Liverpool VPN JF-Expert Member Joined Aug 29, 2020 Posts 6,958 Reaction score 16,358 Nov 3, 2020 Thread starter #121 Azizi J Hamad said: Un Suala sio lini kapandisha mishahara? Suala ni kuwadanganya watu kwamba wajiandae kuumia tena, huo ni uongo na uzandiki. Click to expand... Kama kashindwa kuwajali miaka mi5 iliyopita atawajili lini? Alisema haongezi kwasababu anajenga miradi. Kwani miradi imeisha? #YNWA
Azizi J Hamad said: Un Suala sio lini kapandisha mishahara? Suala ni kuwadanganya watu kwamba wajiandae kuumia tena, huo ni uongo na uzandiki. Click to expand... Kama kashindwa kuwajali miaka mi5 iliyopita atawajili lini? Alisema haongezi kwasababu anajenga miradi. Kwani miradi imeisha? #YNWA