Anastasia21
JF-Expert Member
- Jul 27, 2023
- 1,056
- 2,118
M Sina Salio niongezee basi 😹😹🙌🏾 ndo maan na beepAisee unabeep sio nitakupgia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
M Sina Salio niongezee basi 😹😹🙌🏾 ndo maan na beepAisee unabeep sio nitakupgia
Basi Leo dada ntakuja kula dinner huko kwako!Duuuh hata mimi sijui. Anyway, niletee mie wifi chibonge tuwe tunakula keki wote.
mzabzab pacha Ako😹😹🙌🏾Aisee hii inanikumbusha kitambo, nimezipigia sana nyeto zamaHg na wala sikufundishwa na mtu ilikuja automatic tu. Domo lilikua zege kwerikweri wakati huo, Hii coincidence inawezekanaje mkuu?
Atakua mkuryaSasa kwerikweri ni mji au umemaanisha Nini?
Utakuja na kibonge wako au?Basi Leo dada ntakuja kula dinner huko kwako!
Nije nikusalimie maana nimekumiss sana
Nakuja pekee angu, kibonge akikuja dada anguUtakuja na kibonge wako au?
Inabidi nijue ili niandae msosi wa kutosha tusije tukamlaza binti wa watu njaa 😆😆
Mwaya nakupenda siwezi kuishi bila wwM Sina Salio niongezee basi 😹😹🙌🏾 ndo maan na beep
Glenn mambo si ndo haya nakupenda pia 😹Mwaya nakupenda siwezi kuishi bila ww
Code za wauza nyapu hiziMakofi ya aina gani hayo 😅😅? maana hizi nyama nyama zetu kuna makofi mnapenda kutuchapa na tunayafurahia tu 🤣🤣🤣
Sawa mnunuzi, siwezi kubishana na uzoefu wako 🙄.Code za wauza nyapu hizi
Hatari mie kulikuwa na chupi ya dada wa kazi aisee nilipita nayo nikaenda kupiga nyeto🤣🤣🤣🤣Aisee hii inanikumbusha kitambo, nimezipigia sana nyeto zamaHg na wala sikufundishwa na mtu ilikuja automatic tu. Domo lilikua zege kwerikweri wakati huo, Hii coincidence inawezekanaje mkuu?
Ukioa, uwe unamletea mkeo keki ale na watoto atakaowapokea kutoka kwenye usingle faza wako.Mimi Single Father nijifunze nini Hapo sasa
Atawatesa wanangu Bure,aje kufaidi nilivyo chuma,ila sometimes nawazaga sana at my age nitatoboa kweli 30+Ukioa, uwe unamletea mkeo keki ale na watoto atakaowapokea kutoka kwenye usingle faza wako.
Mmmh kutoboa peke yako na malezi ya upande mmoja si mazuri sana kwa watoto. Tafuta mwanamke mwenye roho nzuri na hofu ya Mungu.Atawatesa wanangu Bure,aje kufaidi nilivyo chuma,ila sometimes nawazaga sana at my age nitatoboa kweli 30+