Waungwana wamvaa Joyce Kiria

Waungwana wamvaa Joyce Kiria

Inasikitisha sana...

Inabidi apelekwe kwa bii Chau akafundwe na kupewa busara...


Cc: mahondaw
 
Kileo haumwi, hajapata ajali, na kazi aliyoichagua ni siasa ambayo ndo anafanya hata sasa. Kwa hiyo lazima tushangae tukisikia mwanaume huyo analishwa na mkewe.
Kipindi anamuoa joyce alikua mfanya biashara?
Huwezi jua kukosa ubunge kumemuathiri kiasi gani na huwezi jua anapitia kipindi gani kisiasa... afu hiyo niliyotoa ni mifano kwa sentensi moja "shida na raha". Halafu mkishamshangaa ndo joyce anaacha kulea familia? Kama kamchoka mumewe aombe talaka, kwa dj mbona aliomba na shombo juu kama vile yule kaka sio baba wa mtoto wake.
Tupo kwenye familia tunayaona, uchumi unayumba ada analipa mama, kodi analipa mama, baba anahangaika lakini huwezo kuona dharau za wazi wazi labda kama huko chumbani wanalala mzungu wa nne, mpaka baba anakuja kusimama kwa mara nyingine mnaona tu mabadiliko ya kiuchumi kwamba sasa kuna nguvu mbili sio moja tena.
Ni upumbavu mkubwa kusema matatizo ya familia yako hadharani, kupigwa yeye sio wa kwanza haki zake anazijua angevaa viatu vya anaowasaidia wakidundwa azitumie kusolve tatizo lake na aanze kampeni ya awareness kwa wanawake wanaovumilia vipigo visivyoisha.
Binafsi ningekua kileo talaka ingemuhusu, mwanamke muuaji sio lazima akuwekee sumu.
 
Vitabu vya dini baadhi yao mnavitumia visivyo! kweli mistari na kurasa zilizobeba afya ya mungu unaenda kufananisha na makamasi matupu kweli?kweli? (kweli wewe breeee kabisa)
 
Yule bi mkubwa jike shupa tu anazingua,braza Kileo we jikalie kimya maana wanawake kama hao ndo wanafanya wachaga waonekane washamba
 
Wanawake mpo?. Ati mshauri wa wanawake! Anaanika udhaifu wake nyumbani mwake. Tulidhani ni mshauri bora, kumbe ni kipofu. Sasa kipofu atawaongozaje vipofu wenzie kama si kuwatumbukiza shimoni?.
 
kwakweli huyu Joyce ni mwanamke mpumbavu sana, watu wanamatatizo kwenye ndoa zao kibao lkn wanayamaliza huko kimya kimya, wewe umejidhalilisha sana, umewaabisha wazazi wako na familia yako yote kwa ujumla, utaweka wapi sura yako hajalishi umepatana na mumeo au mmeachana, utatembeaje kwa jamii inayo kuzunguka na huko ofisini, km kuna lijamaa lina kudanganya ujue mumeo ukiachana nae tu, na yeye anakublock , na hapo ulipo wewe ni mtu mzima huko mitaani kuna watoto wajua kuoga maji yakamwagikia juu watamchukua huyo mumeo afu utajuta kuzaliwa na kuwa maarufu usio maarufu ujinga mtupu
 
Nani aliyekufundisha kuwa biblia haisomwi kwa mstari? Hiyo hoja yako inaonesha uelewa wako wa maandiko. Ili ujue kuwa hiyo tafsiri yako ni potofu rejea mahojiano ya Yesu Kristo na shetani alivyokuwa akijaribiwa kule jangwani. Kristo hakumjibu shetani kwa paragraph bali kwa mistari. Hata hivyo biblia inaeleza kuwa kila neno lenye pumzi lafaa kwa mafundisho.
Unaisoma biblia vizuri?! Au unachungulia unaona kimstari kinaangazia kile unataka kuamini unaenda nacho?! Hakuna eneo kwenye biblia linasema hayo.. Ayubu aliishiwa kabisa... Akafilisika.. Mkewe hakuenda kusema wala kumkataa.. Alimtunzia heshima yake maana ndio wajibu..

Tunao wajibu wa kutenda mema.. Na tunao wajibu wa kupenda. Katika biblia tunatakiwa kupenda kutenda mema. Hata kama mewe anashida alipaswa amuombe watengane.. Anawadhalilisha watoto..marafiki ndugu..kwa kushindwa kusema tu..nimechoka naomba uniache.

Biblia inaturuhusu kama atakosa kibali mbele za macho yako. MPE talaka yake. Kama ataiomba yeye mpe. Kikubwa omba hiyo talaka..sio kusemeana mbovu.
 
Umoja wa wanaume ofisi zao zipo wapi... ?? Hivi hiki kitengo kipo umojA.wa.mataifa... Kwa nn wanaume tusianzishe hii kitu... Hili twende sambaba hawa wezetu wanataka sasa kutupanda vichwani......
 
Which religion do you refer to? Aren't you away that religions are not uniform? If you think a religion is like a pe.nis and that you ought to keep it hidden, it's a bad luck. It is a bad luck because a real man doesn't hide his pe.nis to himself. He uses it for reproduction henceforth he exposes it to his wife.


Yeah, your religion is like a penis, don't blab about it to the public because no body care about, only you.

Religion is like a penis, don't press it to children, that's abuse.

Kuna mfano mingi tu. Msitusumbue kwenye majukwaa haya na imani zenu kwasababu sio watu wote wanaomini habari za kutoka kwenye novel zenu takatifu
 
Yeah, your religion is like a penis, don't blab about it to the public because no body care about, only you.

Religion is like a penis, don't press it to children, that's abuse.

