Single_Father
JF-Expert Member
- Jan 23, 2025
- 281
- 438
Mmmh kutoboa peke yako na malezi ya upande mmoja si mazuri sana kwa watoto. Tafuta mwanamke mwenye roho nzuri na hofu ya Mungu.
Utampenda na unene wake hivyo hivyoNikioa sitamnyanyasa hivi mke wangu
Amekusikia π« π
Hahaha tayari tayariKimeumanaπΉ
Na pole haipunguzi tumbo guniaπππAsante kwa pole π ... Kuna jamaa angu, alikuwa ukimpa pole
Anasema, Pole haiponyeshi Baki nayo π
Vipi yamekukuta yale ya "umpendaye naye ana mtu anampenda"Na hatoacha, kila siku anasema kasikia na anauria, haya mambo ya kuoa wake za watu ni mbaya sana
Ila ke mna matumbo sana punguzeni machips, kuna dogo wa afu mbili ila hilo tumbo ni la 80 πSasa mnatulisha, mnatuzalisha, na tunafurahia maisha hiyo miili na matumbo yataachaje kuja πππ€£
Wanatembea vifua jujuu utazani makomandoo wamebeba mchanga kwenye kiroba ππππNa nyie wanaume pia mpunguze vitambi jamani km vichuguu πΉπΉπΉ
Haya madogo wa afu mbili wakusikilize na walifanyie kazi.Ila ke mna matumbo sana punguzeni machips, kuna dogo wa afu mbili ila hilo tumbo ni la 80 π
Unene ni changamoto tanzania. Hata wewe nahisi unacho.Na nyie wanaume pia mpunguze vitambi jamani km vichuguu πΉπΉπΉ
Numbisa unacho kitambi?π€£π€£π€£ππππ
π π Daah kweli mnapitia wakati mgumuTunavumiliana sana, mkitoka wote unapigiwa simu unaulizwa vipi shemeji ana mjomba wetu Nini, kumbe walah ni tumbo tu limetuna. Watu wanapata wakati mgumu.
Huyo kwenye picha ndio wewe makange ya Mbuzi?Mkishapata ndoa( NSSF ) ya maisha kazi kufutuka tu.
Thubutuu..!! Kilianza kunilia mingle chap nikakipeleka gym.. πΉπΉπΉUnene ni changamoto tanzania. Hata wewe nahisi unacho.
πΉπΉπΉ Hatareeee!!Wanatembea vifua jujuu utazani makomandoo wamebeba mchanga kwenye kiroba ππππ
Kwa kweli nyie mliopo kwenye uzazi wawaache tu.Mimi nanyonyesha nakunywa sana uji alafu unataka umbo namba nane?