Uchaguzi 2020 Watumishi wa Umma wapewa ruhusa ya siku 3 kwenda kupiga kura mahali walipojiandikisha

Uchaguzi 2020 Watumishi wa Umma wapewa ruhusa ya siku 3 kwenda kupiga kura mahali walipojiandikisha

Sisi walimu tunaenda na Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Hee kumbe na wewe Mwalimu...una gfani nyingi sana kada mwenzangu..safari hii hatutakuacha uadhirike Jamii Forum tukishinda kwa ujira wetu ule. Lazima tukupatie hata ka Wilaya hivii😛😛😛😛
 
Watumishi wa umma wamefurahishwa sana na hatua hii ya Serikali ya Magufuli kujali haki yao ya kupiga kura. Kila niliyeongea naye anasema kura yake anampa JPM. CCM OYEEE
Hao uliokutana nao ni mapimbi sio walimu.
 
watumishi wa uma, mnajua mlivyo teseka na mishahara, hakuna ongezeko lolote la mishahara, uonezi, utekajinyala,watu wasio julikana, ccm imekaa madalakani miaka zaidi ya 50, hakuna jipya, tunakwenda kumpigia kula mteule wa Mungu, aliyepangiwa afe lakini Mungu alimuacha, sisi watanzania kura zetu, tunampatia tundu lisu
 
Back
Top Bottom