MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,727
- 6,615
Chadema wakikosoa mnalalamika wanakosoa kila kitu, wakisifia nako mnalalamika wamenunuliwa. Cha ajabu ni kuwa ccm ndio mnaoonekana kumkosoa mama kwa vile masilahi yenu hayapo tenaMama Samia Hoyee. CCM Hoyee, huyu mama ana akili nyingi! Amewanunua CHADEMA wote bila kutumia hela! Wapinzani wote wa Magufuli, sasa ni CCM wapya! CHADEMA wanademkana na CCM kujipendekeza kwa mama. Rais Samia hoyee
Hawa ni wale walokua wanajiita ccm mpya chini ya mzee polepoleChadema wakikosoa mnalalamika wanakosoa kila kitu, wakisifia nako mnalalamika wamenunuliwa. Cha ajabu ni kuwa ccm ndio mnaoonekana kumkosoa mama kwa vile masilahi yenu hayapo tena
Wewe fundi madirisha jaribu kujifunza kutengeneza majeneza ili siku za usoni ujtambulishe Kama fundi majeneza!Imeelezwa kwa watumishi wa umma toka maeneo mbali mbali wameanza kumkumbuka Hayati Magufuli kuhusu mishahara yao kucheleweshwa na utawala wa sasa.
Wanadai kuwa enzo za hayati Magufuli walikua wakipokea mishahara yao kuanzia tarehe 2, 22 au 23 ikichelewa sana. Lakini kwa mfano mwezi huu hadi leo tarehe 24/5/2021 bado hawajapokea chochote.
Wanachodai ni kwamba pamoja na kidogo alichowapa Magufuli lakini kilikuwa kinatoka kwa wakati. Wanahoji kua ikiwa mtu ulimpatia mshahara wake tarehe 23 mwezi uliopita halafu leo unampa tarehe 24 maana yake umezidisha mwezi na ni kwanini?
Wanaingizwa na hofu kwa mifumo ya Serikali kuanza kuchezewa na watu wachache ambao hawamuogopi Mama yetu hali ya hofu itakayopelekea kucheleweshwa kwa mishahara yao zaidi huko mbeleni.
Katika hili ninamshauri Rais wetu msikivu Mama Samia na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu wawe wakali sana kuepusha madhara huko mbeleni.
Ambacho kitu kikubwa Magufuli alikikosea kwenye maisha yake ni kuzuia upandishaji wa Madaraja na kutopandisha Mishahara Kwa miaka 6 aliokaa Madarakani. Pia kuongeza Makato ya loanboard kutoka 8% to 15% . Hili ni miongoni mwa big mistake s Magufuli made to civil servantsImeelezwa kwa watumishi wa umma toka maeneo mbali mbali wameanza kumkumbuka Hayati Magufuli kuhusu mishahara yao kucheleweshwa na utawala wa sasa.
Wanadai kuwa enzo za hayati Magufuli walikua wakipokea mishahara yao kuanzia tarehe 2, 22 au 23 ikichelewa sana. Lakini kwa mfano mwezi huu hadi leo tarehe 24/5/2021 bado hawajapokea chochote.
Wanachodai ni kwamba pamoja na kidogo alichowapa Magufuli lakini kilikuwa kinatoka kwa wakati. Wanahoji kua ikiwa mtu ulimpatia mshahara wake tarehe 23 mwezi uliopita halafu leo unampa tarehe 24 maana yake umezidisha mwezi na ni kwanini?
Wanaingizwa na hofu kwa mifumo ya Serikali kuanza kuchezewa na watu wachache ambao hawamuogopi Mama yetu hali ya hofu itakayopelekea kucheleweshwa kwa mishahara yao zaidi huko mbeleni.
Katika hili ninamshauri Rais wetu msikivu Mama Samia na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu wawe wakali sana kuepusha madhara huko mbeleni.
Usiwasemee watumishi wakati we si mmoja wao.Imeelezwa kwa watumishi wa umma toka maeneo mbali mbali wameanza kumkumbuka Hayati Magufuli kuhusu mishahara yao kucheleweshwa na utawala wa sasa.
Wanadai kuwa enzo za hayati Magufuli walikua wakipokea mishahara yao kuanzia tarehe 2, 22 au 23 ikichelewa sana. Lakini kwa mfano mwezi huu hadi leo tarehe 24/5/2021 bado hawajapokea chochote.