Kuna mfano mingi tu. Msitusumbue kwenye majukwaa haya na imani zenu kwasababu sio watu wote wanaomini habari za kutoka kwenye novel zenu takatifu
Unapata shida Bure.. Njia yako ya maisha ndio dini yako. Ameamua kiamini novel na anaenda na hamsini zake good for him... Umeamua kuvaa hirizi ...na unaenda na hamsini zako good for you..

Unachoshindwa kung'amua hapo ulipo unachokipinga ndicho unachofanya essentially. Unahubiri mfumo wako Wa maisha(dini yako)

Try caring less about what he says about his bible and what I might bring about Koran or Lee might blab about Confucius... And see how much of agud medicine it real is.
 
Acheni kumshambulia Kiria, someni maandiko.
Biblia Takatifu katika kitabu cha Yoshua Bin Sira 25:22 inaasa vijana wajitambue na kujishughulisha. Katika mstari huo, imeandikwa: "Kuna utumwa mzito, na fedheha, iwapo mwanamke humlisha mumewe".
Msikimbilie kumlaumu huyo mwanamke mlaumuni huyo mumewe!
Subir nifunue Bible!
 
Eti mwanaharakati wa masuala ya wanawake,,,laana zingine mnajitafutia tu,,,Ndoa za wazazi wetu zilidumu miaka mingi na hao wanaharakati hawakuwepo,,mama zetu walipewa vipigo to the maximum,,akitoroka kurudi kwao nako alipokelewa kwa kipigo na kurudishwa kwa mmewe,, Sahivi wanawake wanaishi wanavyotaka,,ukimgusa kofi tu kesho yake yupo usitawi wa Jamii anataka mgawane mali. Hit and run ni dawa nzuri sana ya wanawake Wasiojitambua.
Ulichokiandka pia kina maana sana!
 
Waungwana = Gentlemen, men of the gentry, property owning class, enlightened people.

Waungwana hawamvai mwanamke, nukta.

Hii ni kanuni ya waungwana.

Waungwana hata wakiamua kupigana mpaka kuuana katika vita, huuana wanaume kwa wanaume.

Ndiyo maana waungwana wamepinga sana wanawake kuingizwa katika kupigana majeshini, wanaona itakuwa vita inayopiganisha waungwana na wanawake. Kitu ambacho kwa jadi yao si sahihi.

Wanawake wanaachiwa wajadiliane wenyewe kwa wenyewe.

Ukishaamua kujibizana na mwanamke, umeshashusha uungwana wako.

Kwa muungwana mwanamke ni mtu wa kubembelezwa, si wa kupambana naye.
 
Biblia iliyokamilika inapatikana kwenye kanisa takatifu katoliki la mitume. Huko ndo yaliko mamlaka ya kufungua na kufunga aliyokabidhiwa Mtume Petro. Huko ndo vilifungwa vitabu 72 kuwa neno la Mungu na kuviacha mamia ya vingine kuwa mapokeo yafaayo kunakishi misingi ya ukristu.
Acha kudanganya watu ww,mm ni Mkristo lkn,Kanisa Katoliki ni tawi kubwa la Lucifer kwa kuwa yote yanayofundishwa ndani ya kanisa Katoliki ni Luciferous teachings na muda siyo mrefu wataifanyia Biblia yao editing ili iruhusu ushoga na usagaji!
 
Ndugu hiyo ndiyo biblia iliyokamilika. Kwa taarifa yako, hicho kitabu cha Yoshua bin Sira ni miongoni mwa vitabu vinanyoitwa deutrokanoni. Hivi vitabu ndivyo vinaifanya biblia takatifu kuwa na vitabu 72, ndiyo inayotumiwa na Kanisa Katoliki. Vitabu hivi viliondolewa kwenye orodha na Martin Luther. Lakini sasa hata makanisa ya kiprotestant yameshaviridhia hatua iliyopelekea kuvichapisha kwenye baadhi ya matoleo mapya. Itafute biblia hiyo ili ulipate neno la Mungu kwa ukamilifu wake.
Ni wap katika biblia ya vitabu 66 kuna kasoro kana kwamba ililazimu viongezwe 6 ili kutimiza 72?nithibitishie niamini
 
Acha kudanganya watu ww,mm ni Mkristo lkn,Kanisa Katoliki ni tawi kubwa la Lucifer kwa kuwa yote yanayofundishwa ndani ya kanisa Katoliki ni Luciferous teachings na muda siyo mrefu wataifanyia Biblia yao editing ili iruhusu ushoga na usagaji!
Haya uliyoyaandika umeyaandika kwa ufasha mithili ya mtu aliyefunuliwa na Lucifer mwenyewe. Bahati mbaya mipango ya Lucifer haijawahi kufanikiwa.
 
Ni wap katika biblia ya vitabu 66 kuna kasoro kana kwamba ililazimu viongezwe 6 ili kutimiza 72?nithibitishie niamini
Umechanganya maana ya maneno. Vitabu 66 havina kasoro bali havijatimia kwenye idadi ya vitabu vilivyotumiwa na wakristu wa mwanzo. Kumbuka hata yale matoleo ya Paulines yenye vitabu vya agano jipya na Zaburi tu havina kasoro bali havina idadi kamilia ya vitabu vya biblia.
 
Acheni kumshambulia Kiria, someni maandiko.
Biblia Takatifu katika kitabu cha Yoshua Bin Sira 25:22 inaasa vijana wajitambue na kujishughulisha. Katika mstari huo, imeandikwa: "Kuna utumwa mzito, na fedheha, iwapo mwanamke humlisha mumewe".
Msikimbilie kumlaumu huyo mwanamke mlaumuni huyo mumewe!

mumewe anafanya kazi chadema,.mstaarabu, labda anataka alipwe kama magufuli
 
Back
Top Bottom