Young fadson
JF-Expert Member
- Nov 6, 2017
- 1,177
- 1,406
Dhambi ni dhambi tu regardless dhambi ilibeba dhamira chanya lakn iliumiza wengiHata kama mlitumbuliwa kwa vyeti feki, lakini wehuoni kwamba basi mlipaswa mlipwe stahiki zenu kwa utumishi wenu ulio tukuka kabla hamja tumbuliwa..??
Uwe mtanzania au mhutu, udanganyifu sehemu yoyote haukubaliki. Kama una mtoto wako anasoma msisitize asome kwa bidii, ili asije kulazimika kutengeneza vyeti feki Kama wewe.Kwani waliokua na vyeti feki ni wahutu?au wanyarwanda?kipo wapi mbona hata kuajiri watu wapya hamna?tofautisha ukatili na kua strict,hebu niambie nchi imenufaika na kipi kwa kuwatumbua vyeti feki?
Hebu niambie nani alitengeneza hizo loop holes?natumai kuna chama kilitawala hapo katikati tofauti na CCM?natumai Hawa victims hawakufanya kazi na jitihada zao hazikujenga Taifa ,Natumai hili kosa wao wenyewe ndio waliifanya serikali i paralyse mifumo yake isifanye kazi ili wapate kazi ,natumai maelfu ya watendaji wa serikali hawakushiriki,natumai pia Hawa watu hawakua wanachangia mafao ya mfuko wa jamii ambayo serikali hukopaga ,na Nadhani pia serikali walikua hawakati paye as you earn bila kusahau hela hizi walikua wanatumia kenya ,Uganda,Rwanda au nje ya nchi wakiutengeneza uchumi wa huko
Hivi unafahamu serikali inaweza ikaanzisha program hata Kama haina faida ili mradi tu wapunguze unemployment rate na kuchochea uchumi?
Hamna sheria isiyokua na exception hapa ndio maana ya busara inakuja
Kwani report ya vyeti feki maraisi waliopita unadhani hawakupewa?busara mkuu na ndio maana kuna utofauti Kati ya kua katili na strictW
Uwe mtanzania au mhutu, udanganyifu sehemu yoyote haukubaliki. Kama una mtoto wako anasoma msisitize asome kwa bidii, ili asije kulazimika kutengeneza vyeti feki Kama wewe.
Watz wengi wana hii mentality ya kipumbavu kuliko zote duniani.Haya ndio mawazo ya mtu anapo amini kwamba haki yake ni msaada ama fadhila...[emoji23][emoji23]
Wengi walifunguwa akaunti zao za bank baada kufukuzwa ili wakafe kabisa na njaa.Hata kama mlitumbuliwa kwa vyeti feki, lakini wehuoni kwamba basi mlipaswa mlipwe stahiki zenu kwa utumishi wenu ulio tukuka kabla hamja tumbuliwa..??
CCM HATUHITAJI KURA ZA WAHUJUMU UCHUMII.Mimi ni mmoja wa watumishi wa Serikali tuliobainika kuwa na vyeti feki kwenye zoezi la uhakiki wa vyeti feki lililofanyika mwaka 2016.
Nakumbuka takribani watumishi 9000 tulikumbwa na hili sakata la kuwa na vyeti feki. Kwa tathimini iliyofanyika kupitia kundi la sogosi la watumishi tuliokutwa na vyeti feki mwaka 2016 inaonesha kuwa zaidi ya 80% ya watumishi hao waliokutwa na vyeti feki hawana kinyongo na mgombea urais kupitia CCM na wanadai kuwa wangetamani watumishi wenzao waliokutwa na vyeti feki wamuunge mkono mgombea kupitia CCM ili aendelee kuinyoosha nchi iliyokuwa imeoza kwa masuala ya ufisadi, janja janja kwa baadhi ya vigogo waliokuwa wanatumia nafasi zao kuwaingiza ndugu zao serikalini bila kufuata taratibu za Serikali.
Wakaenda mbali kwa kusema na kukiri kuwa in kweli waliwazibia nafasi za ajira serikalini watoto wa maskini waliosoma lakini hawakupata ajira Serikalini kutokana na sababu za baadhi ya wahuni kuziba nafasi.
