Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
Em tuache Wangoni, tuko zetu hapa Songea wala hatutaki tabu kabisaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama wangoni walivyotoka Afrika kusini. Walitembea
ha ha ha kwamba walitembea toka rwanda😂😂Kama wangoni walivyotoka Afrika kusini. Walitembea
wajihi ndo nnNadhani ni katika suala zima la kuoleana maana nakumbuka mwaka nimetembelea Wilaya ya Kyela nulipokuwa naishi kulikuwa na jirani yetu Mjeshi mstaafu wa kinyaki familia yake ilikuwa na wajihi wa kinyaru. Nilipoendekea kuchunguza zaidi niligundua kuwa mama yao ni mnyarwanda.
mkuu umeijibu kwa weredi sana hiiNadhani ni katika suala zima la kuoleana maana nakumbuka mwaka nimetembelea Wilaya ya Kyela nulipokuwa naishi kulikuwa na jirani yetu Mjeshi mstaafu wa kinyaki familia yake ilikuwa na wajihi wa kinyaru. Nilipoendekea kuchunguza zaidi niligundua kuwa mama yao ni mnyarwanda.
wawekezaji au wakaziHata wasomali wapo kibao,mababu zo walizamia Mbeya,bado Mbarali kuna Waburushi wamejazana
hawana lolote mkuu hiyo nchi yao ni puppet stateLabda zitakuwa ni familia za kiintelijensia.
Maana wenzetu wana akili ya kuona mamia ya miaka mbele!
yawezekanaUsikute hata Uganda kuna Wakinga na Wanyakyusa
hivyo ndivyo congo ilivyovamiwaLabda zitakuwa ni familia za kiintelijensia.
Maana wenzetu wana akili ya kuona mamia ya miaka mbele!
kheeeehivyo ndivyo congo ilivyovamiwa
jeshi la congo limejaa watu utafanyej? ukisema unawatoa wanakuukheeee
wako jeshini au wako kwene makundi ya waasijeshi la congo limejaa watu utafanyej? ukisema unawatoa wanakuu