Watumishi wa umma wamkumbuka Rais Magufuli kuwa na hofu juu ya mishahara kucheleweshwa

Watumishi wa umma wamkumbuka Rais Magufuli kuwa na hofu juu ya mishahara kucheleweshwa

Imeelezwa kwa watumishi wa umma toka maeneo mbali mbali wameanza kumkumbuka Hayati Magufuli kuhusu mishahara yao kucheleweshwa na utawala wa sasa. Wanadai kua enzo za hayati Magufuli walikua wakipokea mishahara yao kuanzia tarehe 21,22 au 23 ikichelewa sana. Lakini kwa mfano mwezi huu hadi leo tarehe 24/5/2021 bado hawajapokea chochote.

Wanachodai ni kwamba pamoja na kidogo alichowapa Magufuli lakini kilikua kinatoka kwa wakati. Wanahoji kua ikiwa mtu ulimpatia mshahara wake tarehe 23 mwezi uliopita halafu leo unampa tarehe 24 maana yake umezidisha mwezi na ni kwanini?
Wanaingizwa na hofu kwa mifumo ya serikali kuanza kuchezewa na watu wachache ambao hawamuogopi Mama yetu hali ya hofu itakayopelekea kucheleweshwa kwa mishahara yao zaidi huko mbeleni.

Katika hili ninamshauri Rais wetu msikivu Mama Samia na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu wawe wakali sana kuepusha madhara huko mbeleni.
Sasa ni dhahiri kuwa mshahara wa July 2021 watumishi wataupokea August 2021.
 
Imeelezwa kwa watumishi wa umma toka maeneo mbali mbali wameanza kumkumbuka Hayati Magufuli kuhusu mishahara yao kucheleweshwa na utawala wa sasa. Wanadai kua enzo za hayati Magufuli walikua wakipokea mishahara yao kuanzia tarehe 21,22 au 23 ikichelewa sana. Lakini kwa mfano mwezi huu hadi leo tarehe 24/5/2021 bado hawajapokea chochote.

Wanachodai ni kwamba pamoja na kidogo alichowapa Magufuli lakini kilikua kinatoka kwa wakati. Wanahoji kua ikiwa mtu ulimpatia mshahara wake tarehe 23 mwezi uliopita halafu leo unampa tarehe 24 maana yake umezidisha mwezi na ni kwanini?
Wanaingizwa na hofu kwa mifumo ya serikali kuanza kuchezewa na watu wachache ambao hawamuogopi Mama yetu hali ya hofu itakayopelekea kucheleweshwa kwa mishahara yao zaidi huko mbeleni.

Katika hili ninamshauri Rais wetu msikivu Mama Samia na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu wawe wakali sana kuepusha madhara huko mbeleni.
Acha use'ngerema basi... Sukuma gang kwenye uchawa pro Max+
 
Imeelezwa kwa watumishi wa umma toka maeneo mbali mbali wameanza kumkumbuka Hayati Magufuli kuhusu mishahara yao kucheleweshwa na utawala wa sasa. Wanadai kua enzo za hayati Magufuli walikua wakipokea mishahara yao kuanzia tarehe 21,22 au 23 ikichelewa sana. Lakini kwa mfano mwezi huu hadi leo tarehe 24/5/2021 bado hawajapokea chochote.

Wanachodai ni kwamba pamoja na kidogo alichowapa Magufuli lakini kilikua kinatoka kwa wakati. Wanahoji kua ikiwa mtu ulimpatia mshahara wake tarehe 23 mwezi uliopita halafu leo unampa tarehe 24 maana yake umezidisha mwezi na ni kwanini?
Wanaingizwa na hofu kwa mifumo ya serikali kuanza kuchezewa na watu wachache ambao hawamuogopi Mama yetu hali ya hofu itakayopelekea kucheleweshwa kwa mishahara yao zaidi huko mbeleni.

Katika hili ninamshauri Rais wetu msikivu Mama Samia na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu wawe wakali sana kuepusha madhara huko mbeleni.
Inanikumbusha wakati Mose anawatoa waisrael utumwani misri,walipofika jangwani wakawa na kiu na njaa. Wakaanza kumlaumu Mose kuwa heri angewaacha utumwani ili wale na kushiba kuliko adha walopata!
 
Mishahara imetoka leo.sijui unataka nini mkuu.
 
Hata mtoto anahaki yake Kwa wazazi wake, Ila ikitokea haki hiyo imechelewa kuipewa, haiondoi kuwa wao ni wazazi wake, na haiondoi ukweli Kwamba, bado haki ni yake na ataipata hata ikicheleweshwa!

Na kingine, ni Kwamba, kila serikali na mtindo wake wa kushughurikia mambo hata kama ni kwa kujivutavuta, ila ndio kushughurikia
 
Imeelezwa kwa watumishi wa umma toka maeneo mbali mbali wameanza kumkumbuka Hayati Magufuli kuhusu mishahara yao kucheleweshwa na utawala wa sasa. Wanadai kua enzo za hayati Magufuli walikua wakipokea mishahara yao kuanzia tarehe 21,22 au 23 ikichelewa sana. Lakini kwa mfano mwezi huu hadi leo tarehe 24/5/2021 bado hawajapokea chochote.

Wanachodai ni kwamba pamoja na kidogo alichowapa Magufuli lakini kilikua kinatoka kwa wakati. Wanahoji kua ikiwa mtu ulimpatia mshahara wake tarehe 23 mwezi uliopita halafu leo unampa tarehe 24 maana yake umezidisha mwezi na ni kwanini?
Wanaingizwa na hofu kwa mifumo ya serikali kuanza kuchezewa na watu wachache ambao hawamuogopi Mama yetu hali ya hofu itakayopelekea kucheleweshwa kwa mishahara yao zaidi huko mbeleni.

