Waumini wa KKKT Kijitonyama waanza kuulizwa namba za Bahasha za Sadaka mlangoni

Dah! Hii nchi inaelekea pabaya. Maana kwa sasa faraja ya wananchi, ipo kwa hao wachungaji, Mitume na Manabii! Na wengine ni bar na kubet!

Na siyo tena kwa viongozi wenye dhamana nchini.
Nchi haiwezi kwenda vibaya, wananchi ndiyo watakaoenda vibaya kwa kushindwa kutumia akili kwa maana reasoning na roho kwa maana ya intuition.
 
Nauliza tu, kwani Eliona Kimaro ni Yesu ?, Kama so Yesu mbona waumini wanaangaika ?
 
Hakuna maamuzi yatakayotenguliwa amepigwa likizo ndo imetoka hyo , akirud atapangiwa karagwe huko...!!
Hawezi kupangiwa Karagwe kwakuwa yeye ni Mchungaji wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani tu.
 
zote ni biashara zilezile tu.Ali bakari na bakari Ali
Ndio maana siwezi kuhama RC. Maparoko huwa wanahamishwa na hakuna anayeuliza , kanisa letu linaongozwa na Utii tu
 
Sasa hizo ibada za Morning glory mbona wanaingia hata wasio wakristo? Hao Viongozi kulikon? Au ndo wamechanganyikiwa?
Mtu yeyote anaruhusiwa kuingia kanisani au msikitini bora yuko sawa tu. Mpagani, freemason, Sho*a, asiyejua kusoma wala kuandika, professor nk

Wengine tushasali kanisani, msikitini, temple na ghetto kikubwa Mungu hana ubaguzi na kanisa au msikiti sio private property
 
Hii inatoa picha kuwa anatolewa Ili watu waendelee kukusanya pesa, kama hii taarifa basi jibu ni kuwa Kuna kitu alikuwa anakisimamia hakijawapendeza wengine

Kuna muda waumini hujitahidi kujenga ila viongozi hupindisha mirija ya mapato na kuweka kwao ni changamoto kweli kweli ,ndio maana watu wengi wamejitoa katika mas'ala ya dini , lakini msichoke kumuabudu mwenyezi Mungu
 
Ningekuwa Malasusa ningemsweka kijijini ambako hata network haikamati ili aache kurusha vi clip vyake vya kujimwambafy.....
 
Hakuna maamuzi yatakayotenguliwa amepigwa likizo ndo imetoka hyo , akirud atapangiwa karagwe huko...!!
Bagonza yupo Karagwe lakini anasikika nchi nzima kuliko waliopo Azania Front. Kama Mungu ameweka kitu kwa mtu binadamu wanajisumbua sana.
 
Bagonza yupo Karagwe lakini anasikika nchi nzima kuliko waliopo Azania Front. Kama Mungu ameweka kitu kwa mtu binadamu wanajisumbua sana.
Huyo bagonza alipata hipe Kwa Kwa kufokeana na Maghufuli , now kwisha habar yake , Hana Kiki yoyote ya kumuweka mjini .....!! Labda awatukane viongozi wake wa dini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…