Waubani Linyama, dereva wa basi ambaye picha yake ina-trend mtandaoni kwa sasa

Waubani Linyama, dereva wa basi ambaye picha yake ina-trend mtandaoni kwa sasa

Guy's mambo mengine sio ya kuyachukulia serious hii ni mada ya kutufanya tucheke kidogo,welldone mtoa mada ila kiuhalisi Dar to Mbeya ni +-800km ,huu ni mwendo wa saa 9tu kwa mabasi,watanzania tunashangaza sana!,Livingstone to Kapiri Mposhi(Zambia)ni kama umbali huu wa Dar to Mbeya,Power Tool anakupigia 8hrs na hakuna ajali wala chochote,tatizo letu barabara zetu bado sana!Cape Town to Port Elizabeth ni umbali huu ,mabasi yanatambaa ile N2 kwa saa 7tu
 
Sauli inakimbiza mnyama kwa mbaaali
FB_IMG_1626200005317.jpg
 
Guy's mambo mengine sio ya kuyachukulia serious hii ni mada ya kutufanya tucheke kidogo,welldone mtoa mada ila kiuhalisi Dar to Mbeya ni +-800km ,huu ni mwendo wa saa 9tu kwa mabasi,watanzania tunashangaza sana!,Livingstone to Kapiri Mposhi(Zambia)ni kama umbali huu wa Dar to Mbeya,Power Tool anakupigia 8hrs na hakuna ajali wala chochote,tatizo letu barabara zetu bado sana!Cape Town to Port Elizabeth ni umbali huu ,mabasi yanatambaa ile N2 kwa saa 7tu
Kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom