Waubani Linyama, dereva wa basi ambaye picha yake ina-trend mtandaoni kwa sasa

Waubani Linyama, dereva wa basi ambaye picha yake ina-trend mtandaoni kwa sasa

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,711
Reaction score
35,644
Huyu jamaa ndio mwamba wa GOLDEN DEER [emoji1662][emoji1662][emoji1662] T 712 DPK anayezisumbua SCANIA za SAULI [emoji1631][emoji1631] za DAR - MBEYA - TUNDUMA

Ametrend sana wiki hii akiwa na memes mbali mbali

Anaitwa Waubani linyama AKA (wali nyani) ni dereva wa mabasi ya kampuni ya NEW FORCE & GOLDEN DEEER route ya Dar mbeya tunduma na kwa sasa anaendesha bus no. T712 DPK pia alishaendesha mabasi ya saibaba kabla ya kuendesha new force & golden deer.

Ukiachana na sifa yake ya kutunza muda kuwafikisha abiria mapema huko kusini pia ni mmoja wa madereva vipaumbele wa kampuni hiyo jamaa yuko vizuri sana ni mtu asie na makuu na ni mtu poa sana nje na ndani ya kazi yake.

Shusha meme nyingine kuhusu mwamba.
FB_IMG_1626197539235.jpg
FB_IMG_1626196631701.jpg
FB_IMG_1626196082193.jpg
 
Sauli scania Ina piston 5 na valve 20 engine scania .Deer engine ni cummin piston 6 valve 24.Deer nyepesi scania nzito.
Mjomba unajua hio engine ya cummins watu wanaichukulia poa sana ila huyo ni mmarekani halisi hizo engine zipo kwenye magenerator makubwa i.e FGwilson, hata engine za meli zingine ni Cummins Service Kit zake ime Major Service Kit zinafika USD 15,000
 
Ila jamani kusema kweli kabisa Sauli basi zake zote zinakimbia sana,Uyo jamaa atakuwa kabahatisha tu siku iyo
Kuna siku nilianza kushuka Kitonga mida ya saa 7 mchana na kama dk 5 hivi, ghafla tukaiona Sauli hii hapa inapanda, halafu ilitaka kuovertake Lori ikaona bus letu ikarudi kwenye line, hapo ndio ilikuwa inamalizia kona ya mwisho kupanda.

Niliamini kweli zinachakaza lami sana hizo Sauli
 
Back
Top Bottom