Waungwana tuwe na msimamo tusiwe wanafiki.

Shosti tu wewe,ukianzisha uzi uwe na majibu ya adabu la sivyo utajitekenya na kucheka mwenyewe poleeeeee.
Naomba usinivunjie heshima unanita shost unanifaham mimi? kama unatafuta mtu wa kulumbana nae kwangu mimi naomba utafute pa kwenda,.. Vinginevyo utanisababishia ban sasa hivi.
 
Mapopoma kabisaaa
 
Na ile inayosemaga
Mod ondoeni huu uchafu
 
sasa na mimi nipo siriazi kweli, nasema nina URARU hapa balaa.. msichana wa jf mwenye URARU anifate pm haraka tutatue tatizo hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…