Siri ya kupona ugonjwa ulioshindikana hospital, Siri ya kuepuka majanga, Siri ya kupata kile unachokihitaji na Siri ya mafanikio, nikumtumikia MUNGU kwa kumkiri MUNGU, kumuishi MUNGU na kufuata maelekezo Yote ya MUNGU pasipo kupindisha hata chembe.
Mtumikie MUNGU kwa kumuona kuwa yeye ndio kila kitu katika maisha yako, fanya Jambo moja zuri kila Siku iendayo Kwa MUNGU Jambo litakalomfurahisha MUNGU mkiri MUNGU na muishi MUNGU kwa nguvu zote na mpenyeze MUNGU aingie ndani mwako kwenye mwili wote mpenyeze kwenye damu na acha kumuumiza binadamu mwenzio, Maende Sana binadam mwenzio kuliko unavyojipenda wewe, wapende watoto Kwa hisia wapende wanawake Kwa hisia hawa ni viumbe dhaifu, wapende Sana na wapende Sana wahitaji, saidia watu shida zao kadri uwezo utakavyoruhusu, mtaje MUNGU kwa kila Jambo ulifanyalo tembea na biblia ukiwa Safari, jaza biblia nyingi nyumbani kwako ikiwezekana kila chumba weka biblia mtangulize MUNGU kwa kila Jambo penye ugumu mkabidhi MUNGU kwa hisia kuwa yeye ndie atatue, usiogope kumtaja MUNGU na mwandike MUNGU kwa herufi kubwa jishushe Kwa wenzako na Yote unayoyafanya Kwa Nia ya kumuomba MUNGU usimuombe MUNGU kwa kuwaonesha watu kuwa wewe unampenda MUNGU mpende MUNGU kwa moyo wako wewe na yeye thamini watu
Ukiyatimiza hayo waweza tembea kifua mbele ukiwa na mawazo ya kujiamini kuwa Hakuna baya litakalo kutokea na maisha yako yatanyooka kila penye ugumu MUNGU wako atatatua tu, watakuja wachawi wakuloge hutalogeka, watakupangia mabaya wabaya wako yatawarudia wao, kila Jambo baya litakuja litamkuta MUNGU yuko mbele yako atapigana nalo
Hao manabiii ni ajira ya kisayansi wamejiajiri ili maisha yaende wanatumia mambo mengi yakutisha Kwa kuwatumia watu wasiomjua MUNGU kufanikisha yao hata huyu mwamposa ataenda mwisho watamkimbia atakuja mwingne tena mtahamia kwake
Sent using
Jamii Forums mobile app