Uchaguzi 2020 Watumishi wenzangu tuliotumbuliwa kwa sakata la vyeti feki tumchague Magufuli 2020

Hata kama mlitumbuliwa kwa vyeti feki, lakini wehuoni kwamba basi mlipaswa mlipwe stahiki zenu kwa utumishi wenu ulio tukuka kabla hamja tumbuliwa..??
Dhambi ni dhambi tu regardless dhambi ilibeba dhamira chanya lakn iliumiza wengi
 
W Uwe mtanzania au mhutu, udanganyifu sehemu yoyote haukubaliki. Kama una mtoto wako anasoma msisitize asome kwa bidii, ili asije kulazimika kutengeneza vyeti feki Kama wewe.
 
W
Uwe mtanzania au mhutu, udanganyifu sehemu yoyote haukubaliki. Kama una mtoto wako anasoma msisitize asome kwa bidii, ili asije kulazimika kutengeneza vyeti feki Kama wewe.
Kwani report ya vyeti feki maraisi waliopita unadhani hawakupewa?busara mkuu na ndio maana kuna utofauti Kati ya kua katili na strict
 
wachache sana tulioelewa hiki kitu mimi kama muhakiki mwandishi kajaribu kuficha dhumuni lake kwa kutumia mtindo wa kupindua manene em someni tena kinyume chake mtapata jibu
 
Unalazimisha maji kupanda mlima, unapoteza muda wako.
 
Hata kama mlitumbuliwa kwa vyeti feki, lakini wehuoni kwamba basi mlipaswa mlipwe stahiki zenu kwa utumishi wenu ulio tukuka kabla hamja tumbuliwa..??
Wengi walifunguwa akaunti zao za bank baada kufukuzwa ili wakafe kabisa na njaa.
Hilo halioni
 
CCM HATUHITAJI KURA ZA WAHUJUMU UCHUMII.
 
Kwani report ya vyeti feki maraisi waliopita unadhani hawakupewa?busara mkuu na ndio maana kuna utofauti Kati ya kua katili na strict
Kwahiyo ulitaka nchi uendelee kulea huo uozo?? Yaani tujihesabu tuna wasomi ilhali wasomi Ni wa kugushi😳? Busara ndo hizo, watu waumie, Ila huo ushenzi utoweke.
 
Kwani Jiwe anataka kura za wenye vyeti feki na familia zao ? Nazo SI Ni kura feki au? Sasa hivi ndio amewaona watu alifikiri akiwafukuza watakufa? Mbona wako hai ? Vipi na kura za wapiga diri nazo anazitaka ? Hajakwambia ?
 
HATUDANGANYIKI!
kuungama dhambi kwa padre na Mungu kuwa usamehewe kwa kutumia cheti feki kazini na kuwazibia wengine nafasi wenye vyeti halali kwa muhimu kuliko kushupaza shingo

Majuto ni kuungama na kumpa kura Magufuli. Usiopofanya hivyo huonyeshi Roho ya majuto na Mungu hawajibiki mbeleni kukusaidia wewe wala kizazi chako
 
Kwahiyo ulitaka nchi uendelee kulea huo uozo?? Yaani tujihesabu tuna wasomi ilhali wasomi Ni wa kugushi[emoji15]? Busara ndo hizo, watu waumie, Ila huo ushenzi utoweke.
Kuna maccm kama Polepole yana DHAMBI. Unafunga MIRIJA ya UCHUMI Nchi nzima. Wananchi wanalia NJA.

Wakisema vyuma vimekaza eti unawafunga badala kufungua mirija ya Uchumi.

Huu ujinga wote unafanywa ili uweze kuwaDHIBITI siku ya UCHAGUZI kwa kuwapa buku mbili wajaze viwanja.
 
HATUDANGANYIKI!
 
Tuovunjiwa nyumba zetu kupisha barabara tu comment wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…