Waume zetu msiache kufanya mapenzi na sisi tukiwa wajawazito

Waume zetu msiache kufanya mapenzi na sisi tukiwa wajawazito

Anna Nkya

Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
69
Reaction score
341
Katika hoja hii natamani wajuzi katika sekta ya afya waje watupe majibu zaidi.

Lakini kwa uelewa wangu, ni vyema waume zetu wakaendelea kufanya mapenzi nasi tukiwa na ujauzito.

Mimi sio mtaalamu sana lakini nina hakika na sababu mbili:

1. Inatusaidia kwenye kuongeza kujiamini kwa sababu ukiwa na mimba unaweza kupoteza kujiamini kwako kwenye suala la mvuto. Lakini mume wangu akionesha kwamba bado ananitaka sana, itanisaidia.

2. Nimeelezwa kwamba tendo lile linakaza misuli yetu na kutupunguzia safari za kwenda haja ndogo mara kwa mara.

Wataalamu naomba mtupe sababu nyingine za kufanya hawa wanaume waelewe.

Pregnant-woman.jpg
 
Kingine cha kitaalam ni kwamba, zile stimulations zinasaidia kuzalishwa kwa oxytocin hormone ambayo itasaidia sana kutanua kuta za uterus kwa ajili ya maandalizi ya kujifungua.

Pia oxytocin hormone inahusika ktk kuandaa maziwa ya mtoto.

Tuwale wajawazito jamani
 
Pia husaidia kufungua njia ya uzazi hivyo siku ya kujifungua iwe kwa njia ya kawaida badala ya C section.
 
Back
Top Bottom