Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,395
Walitaka wafungiwe ili wajaze shobo kwa media za kimataifa.. Magufuli kawa "fungia kwa kuwafungulia" - Sasa hawajui la kufanya, wanacheza drafti kumbe magu yupo kwa chessNi msimamo wa magufuli kutofunga mipaka tokea awali
Mbona mnajishtukia mungiki,hamuamini!
Katika hili janga nimegundua kuwa kweli bendera hufuata upepo. WaAfrika wanapata sababu za ku-support mpaka ukifungwa au hata pia ukifunguliwa. Mwafrika aipinge serikali tukufu? Ajifikirie mwenyewe? Haiwezekani!
Serikali ikisema, nitatafuta jinsi ya kuipindisha habari hiyo vilivyo. Ila tukumbuke "tunapambana na beberu". SMH. Kwa style hizi kama mimi ndiye beberu, shughuli nilishaimaliza kabla hata ya Covid-19. Kazi ipo sana tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Comrade vipi kuhusu tamko la mkuu wa mkoa wa kilimanjaro?Umeambiwa upuuze hizo taarifa! Unataka nini? Hatujafunga ila kenya wamefunga so ironically nasi tumefunga!
Geza Ulole, joto la jiwe. Niliwaambia kuwa nyie hamna ubavu huu wa kutukingia kifua.Tuamini kipi, Kenya na majirani zenu wote EAC na SADC wameweka bayana kwamba wamefunga ili kupunguza maambukizi, madereva wenu lazima wapimwe kabla kuingia Kenya. Sasa nyie mkaibuka na kusema mumefunga pia, mara naona hapa mnasema ni fake news.
Its none of your business,we kaa lockdown mpaka december,mambo ya Tanzania yatakupa diabetTuamini kipi, Kenya na majirani zenu wote EAC na SADC wameweka bayana kwamba wamefunga ili kupunguza maambukizi, madereva wenu lazima wapimwe kabla kuingia Kenya. Sasa nyie mkaibuka na kusema mumefunga pia, mara naona hapa mnasema ni fake news.
Haha. Hapana LDC fungeni tu border, hatuna haja na nyie.Kwani kuna tatizo kwa LDC kufunga mpaka wake.. i
Uache upoyoyo aliyekataza magari yasivuke ni Mkuu wa mkoa na as u speak hamna gari inaingia Tanzania! Ni unafaulisha mzigo ama unageuza!Geza Ulole, joto la jiwe. Niliwaambia kuwa nyie hamna ubavu huu wa kutukingia kifua.
Mkenya yeyote ajaribu kuingia Tanzania ajue ukweli wa mambo. This is very smart of magufuli.. "Officially he has not closed the border" Mkenya anaye taka kujaribu sumu kwa kuionja afanye hivyo tu.View attachment 1452757
Ni kweli, hadi video ipo mbona.Kwa jinsi ilivyokuwa inasambaa nilidhani ni kweli
Subiri tu [emoji23][emoji23]Haha. Hapana LDC fungeni tu border, hatuna haja na nyie.
Hupenyi huku we boya...case closed.Geza Ulole, joto la jiwe. Niliwaambia kuwa nyie hamna ubavu huu wa kutukingia kifua.
Nyinyi mmefunga mpaka sisi tumezuia malori yenu yasiingie TZ.Tuamini kipi, Kenya na majirani zenu wote EAC na SADC wameweka bayana kwamba wamefunga ili kupunguza maambukizi, madereva wenu lazima wapimwe kabla kuingia Kenya. Sasa nyie mkaibuka na kusema mumefunga pia, mara naona hapa mnasema ni fake news.
Nenda kaone kama kuna Lori LA Kunyaland limeruhusiwa kuingia TZ mpaka mtanyooka tu na njaa yenu. Na hapo tumeanza baadae Wakenya tutawavurumsha wote wanaofanyakazi TZ na tayari tumeshakamata waandishi wenu walioingia kinyemela TZGeza Ulole, joto la jiwe. Niliwaambia kuwa nyie hamna ubavu huu wa kutukingia kifua.
Ummy anahusika vipi na mambo ya nje?
nakuona mama la mamaTuamini kipi, Kenya na majirani zenu wote EAC na SADC wameweka bayana kwamba wamefunga ili kupunguza maambukizi, madereva wenu lazima wapimwe kabla kuingia Kenya. Sasa nyie mkaibuka na kusema mumefunga pia, mara naona hapa mnasema ni fake news.
Kenyans are not scared of tin-pot dictators..Mkenya yeyote ajaribu kuingia Tanzania ajue ukweli wa mambo. This is very smart of magufuli.. "Officially he has not closed the border" Mkenya anaye taka kujaribu sumu kwa kuionja afanye hivyo tu.View attachment 1452757
Rudia yaliyotokea MNARA WA BABELI,Tuamini kipi, Kenya na majirani zenu wote EAC na SADC wameweka bayana kwamba wamefunga ili kupunguza maambukizi, madereva wenu lazima wapimwe kabla kuingia Kenya. Sasa nyie mkaibuka na kusema mumefunga pia, mara naona hapa mnasema ni fake news.