Watumishi wengi wa Umma huenda kazini kwa lengo la kupiga dili tu

Watumishi wengi wa Umma huenda kazini kwa lengo la kupiga dili tu

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!

Nikiwa kwenye utumishi wa umma kwa miaka karibu 8 sasa nina experience ya kutosha kuhusu utumishi na maisha ya utumishi.

Kama mlinzi msomi mwenye shahada ya HRM nimefanya utafiti wa kutosha na kujiridhisha kuwa watumishi wa umma % kubwa wanakwenda kazini huku kichwani wamebeba mawazo ya wizi wa mali za umma, wizi wa pesa za umma, rushwa na udokozi sehemu za kazi.

Ukiona mtumishi wa umma anaishi maisha duni basi jua kuwa huyo aidha hapendi tabia za wizi au hana fursa ya kuiba au kupata rushwa sehemu yake ya kazi.

Serikali isipochukua hatua kudhibiti rushwa na wizi makazini basi isahau kuhusu maendeleo.

Huu upigaji dili huanza kwa wakurugenzi mpaka kwetu sisi huku chini. Unatamani upambane lakini unakuja kugundua kuwa utapambana na wenye nguvu basi unaungana nao kula mema ya nchi ili nawe upeleke watoto shule za gari za njano.
 
Habari!

Nikiwa kwenye utumishi wa umma kwa miaka karibu 8 sasa nina experience ya kutosha kuhusu utumishi na maisha ya utumishi.

Kama mlinzi msomi mwenye shahada ya HRM nimefanya utafiti wa kutosha na kujiridhisha kuwa watumishi wa umma % kubwa wanakwenda kazini huku kichwani wamebeba mawazo ya wizi wa mali za umma, wizi wa pesa za umma, rushwa na udokozi sehemu za kazi.

Ukiona mtumishi wa umma anaishi maisha duni basi jua kuwa huyo aidha hapendi tabia za wizi au hana fursa ya kuiba au kupata rushwa sehemu yake ya kazi.

Serikali isipochukua hatua kudhibiti rushwa na wizi makazini basi isahau kuhusu maendeleo.

Huu upigaji dili huanza kwa wakurugenzi mpaka kwetu sisi huku chini. Unatamani upambane lakini unakuja kugundua kuwa utapambana na wenye nguvu basi unaungana nao kula mema ya nchi ili nawe upeleke watoto shule za gari za njano.
Acha wivu
 
Habari!

Nikiwa kwenye utumishi wa umma kwa miaka karibu 8 sasa nina experience ya kutosha kuhusu utumishi na maisha ya utumishi.

Kama mlinzi msomi mwenye shahada ya HRM nimefanya utafiti wa kutosha na kujiridhisha kuwa watumishi wa umma % kubwa wanakwenda kazini huku kichwani wamebeba mawazo ya wizi wa mali za umma, wizi wa pesa za umma, rushwa na udokozi sehemu za kazi.

Ukiona mtumishi wa umma anaishi maisha duni basi jua kuwa huyo aidha hapendi tabia za wizi au hana fursa ya kuiba au kupata rushwa sehemu yake ya kazi.

Serikali isipochukua hatua kudhibiti rushwa na wizi makazini basi isahau kuhusu maendeleo.

Huu upigaji dili huanza kwa wakurugenzi mpaka kwetu sisi huku chini. Unatamani upambane lakini unakuja kugundua kuwa utapambana na wenye nguvu basi unaungana nao kula mema ya nchi ili nawe upeleke watoto shule za gari za njano.
100% true. Mtumishi akiwa mnyoofu wanamroga anakufa au wanafanya fitina anafukuzwa kazi.
 
Hilo lipo wazi mbona. Hii nchi tusahau suala la maendeleo endelevu. Kila mtu kwenye nafasi anajali tumbo lake na familia yake, na siyo future ya nchi.

Maendeleo Tanzania yatakuja yenyewe automatikale baada ya miaka mingi ijayo, na siyo kwa mipango ya Watanzania wa sasa
 
Kuandika madokezo ya hela au kufuatilia uhasibu waliyoandika jana au appointment na wadau kuomba "facilitation fee" ha huduma wanazotoa
 
Kama umeajiriwa na unapokea mshahara; ni vigumu kukataa pesa inayozidi mshahara; kama unataka uzalendo wa kumaanisha kweli uzalendo, kataa mshahara na ufanye kazi kwa kujitolea miaka yako yote.
 
Back
Top Bottom