwa uchunguzi zaidi na hatua stahili

3 . Mmiliki wa jengo achukuliwe kwa Uchunguzi na hatua stahiki

4. Focal injinia anaeandaa script ya Ujenzi na roadmap ya eneo lote achukuliwe kwa uchunguzi na hatua stahiki

Ikionekana kuna uzembe ndani yake na viashiria vya rushwa, wahusika wote wafike kizimbani sambamba na kutoa fidia kwa wahanga ambayo ni bilions of money kulipa familia za wafiwa na wale wote walio athirika, list za hawa watu zipo mahospitalini, zichukuliwe hizo records na walipwe

Kama haya mambo mkiyapeleka kimya kimya…. Someone will always do blunders huku ikiwagharimu maisha wengine

TAKUKURU hili ni eneo lenu, mbona enzi ya Ngosha mlikuwa na meno makali sana, what did you do kwenye meno yenu ?

Dr Megalodon, Otawwa
Sio Watumishi wa Umma Bali Mkandarasi Huwa ana liability ya kuhakikisha ubora
 
1. Mmiliki wa Jengo yupo wapi?
NANI NI MMILIKI WAJENGO.
2. Ramani za jengo ziko wapi??
Uokozi bila Ramani.

3. Ghorofa nne watu wanaokolewa siku nne na sio moja. TAIFA LIMEOZA.

4. Selikali ipo Radhi kununua Mabomu, magali ya Jeshi nk kuizuia CHADEMA na Inashindwa KUNUNUA VIFAA VYA UOKOAJI kwa Raia wake.

5. Niffer amejipeleka Kituoni, Yuko wapi mmliki wa Jengo.

6. Je ni nani aliyetoa vibali vya kujenga na kubomoa anakamatwa Niffer.
TANZANIA YANGU MASIKINI

ZIMA MOTO NA UOKOAJI NI SAWA NA HAKUNA KITU ZERO KABISA.
JESHI LIVUNJWE HARAKA

KARIAKOO HAKUNA PAKING HAKUNA OPEN SPACE HATA MOJA

MAJENGO MENGI KARIAKOO YAMEOZA
Naambiwa lile eneo kwa sasa Linaharufu kali mno, wamezuia watu wasipite kabisa
Harufu eneo lile ni kali mno, that should tell you chini ya vifusi ni watu wengi wamelala chini

Kwa kweli Mungu awalinde , tunaserikali ya mchongo haijawqhi kutokea
Uokoaji kwa kutumia nyundo, sijawahi ona

Waliolala ni wengi
 
Back
Top Bottom