Katika hili ninamshauri Rais wetu msikivu Mama Samia na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu wawe wakali sana kuepusha madhara huko mbeleni.
We msukuma ndo unaona hiyo kadhia, sie wengine hatuwezi kumkumbuka mwendazake, alale pema peponi
 
Imeelezwa kwa watumishi wa umma toka maeneo mbali mbali wameanza kumkumbuka Hayati Magufuli kuhusu mishahara yao kucheleweshwa na utawala wa sasa.

Wanadai kua enzo za hayati Magufuli walikua wakipokea mishahara yao kuanzia tarehe 21,22 au 23 ikichelewa sana. Lakini kwa mfano mwezi huu hadi leo tarehe 24/5/2021 bado hawajapokea chochote.

Wanachodai ni kwamba pamoja na kidogo alichowapa Magufuli lakini kilikua kinatoka kwa wakati. Wanahoji kua ikiwa mtu ulimpatia mshahara wake tarehe 23 mwezi uliopita halafu leo unampa tarehe 24 maana yake umezidisha mwezi na ni kwanini?

Wanaingizwa na hofu kwa mifumo ya serikali kuanza kuchezewa na watu wachache ambao hawamuogopi Mama yetu hali ya hofu itakayopelekea kucheleweshwa kwa mishahara yao zaidi huko mbeleni.

Katika hili ninamshauri Rais wetu msikivu Mama Samia na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu wawe wakali sana kuepusha madhara huko mbeleni.
Mataga uliyekubuhu, nani amilie muuaji Jiwe, Potelea mbali wacha tukae na njaa lkn tuna uhuru, hatutekwi, hatupotei , hatubambikiwa kesi. Acha lifilie kwa mbali lioze
 
Wee! kata huo mdomo paka pilipili.
Tunaomba tusijepata mtu kama huyo tena wewe unasema tunamkumbuka????
We siyo mtanzania hakika.
 
Imeelezwa kwa watumishi wa umma toka maeneo mbali mbali wameanza kumkumbuka Hayati Magufuli kuhusu mishahara yao kucheleweshwa na utawala wa sasa.

Wanadai kua enzo za hayati Magufuli walikua wakipokea mishahara yao kuanzia tarehe 21,22 au 23 ikichelewa sana. Lakini kwa mfano mwezi huu hadi leo tarehe 24/5/2021 bado hawajapokea chochote.

Wanachodai ni kwamba pamoja na kidogo alichowapa Magufuli lakini kilikua kinatoka kwa wakati. Wanahoji kua ikiwa mtu ulimpatia mshahara wake tarehe 23 mwezi uliopita halafu leo unampa tarehe 24 maana yake umezidisha mwezi na ni kwanini?

Wanaingizwa na hofu kwa mifumo ya serikali kuanza kuchezewa na watu wachache ambao hawamuogopi Mama yetu hali ya hofu itakayopelekea kucheleweshwa kwa mishahara yao zaidi huko mbeleni.

Katika hili ninamshauri Rais wetu msikivu Mama Samia na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu wawe wakali sana kuepusha madhara huko mbeleni.
Wewe ni muongo! Hivyo uache pia kutusemea kwa uongo. Tarehe 22 ilikuwa ni Jumamosi, hivyo isingekuwa rahisi kwa Serikali kuingiza mshahara. Leo Jumatatu mshahara umeingia!

Mataga acheni kuilazimisha Legacy ya Hayati! Hakuna Mtumishi wa umma mwenye akili anaweza kumkumbuka Hayati Magufuli kwa mazuri! Na huu ndiyo ukweli mchungu kwenu.
 
Acha uongo wako mtumishi gani anaemkumbuka mtu aliyemkomoa
 
Kitu kishasoma , wengine washaukomba wote na wameshapiga hadi salary advance
 
Imeelezwa kwa watumishi wa umma toka maeneo mbali mbali wameanza kumkumbuka Hayati Magufuli kuhusu mishahara yao kucheleweshwa na utawala wa sasa.

Wanadai kua enzo za hayati Magufuli walikua wakipokea mishahara yao kuanzia tarehe 21,22 au 23 ikichelewa sana. Lakini kwa mfano mwezi huu hadi leo tarehe 24/5/2021 bado hawajapokea chochote.

Wanachodai ni kwamba pamoja na kidogo alichowapa Magufuli lakini kilikua kinatoka kwa wakati. Wanahoji kua ikiwa mtu ulimpatia mshahara wake tarehe 23 mwezi uliopita halafu leo unampa tarehe 24 maana yake umezidisha mwezi na ni kwanini?

Wanaingizwa na hofu kwa mifumo ya serikali kuanza kuchezewa na watu wachache ambao hawamuogopi Mama yetu hali ya hofu itakayopelekea kucheleweshwa kwa mishahara yao zaidi huko mbeleni.

Katika hili ninamshauri Rais wetu msikivu Mama Samia na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu wawe wakali sana kuepusha madhara huko mbeleni.
Watumishi wa Umma wa Zambia.
 
Wewe unayemkumbuka mfuate kaburini Chato. Pia wewe si mwajiriwa unapalilia uteuzi kinakuuma nini! Unataka kutukopa?
Mama Samia Hoyee. CCM Hoyee, huyu mama ana akili nyingi! Amewanunua CHADEMA wote bila kutumia hela! Wapinzani wote wa Magufuli, sasa ni CCM wapya! CHADEMA wanademkana na CCM kujipendekeza kwa mama. Rais Samia hoyee
 
Back
Top Bottom