Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Maneno mazito na ya busara sana hayo Hajar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Maneno mazito na ya busara sana hayo Hajar
Basi pumzikame domo zege
Ma mdogoHao uliowaweka hapo mbona kama unawachoresha tu kuna haja gani ya kutaja mifano kwa mentions kama hizo?
Ushajua jinsia yake lakini?Anza kwa kuweka jina lako na picha yako halisi. Hapo utajiondoa kwenye kundi unalolilalamikia.
Samahani sana mkuu kwa kusahau kukuweka na wewe.Hao uliowaweka hapo mbona kama unawachoresha tu kuna haja gani ya kutaja mifano kwa mentions kama hizo?
Samahani sana mkuu kwa kusahau kukuweka na wewe.
Basi pita na zako wenyewe hawakusema kitu unafikiri hawana macho? Shuwain wewe.Sinaga upuuzi huo so shosti tusileteane mazoea ee
Basi pita na zako wenyewe hawakusema kitu unafikiri hawana macho? Shuwain wewe.
Naomba usinivunjie heshima unanita shost unanifaham mimi? kama unatafuta mtu wa kulumbana nae kwangu mimi naomba utafute pa kwenda,.. Vinginevyo utanisababishia ban sasa hivi.Shosti acha jazba
Naomba usinivunjie heshima unanita shost unanifaham mimi? kama unatafuta mtu wa kulumbana nae kwangu mimi naomba utafute pa kwenda,.. Vinginevyo utanisababishia ban sasa hivi.
Sio fairTuvumiliane tu mkuu,kwa shida na raha!
Mapopoma kabisaaaNyingine ni mtu anaweka kisa chake jukwa la chitchat huko inahusu mada husika, mtu anakuja kucomment eti badala mzungumze Tanzania ya viwanda nyinyi mnasema hayo.
Yaani mtu kaona jina la jukwaa ni chitchat yaani porojo.
Mwingine anakuja kwenye post hiyohiyo anajifanya mhariri mara zingatia alama za uandishi mara akuulize upo darasa la ngapi kisa tu uandishi wako
Achana na hayo ya ulokole kuna mijitu humu inajifanya mijuaji kumbe kichwani ni patupu, ilimradi aonekane yupo kisomi
Na ile inayosemagaNyingine ni mtu anaweka kisa chake jukwa la chitchat huko inahusu mada husika, mtu anakuja kucomment eti badala mzungumze Tanzania ya viwanda nyinyi mnasema hayo.
Yaani mtu kaona jina la jukwaa ni chitchat yaani porojo.
Mwingine anakuja kwenye post hiyohiyo anajifanya mhariri mara zingatia alama za uandishi mara akuulize upo darasa la ngapi kisa tu uandishi wako
Achana na hayo ya ulokole kuna mijitu humu inajifanya mijuaji kumbe kichwani ni patupu, ilimradi aonekane yupo kisomi
Unbelievable! Nilikuwa nakuwaza binaMapopoma kabisaaa
Kumbe na wewe umeewaonaMapopoma kabisaaa