Tetesi: Watumishi waliostaafu tangu 2016 hawajalipwa mafao yao na wanaisoma namba

Tetesi: Watumishi waliostaafu tangu 2016 hawajalipwa mafao yao na wanaisoma namba

Kweli kabisaa mzee wangu kastaafu mwezi wa 6 2017 mpka leo hakuna alichopata.....
Pspf wanalipa pension hawalipi gratuity.....hali ni mbaya sana kwa wanyonge
 
Ama kweli CCM ni chama cha magaidi. Hawana huruma hata chembe. Wazee wa watu wanakufa kihoro.
 
Pspf hali mbaya sana...hawajalipa idadi kubwa ya wastafu.
 
magu anafilisi nchi. anapiga dili la bombadia huku watu wanalia.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kuna wazee fulani kila siku wapo wanazungushwa kama Tufe la Mazoezi.
 
Kweli kabisaa mzee wangu kastaafu mwezi wa 6 2017 mpka leo hakuna alichopata.....
Mama yangu amestaafu tangu 2016 lkn hajapewa chake, sijui wanadhani anaishije, wanawafanyia wazazi wetu ukatili kwa kweli.

Vv
 
Mama yangu amestaafu tangu 2016 lkn hajapewa chake, sijui wanadhani anaishije, wanawafanyia wazazi wetu ukatili kwa kweli.

Vv
Mfuko gani huo mkuu.....mi najua kuhusu Pspf wanazingua Kwasababu kuna ndugu yangu toka mwaka jana mwezi wa 6 holaa
 
Aiseee babaangu anastaaafu mwakani mbona ni shidaa sasa,,hv kwanza imeshaungana hiyo mifuko au bado,nchi hii[emoji1430]
 
Kuna tetesi ambazo hazijakanushwa kwamba watumishi waliostaafu kazi hawajalipwa pesa zao na mifuko ya hifadhi ya jamii km nssf na PSPF. Tetesi hizo zinasema kuwa mifuko hii haina fedha na hali yake ni mbaya, inasemekana akiba za wafanyakazi kwa kiwango kikubwa zimechotwa na serikali ya wanyonge ya CCM na kupangiwa matumizi mengine bila kupangiwa bajeti na bunge la JMT.

Ni vema CCM na serikali yake km kweli ilichota akiba hizi za wafanyakazi kuzirejesha na kuwalipa wazee hawa kwani ni jasho lao na wamelitumikia taifa hili kwa miaka 60. Kuendelea kuwazungusha inaonyesha Serikali eidha haina pesa ama ina lengo wastaafu hawa wafe na familia zao kuja kudhurumiwa. Tunasoma mapato yameongezeka uchumi unakua kwa kasi kwanini wasilipwe visenti vyao.

Siku zote mnafiki hana rafiki.
Masahihisho - Hii siyo tetesi ni Habari ya kweli kabisa , wiki 2 zilizopita tumezika Mwl Mstaafu ambaye amekufa kwa ugonjwa mwepesi sana ! kafa kwa kukosa hela baada ya kusotea mafao yake kwa miaka mitatu bila mafanikio.

Mungu aiweke roho ya Marehemu mahali pema peponi , Amina
 
hizo sio tetesi ndio ukweli wenyewe.. cccm oyeeeeeee... "NASEMA PESA IPO" kwa sauti ya JpMpiana
 
Back
Top Bottom