Watumishi zaidi ya 200 Wasimamishiwa mshahara kisa ESS (PEPMIS)

walitakiwa kuplan then utekelezaji ungekuwa barua ya ruhusa kwenda masomoni.
Wakati mwingine tuwe wakweli, kumbuka unaplan kwa mwaka unaoishia juni, 2024...ruhusa ya shule unayo mwaka wa tatu huu...hayo majukumu ya kuplan ulipewa na nani? Au yale uongo uongo kila sehemu.
 
hiyo siyo rorya peke yake ni tz nzima yani ni shid maaana kuna watumishi wapy wamepata chek namba huu mwezi wa pili na wenyew mshahar umesimama, hii nchi aisee cjui...
 
binafsi ni muhanga wa hilo tatizo na nina mwezi wa pili kazini , hii ishu ni ya tz nzima..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…