Pharmacy
Member
- Jul 13, 2021
- 66
- 81
Jeshini wizarani upand wa waasi nk ningumu kumezawako jeshini au wako kwene makundi ya waasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jeshini wizarani upand wa waasi nk ningumu kumezawako jeshini au wako kwene makundi ya waasi
walifika kwa usafiri wa mabasi!!Kuna jamii ndogo ya Watusi mkoa wa mbeya ambayo wamekua ni wenyeji kwa muda. Kwasababu ni jamii ya watu wachache si rahisi kunotice.
Binafsi nimekutana na familia kama kumi hivi wengine wanajiita Wanyakyusa lakini ukiongea nao unakuta wana asili ya kitusi ni kama mababu zao walikuja siku nyingi.
Swali ni je jamii hii ya Watusi walifikaje Mbeya?
Hasa ukizingatia mbeya haiko mpakanani na rwanda
Ushoga uliingiaje kwa wangoni mzee baba ?Em tuache Wangoni, tuko zetu hapa Songea wala hatutaki tabu kabisaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wazungu waliletaa.Ushoga uliingiaje kwa wangoni mzee baba ?
Wakt ya vita za wenyewe kwa wenyewe rwanda achana na hii ya kimbari…Kuna jamii ndogo ya Watusi mkoa wa mbeya ambayo wamekua ni wenyeji kwa muda. Kwasababu ni jamii ya watu wachache si rahisi kunotice.
Binafsi nimekutana na familia kama kumi hivi wengine wanajiita Wanyakyusa lakini ukiongea nao unakuta wana asili ya kitusi ni kama mababu zao walikuja siku nyingi.
Swali ni je jamii hii ya Watusi walifikaje Mbeya?
Hasa ukizingatia mbeya haiko mpakanani na rwanda
Walishushwa kutoka mbinguni.Kuna jamii ndogo ya Watusi mkoa wa mbeya ambayo wamekua ni wenyeji kwa muda. Kwasababu ni jamii ya watu wachache si rahisi kunotice.
Binafsi nimekutana na familia kama kumi hivi wengine wanajiita Wanyakyusa lakini ukiongea nao unakuta wana asili ya kitusi ni kama mababu zao walikuja siku nyingi.
Swali ni je jamii hii ya Watusi walifikaje Mbeya?
Hasa ukizingatia mbeya haiko mpakanani na rwanda
ni kweli nchi nyingine huwezi ishi kizembe labda CongoHii Tanganyika ina shinda kubwa sana kwenye suala la uhamiaji na huko mipakani. Raia kutoka mataifa mengine wanaingia nchini na kuishi bila shida yoyote ile, sasa wewe jichanganye uende kwenye mataifa yao uone utakavyo tolewa mbioo.
cheki hili li UTOKOWalishushwa kutoka mbinguni.
mbeya kuna makabila mengi labda useme kama ni mtusiSio kesi walifikaje, ishu ni kwa nini wajifiche kwenye makabila ya watu wengine wana nia gani? Kwani ni dhambi kuwa kabila lao?
Kuna dada mmoja maarufu huko anajiita Mnyakyusa ila hana kabisa "vigezo na masharti" vya wanawake wa Mbeya if you know what i'm saying. Mnyaki gani ana shepu ya Mange jamani? Wanawake wa Kinyaki wanajulikana walivyo bwana. Watu wanaiba kura na mpaka kabila. 😀😀
Zambia Kuna sehemu ambayo Watutsi wengi wanaishi huko na kufanya biashara wengine wanasubiri permit ya refugees kwenda nje. Kule Zambia ndiyo Kituo kikubwa wanajiandikisha kama refugees na kupata fursa za kusafiri nje... Sasa ukiwaona Watutsi wengi Mbeya wapo on transit to Zambia. Wengine wapo kwenye michongo ya kusafiri wengine wameamua kufanya Maisha. Mbeya ni jirani na Zambia.wako jeshini au wako kwene makundi ya waasi
kwann waende zambia kwan wakiwa rwanda hawawezi safiriZambia Kuna sehemu ambayo Watutsi wengi wanaishi huko na kufanya biashara wengine wanasubiri permit ya refugees kwenda nje. Kule Zambia ndiyo Kituo kikubwa wanajiandikisha kama refugees na kupata fursa za kusafiri nje... Sasa ukiwaona Watutsi wengi Mbeya wapo on transit to Zambia. Wengine wapo kwenye michongo ya kusafiri wengine wameamua kufanya Maisha. Mbeya ni jirani na Zambia.
Nawe ulifikaje hapo ulipoSwali ni je jamii hii ya Watusi walifikaje Mbeya?
Kuna wakinga niliwakuta Iritrea mwaka 2008Usikute hata Uganda kuna Wakinga na Wanyakyusa
Uso...wajihi ndo nn
Africa is for Africans,free movements zimekuwepo Karne na Karne,hata wewe kama ingekuwa na historia ya vizazi vyenu,hapa Tanzania siyo asili yetu,Kuna jamii ndogo ya Watusi mkoa wa mbeya ambayo wamekua ni wenyeji kwa muda. Kwasababu ni jamii ya watu wachache si rahisi kunotice.
Binafsi nimekutana na familia kama kumi hivi wengine wanajiita Wanyakyusa lakini ukiongea nao unakuta wana asili ya kitusi ni kama mababu zao walikuja siku nyingi.
Swali ni je jamii hii ya Watusi walifikaje Mbeya?
Hasa ukizingatia mbeya haiko mpakanani na rwanda