Watumishi wa umma na vyama vyenu vya kutetea haki mnakwama wapi?

Watumishi wa umma na vyama vyenu vya kutetea haki mnakwama wapi?

sopinta

Member
Joined
May 28, 2020
Posts
46
Reaction score
93
Yaani watumishi wa Umma sijui hawajitambui mnakwama wapi vimafao vyenyewe vidogo lakini mstaafu anaangaika zaidi ya miaka kufuatilia wengine mpaka mauti yanawakuta na hajaona hayo mafao yake.

Wenzenu wabunge yaani miaka mitano mzigo wa maana na hauchukui hata siku mbili tayari unakua umetoka tena ni mamilioni ya mzigo, leo mmemsikia aliyekua spika wa Bunge Job Ndugai alivyowafanya mazuri wabunge yani Bunge limevunjwa leo na mafao yanatoka leo leo.
 
No kusisitiza hilo mh rais kawambia waving kwa lugha ya picha kuwa Tsheti zenu zimeanza ingia tangu jana saa nane akimanisha mafao yao tayali yameiva
 
Yaani watumishi wa Umma sijui hawajitambui mnakwama wapi vimafao vyenyewe vidogo lakini mstaafu anaangaika zaidi ya miaka kufuatilia wengine mpaka mauti yanawakuta na hajaona hayo mafao yake.

Wenzenu wabunge yaani miaka mitano mzigo wa maana na hauchukui hata siku mbili tayari unakua umetoka tena ni mamilioni ya mzigo, leo mmemsikia aliyekua spika wa Bunge Job Ndugai alivyowafanya mazuri wabunge yani Bunge limevunjwa leo na mafao yanatoka leo leo.
Katika dictatorship regime kila kitu kinasimama! Hata hiv vyama vya siasa kama siyo kuogopa international community, angelivifuta kama alivyofanya Idd Amin!
 
Tatizo la watumishi wa uma hawana mawazo kama yangu wangeshatoka kwenye manyanyaso kitambo ni vile tu wanajifanya wameridhika
 
Katika dictatorship regime kila kitu kinasimama! Hata hiv vyama vya siasa kama siyo kuogopa international community, angelivifuta kama alivyofanya Idd Amin!

Hakuna Dikteta mbona wabunge wanapata fresh tena ontime ....
 
No kusisitiza hilo mh rais kawambia waving kwa lugha ya picha kuwa Tsheti zenu zimeanza ingia tangu jana saa nane akimanisha mafao yao tayali yameiva

Watumishi wa Umma wanatia huruma sana , tena hawa wa ngazi ya kati na chini na hawa wanaoitwa maafisa uchwara , hivi karibuni wamepunguziwa PAYE wanaona kuwa ndio kuongezewa mshahara lakini hawajui kuwa ni kupunguziwa mafao yao mana automatically ukipunguza PAYE ni unapunguza mafao mana makato yanapungua....
 
alafu Kama PAYE imepungua ina maana BASIC itaongezeka na ikiongezeka basic ina maana asilimia za makato mengine zinaongezeka kwaiyo mwisho wa siku ni uhuni tu umefanyika hapo wamechota uku wameweka uku

Inawezekana mimi ndie sijui hizi hesabu, kupungua makato kunaongezaje Basic? Ama ulimaanisha take home au Gross!
Huyo mwingine aliesema kupungua kwa PAYE kunapunguza mafao, kwani PAYE ina uhusiano gani na makato ya mifuko ya hifadhi ya jamii?
Ni kweli watumishi wa uma tuna changamoto ya kipato, lakini kufanikiwa nje ya mfumo wa utumishi wa uma hakukufanyi wewe kuwa na akili zaidi ya maisha, hata wakiacha kazi wote waliopo sasa utumishi utahitaji watu na wataajiriwa na kuendelea na maisha yaleyale
 
alafu Kama PAYE imepungua ina maana BASIC itaongezeka na ikiongezeka basic ina maana asilimia za makato mengine zinaongezeka kwaiyo mwisho wa siku ni uhuni tu umefanyika hapo wamechota uku wameweka uku
Basic salary inaongezeka vipi wakati hajaongeza rate za mishahara?,
 
Bunge ni mhimili na hivyo vingine ni vyama ambavyo wadau wake ni waajiriwa. Sasa mbona unalinganisha vitu viwili tofauti?
 
😂😂,alafu ameandika kwa kujiamini kabisa


😂😂😁 balimi zikikolea tunakuwa chizi take home tumeita basic ngoja take home ingozeke moja ya tatu ikawe sawa wife akakope tununue dell za barafu
 
Najivunia kutompigia kura mwaka 2015, na haitokuja itokee nikampigia kura ya NDIYO katika maisha yangu. Kwa ufupi tu, hanifai.
 
Back
Top Bottom