Watumishi wa Umma, Rais Magufuli kawasahau tena?

Watumishi wa Umma, Rais Magufuli kawasahau tena?

accha ayatandike maana na yenyewe hayajielewi katu! kuna magroup ya wafanyakazi ya whatsapp ni kinyaa
Tena hasaa...
Yaani kuna wana siasa wapo utumishi wa umma ni wajingaaa.

#YNWA
 
Baada ya annual increament kusitishwa mmeacha kutukana Serikal na kutishia migomo, baada ya kuzuiwa nyongeza mmeacha tabia yenu ya kususa kumualika Rais kwenye Mei mosi…'

Sasa hivi hata Risala zenu za May Mosi zinaandaliwa na anaekuja kusomewa Uwamjani.

Atake asitake tutamuongezea Muda ~Spika wa Bunge
Hili jambo halihitaji akili kubwaa kulielewa.
Bro Annual increment IPO kisheria na ilipitishwa na Bunge.
Mbona ye halipi.
1. Yupo juu ya bunge?
2. Ana mamlaka gani ya kuingilia maamuzi ya bunge?

#YNWA
 
Mishahara aongezewe hela atatoa wapi?Juzi mabeberu wamempa za Corona dola 14 million kashukuru amekoma na kuwaita mabeberu.
 
Baada ya annual increament kusitishwa mmeacha kutukana Serikal na kutishia migomo, baada ya kuzuiwa nyongeza mmeacha tabia yenu ya kususa kumualika Rais kwenye Mei mosi…'

Sasa hivi hata Risala zenu za May Mosi zinaandaliwa na anaekuja kusomewa Uwamjani.

Atake asitake tutamuongezea Muda ~Spika wa Bunge
Tatizo hao hao watumishi wa umma ndio makada.

#YNWA
 
Kwa mwaka huu hali ya kiuchumi in ngumu sana kutokana na COVID-19. Sisi wafanyakazi kuongezewa mishara kutafanya watu wengine waumie maradufu eg wawekezaji na wafanyabiashara ... Huu mwaka wakuhakikisha uchumi unasimama na hauanguki badala ya kupanda kama matarajio
 
Watumishi ni Laki 5 kwa ujumla...jumla ya wapiga kura ni zaidi ya million 20 nahc anaona hata msipompa kura zenu wakulima na wengine waliobak watampa[emoji848]
Magu hahitaji kura zozote. Anazo kura zake mwenyewe. Magufuli atapiga kura, atahesabu kura, na atatangaza mshindi. Kama huamini, angalia uchaguzi wa serikali za mitaa.
 
Kwa mwaka huu hali ya kiuchumi in ngumu sana kutokana na COVID-19. Sisi wafanyakazi kuongezewa mishara kutafanya watu wengine waumie maradufu eg wawekezaji na wafanyabiashara ... Huu mwaka wakuhakikisha uchumi unasimama na hauanguki badala ya kupanda kama matarajio
Duh kila mwaka inatafutwa SABABU?

#YNWA
 
Magu hahitaji kura zozote. Anazo kura zake mwenyewe. Magufuli atapiga kura, atahesabu kura, na atatangaza mshindi. Kama huamini, angalia uchaguzi wa serikali za mitaa.
Tanzania yangu..

#YNWA
 
Mkuu Mimi nafirikiri kupunguzwa kwa Kodi ya mishahara kwa watumishi inaweza kusaidia hata mishahara isipoongezwa au uelewa wangu ni Mdogo hapo.

Mfano

Mshahara wa million 1 makato kutoka 30% mpaka 20%

Mshahara wa laki 9 mpaka laki 6.5
Makato kutoka 15% mpaka 5%

Mshahara wa laki 6 mpaka Tsh. 50000 makato kutoka 10% mpaka 0%.

Kama nimeelewa vibaya naweza kueleweshwa vizuri.

Ndio pendekezo la waziri kuanzia July hi? yaani nawachukia hata bajeti sijafatilia
 
Back
Top Bottom