Watumishi wa umma mna akili finyu, acheni kazi sisi tutazifanya kama mshahara hautoshi

Watumishi wa umma mna akili finyu, acheni kazi sisi tutazifanya kama mshahara hautoshi

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Wameongezewa mshahara ambao wanadai ni kidogo ila jinsi wanavyoleta taharuki utadhani kuna crisis kubwa kama vile Tanzania imepigwa bomu la nyuklia

Hivi Hawa watu hawajui kuna watu wasomi zaidi yao wapo mtaani miaka zaidi ya 10 hawana ajira na wanatamani hata walipwe nusu ya huo mshahara wanaoilalamikia?

Watumishi wa umma Tanzania ni watu waliojawa na uelewa finyu na ubinafsi,

Idadi yao haifiki hata milioni moja ila wanataka mapato karibu yote ya kodi yatumike kuwalipa mishahara

Hivi sasa takribani nusu ya mapato yote yanayokusanywa na TRA trilioni 1.3 kwa mwezi, nusu yake inatumika kuwalipa mishahara, yaani bilioni 700

Kumetokea mfumuko wa bei dunia nzima, serikali inatakiwa kutoa ruzuku ili mafuta ambayo ni bidhaa muhimu ishuke bei kuzuia mfumuko zaidi, ila hawa watu hawaangalii hata hili wanataka waongezewe mishahara minono huku asilimia 99 ya watanzania ambao hawafanyi kazi sekta ya umma wakiteseka...


Wanadhani Serikali kazi yake ni kuwalipa tu mshahara wao...!
 
Wameongezewa mshahara ambao wanadai ni kidogo ila jinsi wanavyoleta taharuki utadhani kuna crisis kubwa kama vile Tanzania imepigwa bomu la nyuklia

Hivi Hawa watu hawajui kuna watu wasomi zaidi yao wapo mtaani miaka zaidi ya 10 hawana ajira na wanatamani hata walipwe nusu ya huo mshahara wanaoilalamikia?

Watumishi wa umma Tanzania ni watu waliojawa na uelewa finyu na ubinafsi,

Idadi yao haifiki hata milioni moja ila wanataka mapato karibu yote ya kodi yatumike kuwalipa mishahara

Hivi sasa takribani nusu ya mapato yote yanayokusanywa na TRA trilioni 1.3 kwa mwezi, nusu yake inatumika kuwalipa mishahara, yaani bilioni 700

Kumetokea mfumuko wa bei dunia nzima, serikali inatakiwa kutoa ruzuku ili mafuta ambayo ni bidhaa muhimu ishuke bei kuzuia mfumuko zaidi, ila hawa watu hawaangalii hata hili wanataka waongezewe mishahara minono huku asilimia 99 ya watanzania ambao hawafanyi kazi sekta ya umma wakiteseka...


Wanadhani Serikali kazi yake ni kuwalipa tu mshahara wao...!
unaweza ukajiona umewaza vizuri lakini kumbe ndio umeufungua upumbavu na ujinga wako kichwani mwako, kuwa na idadi kubwa ya wasio na ajira sio kigezo cha kuwanyima haki walio ajiriwa
 
Wameongezewa mshahara ambao wanadai ni kidogo ila jinsi wanavyoleta taharuki utadhani kuna crisis kubwa kama vile Tanzania imepigwa bomu la nyuklia

Hivi Hawa watu hawajui kuna watu wasomi zaidi yao wapo mtaani miaka zaidi ya 10 hawana ajira na wanatamani hata walipwe nusu ya huo mshahara wanaoilalamikia?

Watumishi wa umma Tanzania ni watu waliojawa na uelewa finyu na ubinafsi,

Idadi yao haifiki hata milioni moja ila wanataka mapato karibu yote ya kodi yatumike kuwalipa mishahara

Hivi sasa takribani nusu ya mapato yote yanayokusanywa na TRA trilioni 1.3 kwa mwezi, nusu yake inatumika kuwalipa mishahara, yaani bilioni 700

Kumetokea mfumuko wa bei dunia nzima, serikali inatakiwa kutoa ruzuku ili mafuta ambayo ni bidhaa muhimu ishuke bei kuzuia mfumuko zaidi, ila hawa watu hawaangalii hata hili wanataka waongezewe mishahara minono huku asilimia 99 ya watanzania ambao hawafanyi kazi sekta ya umma wakiteseka...


Wanadhani Serikali kazi yake ni kuwalipa tu mshahara wao...!
Wakati unaanzaanza kuchangia na kuandika nyuzi nilodhani una nidhamu na akili.Kumbe nilikudhania uongo.Watumishi waache kazi ili weye uajiriwe?Ukiyakuta yanayowakwaza nawe uanze ulalamishi?Badala utoe maoni ya kuondoa changamoto unataka waache kazi ili uiombe weye?Hivi umefikiria kwa mapaja au mapana?
 
