Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Shirika la umeme la Ukraine ,Ukrenergo limewataka wateja wake wawe wakichaji simu zao mapema na tochi kwani hali ya upatikanaji wa umeme imezidi kuwa mbaya huku hofu ya kushambuliwa zaidi kwa vinu vya umeme kutoka majeshi ya Urusi ikiongezeka.
Katika nasaha zake katika kipindi hiki cha baridi kali shirika hilo limewataka wanachi pia kujiwekea akiba ya maji na kutayarisha soksi maalum za kuzuia joto bila kusahau kukumbatiana kwa ndugu na familia ili kuhifahdhi joto lao lisipotee.
Kwa upande mwengine aliyewahi kuwa waziri mkuu wa Italia kwa miongo kadhaa na tajiri mkubwa nayemiliki timu za mpira Silvio Berlusconi amenukuliwa kwenye kampeni za kisiasa akimlamunu raisi Zelensky wa Ukraine kwa kumlazimishi raisi Putin wa Urusi kuivamia nchi yake.
Katika nasaha zake katika kipindi hiki cha baridi kali shirika hilo limewataka wanachi pia kujiwekea akiba ya maji na kutayarisha soksi maalum za kuzuia joto bila kusahau kukumbatiana kwa ndugu na familia ili kuhifahdhi joto lao lisipotee.
Kwa upande mwengine aliyewahi kuwa waziri mkuu wa Italia kwa miongo kadhaa na tajiri mkubwa nayemiliki timu za mpira Silvio Berlusconi amenukuliwa kwenye kampeni za kisiasa akimlamunu raisi Zelensky wa Ukraine kwa kumlazimishi raisi Putin wa Urusi kuivamia nchi yake.