Wewe kichwamaji Tra imeanzishwa na Mkapa ipo hapo siku zote, tatizo siyo Tra bali tatizo ni Magufuli msifungiwe akili zenu kabatini.
Mimi uswahilini nina bar lakini sina interest ya kuiendesha na iko kwenye market nzuri location yake, wakati wa JK kuna mchaga bar yangu ilikuwa inamnyima raha akaitaka kupangisha nikampa akalipa cash kodi ya mwaka na hakuifunguwa hata siku moja lengo lake lilikuwa ni kuiuwa na alifanikiwa, je leo ana jeuri hiyo? Hakuna. Kodi za nyumba tumeanza kupokea za mwezi mwezi hakuna tena cha kodi ya miezi 6/wala miezi mitatu, watu wamepigika na hata nyinyi wenye fungus za ubongo mlizoea kipindi cha kampeni mtakula hela za wagombea safari hii hola hamjaambulia mihondomoro ndio sababu mmeanza kuweweseka.