MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,537
- 8,824
Wale wanajitambua huku ni full sifa, tunaishi kwa sifaMalawi nae kwenye mahindi hataki mchezo ashapiga ban sema yanavuka kimagendo tu sababu vichochoro vingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale wanajitambua huku ni full sifa, tunaishi kwa sifaMalawi nae kwenye mahindi hataki mchezo ashapiga ban sema yanavuka kimagendo tu sababu vichochoro vingi
Nani ayarudishe?Wamesema watayarudisha yalikotoka
Meli za mahindi ya GMO zimeanza kutua Kenya, tusishangae tutapoanza kuuziwa hayo mahindi huku kwetu.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Ubaya wa mahindi au mazao ya GMO huwezi panda tena yale mahindi yakaota, hivyo itakubidi ununue mbegu mara kwa maraKwani Zambia huko unazani ni nini? Si GMO? au unazania GMO yana rangi tofauti?
subiri wazee wa mapambio waje watakuambi ahuu ni upotoshajiKwani kuna mtu amekufa kwa njaa au ameomba chakula kwa sababu ya njaa Tanzania.
kama hakuna basi nchi inajitosheleza kwa chakula
Kwani Zambia huko unazani ni nini? Si GMO? au unazania GMO yana rangi tofauti?
Moshi kuna kaya zinaomba chakula niliona leo hali si salama ukiwa na uhakika waache wanaopiga kelele kwa ajili ya wengine waendeleeKwani kuna mtu amekufa kwa njaa au ameomba chakula kwa sababu ya njaa Tanzania.
kama hakuna basi nchi inajitosheleza kwa chakula
Serikali ya mchongo kamwe huwez ielewa. Mawaziri wankula kwa urefu wakamba zao.Akizungumza na Azam Tv M/Kiti wa wafanyabiashara wa mazao ya chakula amedai Tanzania haina tena uwezo wa kujilisha na chakula chote hivi sasa kinatoka Nchi jirani ya Zambia na Malawi.
Ikumbukwe mapema leo akiwa kwenye ziara na Samia huko Kondoa Mkoani Dodoma Waziri mwenye dhamana ya chakula amedai nchi inajitosheleza kwa chakula.
View attachment 2424425
Chawa huwezi waona hapaAkizungumza na Azam Tv M/Kiti wa wafanyabiashara wa mazao ya chakula amedai Tanzania haina tena uwezo wa kujilisha na chakula chote hivi sasa kinatoka Nchi jirani ya Zambia na Malawi.
Ikumbukwe mapema leo akiwa kwenye ziara na Samia huko Kondoa Mkoani Dodoma Waziri mwenye dhamana ya chakula amedai nchi inajitosheleza kwa chakula.
View attachment 2424425
Kwenye MahindiChawa huwezi waona hapa
Ee tulitaka kumkomoa marehemu maana ye alikuwa anazuia anazuia.Si tuliruhusu mazao yauzwe nje huko
Kuna mpumbavu mmoja chawa wa samia anasema wakulima sasa ndo mda wao wakupiga hela wanauza kwa bei wanayotaka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakulima ndio kwa sasa wanapelekewa mahindi ya msaada
Mahindi ya GMO ni yap ? Au ndo yale ya mifugo?Meli za mahindi ya GMO zimeanza kutua Kenya, tusishangae tutapoanza kuuziwa hayo mahindi huku kwetu.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Genetically modified...M
Mahindi ya GMO ni yap ? Au ndo yale ya mifugo?