Kufuatia mjadala unaondelea huko kwenye kundi la sogosi wengi ( majority) wanatoa maoni kuwa watamchagua Magufuli tarehe 28/10/2020 ili aendelee kuinyoosha nchi.
Wengine pia wameomba watumishi ambao wanasema hawajapandishwa madaraja wasiwe na wasi wasi na wamuunge mkono Magufuli kwani tayari ameshaahidi kuwapandisha madaraja na kuwaongezea mishahara minono kabla kipindi chake kuisha.
Hiyo ni dhulmaAngetulipa kifuta jasho tungemfikiria. Wengine tulikua kwenye likizo ya kustaafu tumeachiwa maumivu makubwa
Kwahiyo ulitaka nchi uendelee kulea huo uozo?? Yaani tujihesabu tuna wasomi ilhali wasomi Ni wa kugushi😳? Busara ndo hizo, watu waumie, Ila huo ushenzi utoweke.Kwani report ya vyeti feki maraisi waliopita unadhani hawakupewa?busara mkuu na ndio maana kuna utofauti Kati ya kua katili na strict
Sarcasm or?!
kuungama dhambi kwa padre na Mungu kuwa usamehewe kwa kutumia cheti feki kazini na kuwazibia wengine nafasi wenye vyeti halali kwa muhimu kuliko kushupaza shingoHATUDANGANYIKI!
Mkuu msome taratibu ana ujumbeHaya ndio mawazo ya mtu anapo amini kwamba haki yake ni msaada ama fadhila...[emoji23][emoji23]
Kuna maccm kama Polepole yana DHAMBI. Unafunga MIRIJA ya UCHUMI Nchi nzima. Wananchi wanalia NJA.Kwahiyo ulitaka nchi uendelee kulea huo uozo?? Yaani tujihesabu tuna wasomi ilhali wasomi Ni wa kugushi[emoji15]? Busara ndo hizo, watu waumie, Ila huo ushenzi utoweke.
HATUDANGANYIKI!kuungama dhambi kwa padre na Mungu kuwa usamehewe kwa kutumia cheti feki kazini na kuwazibia wengine nafasi wenye vyeti halali kwa muhimu kuliko kushupaza shingo
Majuto ni kuungama na kumpa kura Magufuli. Usiopofanya hivyo huonyeshi Roho ya majuto na Mungu hawajibiki mbeleni kukusaidia wewe wala kizazi chako
Tuovunjiwa nyumba zetu kupisha barabara tu comment wapi?Mimi ni mmoja wa watumishi wa Serikali tuliobainika kuwa na vyeti feki kwenye zoezi la uhakiki wa vyeti feki lililofanyika mwaka 2016.
Nakumbuka takribani watumishi 9000 tulikumbwa na hili sakata la kuwa na vyeti feki. Kwa tathimini iliyofanyika kupitia kundi la sogosi la watumishi tuliokutwa na vyeti feki mwaka 2016 inaonesha kuwa zaidi ya 80% ya watumishi hao waliokutwa na vyeti feki hawana kinyongo na mgombea urais kupitia CCM na wanadai kuwa wangetamani watumishi wenzao waliokutwa na vyeti feki wamuunge mkono mgombea kupitia CCM ili aendelee kuinyoosha nchi iliyokuwa imeoza kwa masuala ya ufisadi, janja janja kwa baadhi ya vigogo waliokuwa wanatumia nafasi zao kuwaingiza ndugu zao serikalini bila kufuata taratibu za Serikali.
Wakaenda mbali kwa kusema na kukiri kuwa in kweli waliwazibia nafasi za ajira serikalini watoto wa maskini waliosoma lakini hawakupata ajira Serikalini kutokana na sababu za baadhi ya wahuni kuziba nafasi.
Kufuatia mjadala unaondelea huko kwenye kundi la sogosi wengi ( majority) wanatoa maoni kuwa watamchagua Magufuli tarehe 28/10/2020 ili aendelee kuinyoosha nchi.
Wengine pia wameomba watumishi ambao wanasema hawajapandishwa madaraja wasiwe na wasi wasi na wamuunge mkono Magufuli kwani tayari ameshaahidi kuwapandisha madaraja na kuwaongezea mishahara minono kabla kipindi chake kuisha.