JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Ameyasema hayo wakati akifungua mafunzo ya watumishi hao ambayo yamejuisha mikoa ya Kigoma, Katavi, Rukwa na Tabora ambapo mratibu wa mafunzo hayo kutoka makao makuu ya wakala wa barabara nchi ni Vincent Tarimo akisema lengo la mafunzo hayo ni kujengeana uwezo madhubuti wa usimamizi wa sheria za utunzaji wa barabara.
Soma Pia: Wamiliki vituo binafsi watakiwa kusimamia ubora wa huduma za Afya