Watusi walifikaje Mkoa wa Mbeya?

Watusi walifikaje Mkoa wa Mbeya?

Kuna jamii ndogo ya Watusi mkoa wa mbeya ambayo wamekua ni wenyeji kwa muda. Kwasababu ni jamii ya watu wachache si rahisi kunotice.

Binafsi nimekutana na familia kama kumi hivi wengine wanajiita Wanyakyusa lakini ukiongea nao unakuta wana asili ya kitusi ni kama mababu zao walikuja siku nyingi.

Swali ni je jamii hii ya Watusi walifikaje Mbeya?

Hasa ukizingatia mbeya haiko mpakanani na rwanda
Umekutana na familia 10,hukupata hata mwanafamilia mmoja wa kumuuliza...unataka majibu hapa! Fine,waliingia mbeya wakitokea Gambia kupitia mpaka wa palestina huko Brazil
 
Wakt ya vita za wenyewe kwa wenyewe rwanda achana na hii ya kimbari…
Walitawanyika wengine kwenda kongo,uganda,burundi wengine tanzania

kwasababu tanzania ilikua haiwapendi kulingana na tabia zao za kupenda vita walipofika wengi walianza kujiita wachaga wahaya hata wengine kujipa makabila ya ndan nadhan hata huko mbeya watakua walifika mtundo uo uo
Watusi wanasiri kubwa ya kujificha kabila lao na lugha yao. Wakifika nchi ngenj wanajifunza mila na lugha na desturi ila watahakikisha hawapotezi asili yao. Wanajuana wa mbeya, iringa, dodoma, mwanza, mara nk.Na wengi mwishoni wanaoana wzo kw wao. Hushangai kule rwanda na burundi wanazungumza kinyarwana kinacofanana kiha lakini wanawadharau wenzao. Lugha yao waliipeleka wapi?
 
Kuna jamii ndogo ya Watusi mkoa wa mbeya ambayo wamekua ni wenyeji kwa muda. Kwasababu ni jamii ya watu wachache si rahisi kunotice.

Binafsi nimekutana na familia kama kumi hivi wengine wanajiita Wanyakyusa lakini ukiongea nao unakuta wana asili ya kitusi ni kama mababu zao walikuja siku nyingi.

Swali ni je jamii hii ya Watusi walifikaje Mbeya?

Hasa ukizingatia mbeya haiko mpakanani na rwanda
watusi walisambaa sana tangu miaka ya 1950s wakati wa first Hutu revolution, ukienda maeneo ya Tabora, shinyanga, simiyu, mwanza, kagera, kigoma n.k, wapo wengi sana sana na ni watanzania kwa sababu wazazi wao walifika hapa kabla ya uhuru, na kwa katiba yetu mtu yeyote aliyekuwepo nchini kabla ya uhuru ni mtanzania kwa asili sio mhamiaji. kuuliza walifikaje mbeya, kwa nini usiulize walifikaje mwanza na kahama? familia zilichukuana, ukiona mjomba kakimbilia mtwara unaenda huko. hata AY huwa anajinasibu kuwa mama yake ni mtusi/mnyarwanda, sijajuaga kama kuwa mtusi ni heshima au hadhi.
 
watusi walisambaa sana tangu miaka ya 1950s wakati wa first Hutu revolution, ukienda maeneo ya Tabora, shinyanga, simiyu, mwanza, kagera, kigoma n.k, wapo wengi sana sana na ni watanzania kwa sababu wazazi wao walifika hapa kabla ya uhuru, na kwa katiba yetu mtu yeyote aliyekuwepo nchini kabla ya uhuru ni mtanzania kwa asili sio mhamiaji. kuuliza walifikaje mbeya, kwa nini usiulize walifikaje mwanza na kahama? familia zilichukuana, ukiona mjomba kakimbilia mtwara unaenda huko. hata AY huwa anajinasibu kuwa mama yake ni mtusi/mnyarwanda, sijajuaga kama kuwa mtusi ni heshima au hadhi.
Superiority complex
 
Umekutana na familia 10,hukupata hata mwanafamilia mmoja wa kumuuliza...unataka majibu hapa! Fine,waliingia mbeya wakitokea Gambia kupitia mpaka wa palestina huko Brazil
Hata akili yako inafanana kabisa😂
 
Back
Top Bottom