Hamumu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2021
- 1,439
- 3,587
SanaOoh kumbe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SanaOoh kumbe
Hata kama una kibamia inaongeza ukubwa wa lango?Halaf nasikia pia inaongeza ukubwa wa Lango kwahio inapunguza usumbufu siku ya kujifungua
Kuna jamaa namfahamu, yeye ni wajawazito tu anawinda
Sijui kagundua nin
Pia inaweza ikatokea ukapata mimba juu ya mimbaKatika hoja hii natamani wajuzi katika sekta ya afya waje watupe majibu zaidi.
Lakini kwa uelewa wangu, ni vyema waume zetu wakaendelea kufanya mapenzi nasi tukiwa na ujauzito.
Mimi sio mtaalamu sana lakini nina hakika na sababu mbili:
1. Inatusaidia kwenye kuongeza kujiamini kwa sababu ukiwa na mimba unaweza kupoteza kujiamini kwako kwenye suala la mvuto. Lakini mume wangu akionesha kwamba bado ananitaka sana, itanisaidia.
2. Nimeelezwa kwamba tendo lile linakaza misuli yetu na kutupunguzia safari za kwenda haja ndogo mara kwa mara.
Wataalamu naomba mtupe sababu nyingine za kufanya hawa wanaume waelewe.
View attachment 1989684
sawaKatika hoja hii natamani wajuzi katika sekta ya afya waje watupe majibu zaidi.
Lakini kwa uelewa wangu, ni vyema waume zetu wakaendelea kufanya mapenzi nasi tukiwa na ujauzito.
Mimi sio mtaalamu sana lakini nina hakika na sababu mbili:
1. Inatusaidia kwenye kuongeza kujiamini kwa sababu ukiwa na mimba unaweza kupoteza kujiamini kwako kwenye suala la mvuto. Lakini mume wangu akionesha kwamba bado ananitaka sana, itanisaidia.
2. Nimeelezwa kwamba tendo lile linakaza misuli yetu na kutupunguzia safari za kwenda haja ndogo mara kwa mara.
Wataalamu naomba mtupe sababu nyingine za kufanya hawa wanaume waelewe.
View attachment 1989684
haiwezekaniPia inaweza ikatokea ukapata mimba juu ya mimba
Mhhhh!!!,Si kweli labda km Kuna sababu za msingi sana.Unatakiwa kuacha kufanya mapenzi mwezi 1 kabla haujajifungua.
Cheeee,hadi kinyaaa.Mtoto alikuwa uchafu wako.Mimi nilimbandua asubuhi jioni akajifungua mkuu sijuwi unaongelea nini.