Pole kijana Kwa kuwa jobless siku Moja Mungu atakukumbuka na utakuja kuungana na hao watumishi kudai ongezeko la mshahara.
Lakini nakushauri Toka hapo Kwa shemeji Yako kugombania remote na msosi wa Bure na watoto wa shemeji Yako.

Kama watumishi wataongezewa kipato, fedha hiyo wanaipeleka Kwa wafanyabiashara wadogo na wakubwa kupitia manunuzi na hivyo kuongeza mzunguko wa fedha kitaa.

Mtumishi kuto ongezewa mshahara hukukufanyi wewe upate ajira, sana kunapelekea kukosa mapato Kwa huyo shemeji Yako kama ni mfanyakazi au kama ni mfanya biashara basi mauzo yake hayaongezeki.

Nakusalimu Kwa jina la Jamuhuri.
 
Wameongezewa mshahara ambao wanadai ni kidogo ila jinsi wanavyoleta taharuki utadhani kuna crisis kubwa kama vile Tanzania imepigwa bomu la nyuklia

Hivi Hawa watu hawajui kuna watu wasomi zaidi yao wapo mtaani miaka zaidi ya 10 hawana ajira na wanatamani hata walipwe nusu ya huo mshahara wanaoilalamikia?

Watumishi wa umma Tanzania ni watu waliojawa na uelewa finyu na ubinafsi,

Idadi yao haifiki hata milioni moja ila wanataka mapato karibu yote ya kodi yatumike kuwalipa mishahara

Hivi sasa takribani nusu ya mapato yote yanayokusanywa na TRA trilioni 1.3 kwa mwezi, nusu yake inatumika kuwalipa mishahara, yaani bilioni 700

Kumetokea mfumuko wa bei dunia nzima, serikali inatakiwa kutoa ruzuku ili mafuta ambayo ni bidhaa muhimu ishuke bei kuzuia mfumuko zaidi, ila hawa watu hawaangalii hata hili wanataka waongezewe mishahara minono huku asilimia 99 ya watanzania ambao hawafanyi kazi sekta ya umma wakiteseka...


Wanadhani Serikali kazi yake ni kuwalipa tu mshahara wao...!
Watoe wapi jeuri ya kuacha Kazi Kwa salary hizi ? 👇
 

Attachments

  • 20220723_204139.jpg
    20220723_204139.jpg
    105.9 KB · Views: 15
Pole kijana Kwa kuwa jobless siku Moja Mungu atakukumbuka na utakuja kuungana na hao watumishi kudai ongezeko la mshahara.
Lakini nakushauri Toka hapo Kwa shemeji Yako kugombania remote na msosi wa Bure na watoto wa shemeji Yako.

Kama watumishi wataongezewa kipato, fedha hiyo wanaipeleka Kwa wafanyabiashara wadogo na wakubwa kupitia manunuzi na hivyo kuongeza mzunguko wa fedha kitaa.

Mtumishi kuto ongezewa mshahara hukukufanyi wewe upate ajira, sana kunapelekea kukosa mapato Kwa huyo shemeji Yako kama ni mfanyakazi au kama ni mfanya biashara basi mauzo yake hayaongezeki.

Nakusalimu Kwa jina la Jamuhuri.

Mtu mwenyewe anachagua kazi.

Hata kusaidia kazi za nyumbani kwa wazazi wake kunamshinda.
 
Wameongezewa mshahara ambao wanadai ni kidogo ila jinsi wanavyoleta taharuki utadhani kuna crisis kubwa kama vile Tanzania imepigwa bomu la nyuklia

Hivi Hawa watu hawajui kuna watu wasomi zaidi yao wapo mtaani miaka zaidi ya 10 hawana ajira na wanatamani hata walipwe nusu ya huo mshahara wanaoilalamikia?

Watumishi wa umma Tanzania ni watu waliojawa na uelewa finyu na ubinafsi,

Idadi yao haifiki hata milioni moja ila wanataka mapato karibu yote ya kodi yatumike kuwalipa mishahara

Hivi sasa takribani nusu ya mapato yote yanayokusanywa na TRA trilioni 1.3 kwa mwezi, nusu yake inatumika kuwalipa mishahara, yaani bilioni 700

Kumetokea mfumuko wa bei dunia nzima, serikali inatakiwa kutoa ruzuku ili mafuta ambayo ni bidhaa muhimu ishuke bei kuzuia mfumuko zaidi, ila hawa watu hawaangalii hata hili wanataka waongezewe mishahara minono huku asilimia 99 ya watanzania ambao hawafanyi kazi sekta ya umma wakiteseka...


