Wewe wasemaNdio maana siwezi kuhama RC. Maparoko huwa wanahamishwa na hakuna anayeuliza , kanisa letu linaongozwa na Utii tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe wasemaNdio maana siwezi kuhama RC. Maparoko huwa wanahamishwa na hakuna anayeuliza , kanisa letu linaongozwa na Utii tu
KabisaMambo ya makanisa yamewafanya wafrika wawe kama mazombie
Ova
Atatumia VPN njoo na njia mbadala 🤠Ningekuwa Malasusa ningemsweka kijijini ambako hata network haikamati ili aache kurusha vi clip vyake vya kujimwambafy.....