Kwani waliokua na vyeti feki ni wahutu?au wanyarwanda?kipo wapi mbona hata kuajiri watu wapya hamna?tofautisha ukatili na kua strict,hebu niambie nchi imenufaika na kipi kwa kuwatumbua vyeti feki?
Hebu niambie nani alitengeneza hizo loop holes?natumai kuna chama kilitawala hapo katikati tofauti na CCM?natumai Hawa victims hawakufanya kazi na jitihada zao hazikujenga Taifa ,Natumai hili kosa wao wenyewe ndio waliifanya serikali i paralyse mifumo yake isifanye kazi ili wapate kazi ,natumai maelfu ya watendaji wa serikali hawakushiriki,natumai pia Hawa watu hawakua wanachangia mafao ya mfuko wa jamii ambayo serikali hukopaga ,na Nadhani pia serikali walikua hawakati paye as you earn bila kusahau hela hizi walikua wanatumia kenya ,Uganda,Rwanda au nje ya nchi wakiutengeneza uchumi wa huko
Hivi unafahamu serikali inaweza ikaanzisha program hata Kama haina faida ili mradi tu wapunguze unemployment rate na kuchochea uchumi?
Hamna sheria isiyokua na exception hapa ndio maana ya busara inakuja