Watusi walifikaje Mkoa wa Mbeya?

Watusi walifikaje Mkoa wa Mbeya?

Kuna jamii ndogo ya Watusi mkoa wa mbeya ambayo wamekua ni wenyeji kwa muda. Kwasababu ni jamii ya watu wachache si rahisi kunotice.

Binafsi nimekutana na familia kama kumi hivi wengine wanajiita Wanyakyusa lakini ukiongea nao unakuta wana asili ya kitusi ni kama mababu zao walikuja siku nyingi.

Swali ni je jamii hii ya Watusi walifikaje Mbeya?

Hasa ukizingatia mbeya haiko mpakanani na rwanda
walifika kwa usafiri wa mabasi!!
 
Mnakuza mambo. Wapo mpaka Katavi
Nchi yoyote ikiwa na instability tegemea raia wake kutapakaa nchi nyingine.
 
Hivi wewe ulishawahi kujiuliza umefikaje hapo unapopaita kwenye?..
 
Sio kesi walifikaje, ishu ni kwa nini wajifiche kwenye makabila ya watu wengine wana nia gani? Kwani ni dhambi kuwa kabila lao?
Kuna dada mmoja maarufu huko anajiita Mnyakyusa ila hana kabisa "vigezo na masharti" vya wanawake wa Mbeya if you know what i'm saying. Mnyaki gani ana shepu ya Mange jamani? Wanawake wa Kinyaki wanajulikana walivyo bwana. Watu wanaiba kura na mpaka kabila. 😀😀
 
Kuna jamii ndogo ya Watusi mkoa wa mbeya ambayo wamekua ni wenyeji kwa muda. Kwasababu ni jamii ya watu wachache si rahisi kunotice.

Binafsi nimekutana na familia kama kumi hivi wengine wanajiita Wanyakyusa lakini ukiongea nao unakuta wana asili ya kitusi ni kama mababu zao walikuja siku nyingi.

Swali ni je jamii hii ya Watusi walifikaje Mbeya?

Hasa ukizingatia mbeya haiko mpakanani na rwanda
Wakt ya vita za wenyewe kwa wenyewe rwanda achana na hii ya kimbari…
Walitawanyika wengine kwenda kongo,uganda,burundi wengine tanzania

kwasababu tanzania ilikua haiwapendi kulingana na tabia zao za kupenda vita walipofika wengi walianza kujiita wachaga wahaya hata wengine kujipa makabila ya ndan nadhan hata huko mbeya watakua walifika mtundo uo uo
 
Kuna jamii ndogo ya Watusi mkoa wa mbeya ambayo wamekua ni wenyeji kwa muda. Kwasababu ni jamii ya watu wachache si rahisi kunotice.

Binafsi nimekutana na familia kama kumi hivi wengine wanajiita Wanyakyusa lakini ukiongea nao unakuta wana asili ya kitusi ni kama mababu zao walikuja siku nyingi.

Swali ni je jamii hii ya Watusi walifikaje Mbeya?

Hasa ukizingatia mbeya haiko mpakanani na rwanda
Walishushwa kutoka mbinguni.
 
Hii Tanganyika ina shinda kubwa sana kwenye suala la uhamiaji na huko mipakani. Raia kutoka mataifa mengine wanaingia nchini na kuishi bila shida yoyote ile, sasa wewe jichanganye uende kwenye mataifa yao uone utakavyo tolewa mbioo.
 
Hii Tanganyika ina shinda kubwa sana kwenye suala la uhamiaji na huko mipakani. Raia kutoka mataifa mengine wanaingia nchini na kuishi bila shida yoyote ile, sasa wewe jichanganye uende kwenye mataifa yao uone utakavyo tolewa mbioo.
ni kweli nchi nyingine huwezi ishi kizembe labda Congo
 
Sio kesi walifikaje, ishu ni kwa nini wajifiche kwenye makabila ya watu wengine wana nia gani? Kwani ni dhambi kuwa kabila lao?
Kuna dada mmoja maarufu huko anajiita Mnyakyusa ila hana kabisa "vigezo na masharti" vya wanawake wa Mbeya if you know what i'm saying. Mnyaki gani ana shepu ya Mange jamani? Wanawake wa Kinyaki wanajulikana walivyo bwana. Watu wanaiba kura na mpaka kabila. 😀😀
mbeya kuna makabila mengi labda useme kama ni mtusi
 
wako jeshini au wako kwene makundi ya waasi
Zambia Kuna sehemu ambayo Watutsi wengi wanaishi huko na kufanya biashara wengine wanasubiri permit ya refugees kwenda nje. Kule Zambia ndiyo Kituo kikubwa wanajiandikisha kama refugees na kupata fursa za kusafiri nje... Sasa ukiwaona Watutsi wengi Mbeya wapo on transit to Zambia. Wengine wapo kwenye michongo ya kusafiri wengine wameamua kufanya Maisha. Mbeya ni jirani na Zambia.
 
Zambia Kuna sehemu ambayo Watutsi wengi wanaishi huko na kufanya biashara wengine wanasubiri permit ya refugees kwenda nje. Kule Zambia ndiyo Kituo kikubwa wanajiandikisha kama refugees na kupata fursa za kusafiri nje... Sasa ukiwaona Watutsi wengi Mbeya wapo on transit to Zambia. Wengine wapo kwenye michongo ya kusafiri wengine wameamua kufanya Maisha. Mbeya ni jirani na Zambia.
kwann waende zambia kwan wakiwa rwanda hawawezi safiri
 
Hawa Wamakonde walijikaje hapa Kenya.
 
Kuna jamii ndogo ya Watusi mkoa wa mbeya ambayo wamekua ni wenyeji kwa muda. Kwasababu ni jamii ya watu wachache si rahisi kunotice.

Binafsi nimekutana na familia kama kumi hivi wengine wanajiita Wanyakyusa lakini ukiongea nao unakuta wana asili ya kitusi ni kama mababu zao walikuja siku nyingi.

Swali ni je jamii hii ya Watusi walifikaje Mbeya?

Hasa ukizingatia mbeya haiko mpakanani na rwanda
Africa is for Africans,free movements zimekuwepo Karne na Karne,hata wewe kama ingekuwa na historia ya vizazi vyenu,hapa Tanzania siyo asili yetu,
 
Back
Top Bottom