Tetesi: Watumishi waliostaafu tangu 2016 hawajalipwa mafao yao na wanaisoma namba

Tetesi: Watumishi waliostaafu tangu 2016 hawajalipwa mafao yao na wanaisoma namba

Subira the princess

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2018
Posts
3,474
Reaction score
3,744
Kuna tetesi ambazo hazijakanushwa kwamba watumishi waliostaafu kazi hawajalipwa pesa zao na mifuko ya hifadhi ya jamii km nssf na PSPF. Tetesi hizo zinasema kuwa mifuko hii haina fedha na hali yake ni mbaya, inasemekana akiba za wafanyakazi kwa kiwango kikubwa zimechotwa na serikali ya wanyonge ya CCM na kupangiwa matumizi mengine bila kupangiwa bajeti na bunge la JMT.

Ni vema CCM na serikali yake km kweli ilichota akiba hizi za wafanyakazi kuzirejesha na kuwalipa wazee hawa kwani ni jasho lao na wamelitumikia taifa hili kwa miaka 60. Kuendelea kuwazungusha inaonyesha Serikali eidha haina pesa ama ina lengo wastaafu hawa wafe na familia zao kuja kudhurumiwa. Tunasoma mapato yameongezeka uchumi unakua kwa kasi kwanini wasilipwe visenti vyao.

Siku zote mnafiki hana rafiki.
 
Kuna tetesi ambazo hazijakanushwa kwamba watumishi waliostaafu kazi hawajalipwa pesa zao na mifuko ya hifadhi ya jamii km nssf na pspf. Tetesi hizo zinasema kuwa mifuko hii haina fedha na hali yake ni mbaya, inasemekana akiba za wafanyakazi kwa kiwango kikubwa zimechotwa na serikali ya wanyonge ya ccm na kupangiwa matumizi mengine bila kupangiwa bajeti na bunge LA JMT.

Ni vema ccm na serikali yake km kweli ilichota akiba hizi za wafanyakazi kuzirejesha na kuwalipa wazee hawa kwani ni jasho lao na wamelitumikia taifa hili kwa miaka 60. Kuendelea kuwazungusha inaonyesha serikali eidha haina pesa ama ina lengo wastaafu hawa wafe na familia zao kuja kudhurumiwa. Tunasoma mapato yameongezeka uchumi unakua kwa kasi kwanini wasilipwe visenti vyao.

Siku zote mnafiki hana rafiki.
Hii Serikali haijali, mbona huwa anasema wakati anaomba kura alizunguuka nchi nzima peke yake
 
Subirini mpaka ccm wazirudishe ndy watalipwa

Ova
 
Ndugu 2016 karibu sana kuna wzee mwaka wa 10 sasa ,,no mafao
 
Kweli kabisaa mzee wangu kastaafu mwezi wa 6 2017 mpka leo hakuna alichopata.....
 
Kuna tetesi ambazo hazijakanushwa kwamba watumishi waliostaafu kazi hawajalipwa pesa zao na mifuko ya hifadhi ya jamii km nssf na pspf. Tetesi hizo zinasema kuwa mifuko hii haina fedha na hali yake ni mbaya, inasemekana akiba za wafanyakazi kwa kiwango kikubwa zimechotwa na serikali ya wanyonge ya ccm na kupangiwa matumizi mengine bila kupangiwa bajeti na bunge LA JMT.

Ni vema ccm na serikali yake km kweli ilichota akiba hizi za wafanyakazi kuzirejesha na kuwalipa wazee hawa kwani ni jasho lao na wamelitumikia taifa hili kwa miaka 60. Kuendelea kuwazungusha inaonyesha serikali eidha haina pesa ama ina lengo wastaafu hawa wafe na familia zao kuja kudhurumiwa. Tunasoma mapato yameongezeka uchumi unakua kwa kasi kwanini wasilipwe visenti vyao.

Siku zote mnafiki hana rafiki.
Nafikiri hii akiba ndo ile iliyokopwa na sisiem
 
Kuna mdogo wangu mmoja yupo Finland huu ni mwezi wa saba unakatika toka emeenda. Huko keshafanya kazi mbii na hii aliyonayo ni ya tatu toka amefika, japo si kazi za maana wala si za kuitumia nguvu au akili sana lakini ana uhakika wa kusave $1300 to 1700 kwa mwezi. Hiyo ni saving tu baada ya kulipa bills zote na mahitaji yake muhimu keshamaliza. Tatizo la huyu dogo anadai amepamiss sana nyumbani bongo hususani chakula na mahusiano na watu, anadai Finland hana marafiki wengi zaidi ya girlfriend aliyempata two months ago. So anasema anataka kurudi bongo kuja kukomaa na life ya huku hivyo hivyo, yeye akishapata mtaji inamtosha. Na mimi ninachokifanya kila nikisoma threads za kusikitisha na kukatisha tamaa kama hizi basi huwa nakopi then naziforwad kwake kupitia WhatsApp au email yake ili kumtahadharisha kinachoendelea bongo ikiwezekana asahau kabisa kurudi huku. Lengo langu sio kumtisha bali kumpa angalizo kuwa Bongo Bahati Mbaya.
NB: Kwa wale walio nje ya nchi au wenye ndugu nje ya nchi na maisha yao yanaenda vizuri kiasi kwamba anaweza kumbuka kutumia ndugu zake hata $ 400 na kuendelea kwa mwezi, pls tuendelee kuwakatisha tamaa za kurudi bongo hata iweje. Ni bora kuwa mtumwa nchi ya watu kuliko kuwa mtumwa katika nchi yako mwenyewe, inauma sana.
 
Hao hao ndio wanaoipigia kura CCM waendelee tu ili mafao yao yasilipwe
 
Pesa nmenunulia madiwan na wabunge msubili kidogo wale jamaa wa madin wakilipa kile kishika uchumba ntarudisha,
 
ccm yenyewe tu ilichota 337m na hawajalipa
 
Back
Top Bottom