Wanadhani Serikali kazi yake ni kuwalipa tu mshahara wao.ji
Jitahidi kuficha huo upumbavu wako
 
unaweza ukajiona umewaza vizuri lakini kumbe ndio umeufungua upumbavu na ujinga wako kichwani mwako, kuwa na idadi kubwa ya wasio na ajira sio kigezo cha kuwanyima haki walio ajiriwa
Serikali haitaweza kuajiri watumishi wengine kama billl ya mshahara ni kubwa kutokana na mishahara mikubwa ya waliopo.
Yapaswa mishahara iwe ya kawaida ili kuweza kuajiri watumishi wengi zaidi
 
Wakati unaanzaanza kuchangia na kuandika nyuzi nilodhani una nidhamu na akili.Kumbe nilikudhania uongo.Watumishi waache kazi ili weye uajiriwe?Ukiyakuta yanayowakwaza nawe uanze ulalamishi?Badala utoe maoni ya kuondoa changamoto unataka waache kazi ili uiombe weye?Hivi umefikiria kwa mapaja au mapana?
Uchumi wetu mdogo hauwezi kuhimili kuwalipa mishahara wanayotaka kulipwa hao watu
Imagine kuna upungufu mkubwa wa walimu lakini serikali haiwezi kuajiri wa kutosha sababu haina fedha za kuwalipa
 
Uchumi wetu mdogo hauwezi kuhimili kuwalipa mishahara wanayotaka kulipwa hao watu
Imagine kuna upungufu mkubwa wa walimu lakini serikali haiwezi kuajiri wa kutosha sababu haina fedha za kuwalipa
Uliwahi kuona mablioni ya kuwalipa mishahara,posho,marupurupu,viinua migongo na kuwanunulia wabunge magari yanakosekana?Tulia usikurupuke.
 
Pole kijana Kwa kuwa jobless siku Moja Mungu atakukumbuka na utakuja kuungana na hao watumishi kudai ongezeko la mshahara.
Lakini nakushauri Toka hapo Kwa shemeji Yako kugombania remote na msosi wa Bure na watoto wa shemeji Yako.

Kama watumishi wataongezewa kipato, fedha hiyo wanaipeleka Kwa wafanyabiashara wadogo na wakubwa kupitia manunuzi na hivyo kuongeza mzunguko wa fedha kitaa.

Mtumishi kuto ongezewa mshahara hukukufanyi wewe upate ajira, sana kunapelekea kukosa mapato Kwa huyo shemeji Yako kama ni mfanyakazi au kama ni mfanya biashara basi mauzo yake hayaongezeki.

Nakusalimu Kwa jina la Jamuhuri.
😂😂 Ona huyu, nimeandika hivyo ku represent mawazo ya vijana wengi mtaani ambao hawana kazi, not necessarily mimi
Nyie watu mna akili finyu sana hadi kuelewa andiko simple tu ni shida

By the way serikali inatakiwa kuajiri watumishi zaidi sababu walipo hawatoshi, ila haitaweza kama hawa wachache waliopo wata demand mishahara mikubwa
 
Wameongezewa mshahara ambao wanadai ni kidogo ila jinsi wanavyoleta taharuki utadhani kuna crisis kubwa kama vile Tanzania imepigwa bomu la nyuklia

Hivi Hawa watu hawajui kuna watu wasomi zaidi yao wapo mtaani miaka zaidi ya 10 hawana ajira na wanatamani hata walipwe nusu ya huo mshahara wanaoilalamikia?

Watumishi wa umma Tanzania ni watu waliojawa na uelewa finyu na ubinafsi,

Idadi yao haifiki hata milioni moja ila wanataka mapato karibu yote ya kodi yatumike kuwalipa mishahara

Hivi sasa takribani nusu ya mapato yote yanayokusanywa na TRA trilioni 1.3 kwa mwezi, nusu yake inatumika kuwalipa mishahara, yaani bilioni 700

Kumetokea mfumuko wa bei dunia nzima, serikali inatakiwa kutoa ruzuku ili mafuta ambayo ni bidhaa muhimu ishuke bei kuzuia mfumuko zaidi, ila hawa watu hawaangalii hata hili wanataka waongezewe mishahara minono huku asilimia 99 ya watanzania ambao hawafanyi kazi sekta ya umma wakiteseka...


Wanadhani Serikali kazi yake ni kuwalipa tu mshahara wao...!
Serikali itakuwa imeingia hasara sana kama itaajiri chizi kama wewe. Yaaani mtu ambaye akili yake ya kufikiri ni ndogo uajiriwe na serikali utaweza kufanya kazi kweli, wewe sugua gaga tu mtaaani.
 
Uliwahi kuona mablioni ya kuwalipa mishahara,posho,marupurupu,viinua migongo na kuwanunulia wabunge magari yanakosekana?Tulia usikurupuke.
Kwa hiyo badala ya kutaka wabunge wapunguziwe marupurupu ili kuojoa fedha, watumishi nao wanataka walipwe kama wabunge?
 
Back
Top Bottom