Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,109
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaa unataka kuniua
Khaa unataka kuniua
HapanaLakini wewe unapenda vikali!
Kwa mfanooKwahiyo hao waliotajwa ndio wamefanyaje?!
Na mi naomba hiyo [emoji52]
Kushachochewa na wewe kushachocheka.Mkuu sisi na hiyo mada uhusika wetu ukoje?
Mkuu we ni mchochezi.Hiyo list naona iko full
Ndo nini??Kushachochewa na wewe kushachocheka.
Umeshasikiliza maneno ya wachochezi na wewe unataka kujaa tele.Ndo nini??
HhhhaaaaSamahani sana mkuu kwa kusahau kukuweka na wewe.
mbona list imejaa wanawake iyo si useme tu kama unataka kuwato.mba mmoja baada ya mwingineUnakuta mtu humu anajifanya mwema kumbe hamna kitu debe tupuu,..
Unaweza kuona mwenzako kaweka thread yake ambayo binafsi ndo alivyo na hajifichi nyuma ya keyboard,,, ili kutaka sifa kama wewe kumbe mnafiki tu.
Ukiona mwenzako anaelezea hisia zake mwache kama alivyo, na wewe tafuta mada ya kwako yenye mafunzo utufundishe hapa. Utakuta mtu akiona mwenzake kasema "Nina nyege nahitaji mtu wa kugegedana na hapa, mwenye uhitaji kama mimi aje pm."
Basi utakuta mijitu mingine inajifanya milokole sijui miustadh kumbe hamna kitu. Tuwe wakweli walio wengi hapa hamna kitu, ni wachache mno ambao hawana haya mambo.
Huko pm laiti ingekua tunaona na sisi wengine kinachoendelea basi hawa wanaojifanya watu wa Mungu wakiwa hapa wangeumbuka.
Demiss
Miss natafuta
Mzigua90
Mambembe
Shunie
Mkiwa na mambo yenu usiogope mtu hapa tiririka maana hapa wengi hatujuani kwa sura wala makabila.
So ukiwa na shida ya fulani hapa jimwage upo huru...
mambembe naona umeamua kuitumia hii I'd yako nyingine
mkuu ""usihadaike"" na fake ID " hizi "" huwezi ""kuwa ""na uhakika wa jinsia ya mtu..wakati ""haujuani nae " nje ya" Jf,..", nikujiongopeaLakini huyu ni mwanaume na mambembe ni mwanamke au sielewi nisemalo?? mkuu