Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Npe mkono tushndaneHili toto la Kizanzibari limefunika mbaya mno Kenya, kwa umaarufu huu msije mkamfanyia maushirikina kama Harmonize na kauli zenu za "Hauniwezi Kiserikali, Kipesa, Kishirikina na kama unabisha nipe mkono"
Hehe kuna watu ni wachawi mkuu! Wana uwezo wa kumroga na hata wakenya mkaanza kumuona hamna kitu kwani mnafikiri muziki wa bongo una maana basi tunaenda nao tu hivyo hivyo!
Wenzetu wanigeria ni wachawi lakini kule msanii anaroga kivyake ili awe juu na siyo kurogana eti ili fulani ashuke! Ila huku kwetu utasikia mmoja anaroga wenzie washuke ili aendelee kubaki juu!
Zuchu🚮🚮 kuna huyo Maua Sama ni 🔥🔥
Taarifa kwa +254🚨
Boss ake Zuchu kaiba huku kayimbo ka Msami inaitwa unachezaje kaishiwa content ana haha t🚮🚮
😂😂 kinachotrend now n connection ya masai kaopoa mama kubwa huko hatuko bize na hizo pumba zakeAshasepa nawo, kesha-trend huko Yutubu...comments wanamsfia ubunifu wake kwenye kutunga.
Aliyeibiwa awe mpole wayaongee na kumaliza kimya kimya, atie mkwanja kwapani na kujiondokea, ila kama anabisha ampe mkono basi.
Hili toto la Kizanzibari limefunika mbaya mno Kenya, kwa umaarufu huu msije mkamfanyia maushirikina kama Harmonize na kauli zenu za "Hauniwezi Kiserikali, Kipesa, Kishirikina na kama unabisha nipe mkono"
hivi unajielewa kweli.
hiyo kauli ni ya bosi wake zuchu !
WCB ni brand kubwa sana hakuna rebel yeyote inayoweza kuipiku kirahsi hapa East and central Africa.Kwani si ndio huo ubosi ulimfanya kutoa hiyo kauli kwa Hamo, kipindi Hamo akihangaika kujitoa humo.
Zuchu leo hii akithubutu achomoke naye atakutana na hayo pia. Labda aepuke kushikana mkono.
Mkuu rebel ndio nini?WCB ni brand kubwa sana hakuna rebel yeyote inayoweza kuipiku kirahsi hapa East and central Africa.
Ata huyo mmakonde anajidanganya tu ila WCB itabaki kuwa juu daima,Boss Ruge mwenyewe aligonga mwamba kwa simba.
Media karibia zote bongo zikagoma kupiga muziki wa WCB kwa miaka 4 lakini bado tu mondy akazidi kusonga.
Leo amemtengeneza ZUCHU ambaye mara ya kwanza Anti-WCB walimuona hawezi kufka mbali lakini sasa ni dhahabu inayo ng'aa
Kongole sana Diamond platnumz utazidi kubaki juu siku zote haters wameze wenbe
rebel->WaasiMkuu rebel ndio nini?
Kwanini usitafute neno sahihi google kwanza kabla ya kutuaibisha ndugu zako waTZ?
Kiiengerwza si lugha yetu ya kwanza.