Wanachodai ni kwamba pamoja na kidogo alichowapa Magufuli lakini kilikuwa kinatoka kwa wakati. Wanahoji kua ikiwa mtu ulimpatia mshahara wake tarehe 23 mwezi uliopita halafu leo unampa tarehe 24 maana yake umezidisha mwezi na ni kwanini?
Wanaingizwa na hofu kwa mifumo ya Serikali kuanza kuchezewa na watu wachache ambao hawamuogopi Mama yetu hali ya hofu itakayopelekea kucheleweshwa kwa mishahara yao zaidi huko mbeleni.
Katika hili ninamshauri Rais wetu msikivu Mama Samia na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu wawe wakali sana kuepusha madhara huko mbeleni.
Kwani mwezi wa Tano umeshaisha?Imeelezwa kwa watumishi wa umma toka maeneo mbali mbali wameanza kumkumbuka Hayati Magufuli kuhusu mishahara yao kucheleweshwa na utawala wa sasa.
Wanadai kuwa enzo za hayati Magufuli walikua wakipokea mishahara yao kuanzia tarehe 2, 22 au 23 ikichelewa sana. Lakini kwa mfano mwezi huu hadi leo tarehe 24/5/2021 bado hawajapokea chochote.
Wanachodai ni kwamba pamoja na kidogo alichowapa Magufuli lakini kilikuwa kinatoka kwa wakati. Wanahoji kua ikiwa mtu ulimpatia mshahara wake tarehe 23 mwezi uliopita halafu leo unampa tarehe 24 maana yake umezidisha mwezi na ni kwanini?
Wanaingizwa na hofu kwa mifumo ya Serikali kuanza kuchezewa na watu wachache ambao hawamuogopi Mama yetu hali ya hofu itakayopelekea kucheleweshwa kwa mishahara yao zaidi huko mbeleni.
Katika hili ninamshauri Rais wetu msikivu Mama Samia na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu wawe wakali sana kuepusha madhara huko mbeleni.
Amani na ujambazi!? Huna akiliYaani hata mshahara utoke tarehe 55, suluba za jiwe sitakaa nizikumbuke hata siku moja ndani ya awamu ya huyu mama. Amani iliyopo tu kwa sasa ni chanzo tosha cha furaha.
Lakini hata kwa jiwe mara nyingi tu zimeingia tarehe 24-25. Mara nyingi tarehe 22/23 ikiwa jumamosi basi salary ni tarehe 24/25. Acha kutulisha maneno, mama tunamkubali sana, hasa baada ya kuondoa ugaidi serikalini.
Ukiona mtumishi wa umma anammiss jiwe ujue ni unafiki tu, hizo tabia zipo sana mkoa wa Geita kwa sasa, watu bado wanaogopa kivuli cha marehemu. Kwingine sijui.
Hakuna mtu anaweza kuwaza wala kukumbuka maumivu unless kwa kuomba na kusema asante Mungu kwa kutenda.!!Imeelezwa kwa watumishi wa umma toka maeneo mbali mbali wameanza kumkumbuka Hayati Magufuli kuhusu mishahara yao kucheleweshwa na utawala wa sasa.
Wanadai kuwa enzo za hayati Magufuli walikua wakipokea mishahara yao kuanzia tarehe 2, 22 au 23 ikichelewa sana. Lakini kwa mfano mwezi huu hadi leo tarehe 24/5/2021 bado hawajapokea chochote.
Wanachodai ni kwamba pamoja na kidogo alichowapa Magufuli lakini kilikuwa kinatoka kwa wakati. Wanahoji kua ikiwa mtu ulimpatia mshahara wake tarehe 23 mwezi uliopita halafu leo unampa tarehe 24 maana yake umezidisha mwezi na ni kwanini?
Wanaingizwa na hofu kwa mifumo ya Serikali kuanza kuchezewa na watu wachache ambao hawamuogopi Mama yetu hali ya hofu itakayopelekea kucheleweshwa kwa mishahara yao zaidi huko mbeleni.
Katika hili ninamshauri Rais wetu msikivu Mama Samia na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu wawe wakali sana kuepusha madhara huko mbeleni.