Wauza mahindi: Hatuna mahindi tena Tanzania, yaliyopo yanatoka Zambia na Malawi

Meli za mahindi ya GMO zimeanza kutua Kenya, tusishangae tutapoanza kuuziwa hayo mahindi huku kwetu.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app

Rift valley kenya wameanza kuvuna mahindi lakini ni machache, Nilikua naangalia wapinzani wa kule wanataka GMO isiingizwe kwao lakini tani laki mbili zimetia nanga, kenya hali ya chakula ni mbaya hasa ukizingatia wao wanakula sana ugali karibu nchi nzima ndio chakula kikuu, hata Tanzania lazima yaletwe maana ikifika january february tutaongea lugha fulani hivi nzuri kwa pamoja
 
Kwani kuna mtu amekufa kwa njaa au ameomba chakula kwa sababu ya njaa Tanzania.

kama hakuna basi nchi inajitosheleza kwa chakula
Moshi kuna kaya zinaomba chakula niliona leo hali si salama ukiwa na uhakika waache wanaopiga kelele kwa ajili ya wengine waendelee
 
Hapa ndipo Bashe alipotufikisha kwa kupenda kwake sifa.
 
Serikali ya mchongo kamwe huwez ielewa. Mawaziri wankula kwa urefu wakamba zao.
Hussein Bashe ukimtafakar utajua ni mtu anajifanya hayajui maisha ya watanzania. Bashe amekuwa mtu wa kukariri kauli zake zisizokuwa na maana kwa watanzania. Jeuri, Michongo mtupu na wafanyabiashara
 
Chawa huwezi waona hapa
 
Afadhali nilijua mapema na kuamua kuyajaza mahindi kwenye mifuko ya kinga njaa
Familia yangu itakula mpaka niivishe mengine
 
Wakulima ndio kwa sasa wanapelekewa mahindi ya msaada
Kuna mpumbavu mmoja chawa wa samia anasema wakulima sasa ndo mda wao wakupiga hela wanauza kwa bei wanayotaka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wako wapi waimba mapambio ya kusifia kila upuuzi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜. Bado anaupiga mwingi eeeh..
 
Madhara ya kuwa na viongozi wasio na maamuzi pamoja na kusifu kila kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…