Wengine walihasiwa na kuwa matowashi wenye kuheshimika.Ni kweli mkuu.....
Halafu hao watumwa walikuwa na "grade" kitafsiri.....
Inasemekana JAMII zilizokuwa katika VITA...wale washindwao walichukuliwa mateka na kwenda KUTUMIKISHWA vyovyote iwavyo....wako waliokaa majumbani kuwatumikia mabwana zao wapya....wako walioishi na kujikomboa kwa KUNUNUA Uhuru wao/kutolewa fedha kupatiwa Uhuru wao/kuolewa/kuzaa na mabwana zao....
Wako waliopewa heshima ya kuwa RAIA wapya.....
Ninamkumbuka "UNCLE TOM" mnyapara wa wenzake kule mashamba ya watumwa Marekani 🤣🤣🤣
Yaah mkuu....Wengine walihasiwa na kuwa matowashi wenye kuheshimika.
👍Wengine walihasiwa na kuwa matowashi wenye kuheshimika.
Mbilikimo na CongoKuliwa Kama kuliwa ..! Dah!
nafikiri utumwa ulikua ni moja kati ya mode of production.Kinachoshangaza wako MACHIFU waliohusika kuwauza wenzao....je waliwatoa BURE?!!
Je hakuna familia zilizopewa fedha kutoa vijana wao waende wakafanye kazi huko "mbinguni kwa watu weupe"?!!!
siku hizi tunapambana wenyewe kwenda na tumepewa jina la irrigal immigrantsKama ndivyo hivyo mbona inasemekana WAKO VIONGOZI NA MACHIFU walioshirikiana na wageni hao kuwapatia WATUMWA....
Kwa hiyo hao machifu wasaliti walikuwa wanawapeleka watu wao kuwa VITOWEO?!!! Khaaa 😳😳😳
Na hao waliochukuliwa hawakupambana mpaka kufa huku wakijua wanakwenda kufanywa KITOWEO?!!!😳😳
Jamaa waliochukua watumwa wazee wetu WALITUDHALILISHA na KUTUFANYIA UKATILI SANA...daah inauma mno......
🤣🤣siku hizi tunapambana wenyewe kwenda na tumepewa jina la irrigal immigrants
Wale jamaa warefu wanacheza basketball hawakutokea hivihivi.kuna sehemu nilisoma wanasema USA kulikua na shamba la kuwafanya watumwa wazaliane hata ndugu kwa ndugu kama mtu anavyofuga nguruwe hivi jamaa anatupiwa hata mademu 40 awajaze mimba
Sasa hivi mbona mnapambana wenyewe kwenda utumwani?Pumbavu zao waliokuwa wanafanya biashara ya utumwa kwa waafrika, wajaribu tena watakiona cha mtema kuni
Ili watu waongezeke haraka wakalime...aisee!kuna sehemu nilisoma wanasema USA kulikua na shamba la kuwafanya watumwa wazaliane hata ndugu kwa ndugu kama mtu anavyofuga nguruwe hivi jamaa anatupiwa hata mademu 40 awajaze mimba
Enzi za utumwa hali ilikuwa ni mbaya sana. Mtumwa alikuwa ni mtu wa hogu kwenye safari yake yote. Nafikiri alipofika anapokwenda alipumua kwa ahueni baada ya kujua kuwa ameenda kulima.
Inasemwa kuwa mara tu walipofika pwani na kuona meli huzuni kuu iliwaingia. Macho yao yalionyesha kukata tamaa kabisa. Walijua safari ya kwenda kuliwa imefika. Mara meli ilipotingishika kuondoka, vilio vikubwa sana vilisikika.
Hii hadithi ilitumiwa pia na wafanyabiashara ya watumwa wa kiarabu. Wazungu walipopiga marufuku utumwa, na kuanza kuvamia misafara ya waarabu. Waarabu waliwambia waafrika kuwa wazungu wanawakomboa ili kwenda kuwala.
Kabla ya wazungu na waarabu kuja Afrika kuchukua watumwa, Waafrika tayari tulikua na historia ya kuwafanya watumwa wana wa Israel miaka na miaka.
Inawezekana Africa ndio lilikua bara la kwanza (waanzilishi wa utumwa) hapa duniani.
Hawa hapa watalii wanapelekwa uarabuni.Hao watumwa waliochukuriwa na waarabu wako wapi? Unaweza nipatia ushaidi uliojitoshereza na kapicha OG mzehe.
Waliwabaka Ili kuua kizazi chaoHao watumwa waliochukuriwa na waarabu wako wapi? Unaweza nipatia ushaidi uliojitoshereza na kapicha OG mzehe.
True adui wa mwafrika ni mwafrika haikuanza leoIla machifu wa kiafrika walishiriki sana kwenye hii biashara. Wakulaumiwa si wazungu pekee. Chifu fulani analipwa bunduki, nguo, kipande cha chuma kisha anenda kuvamia kabila lingine na kuwapa wazungu. Ilikuwa ni biashara ya pesa nyingi sana.
Hata kuna falme za kiafrika zilimiliki watumwa. Mfano Ghana, waakan walijenga ufalme wao kwa kutumia watumwa migodini na mashambani.
Leo wakija Hakuna kijana atabaki Afrika.
Zamani walichukuliwa kwa nguvu siku hizi wanajazana ubalozini kugombea viza