Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Luna Dada alikuwa anauza taa za sola.Za asubuhi members,
Jamani kuna haka katabia kakuletewa mboga nyumbani na wale wakina mama wajasiriamali; ni vyema wanapata hela na riziki lakini kuna tabia mtu anapiga hodi utasema anakudai kwa lisauti likubwa zito utasema sasa imekuwa ugomvi au nini.
Sasa mbaya zaidi ndiyo muda ambao unakuta mtu ndiyo upo na mkeo au demu wako.
Mnaoishi nao naomba muwape taarifa sio vizuri, wabishe hodi taratibu na muda wa kuuza mboga sio saa kumi na mbili kamili asubuhi, bado mapema sana hata mtu hujatoka kitandani aise na hujapanga kitu chochote.
Nilimvutia ndani akatoa papuchi nikanunua taa moja.
Nikamrudishia taa take akaendelee kuouza kwa Mara ya pili.
Wamama was michicha siwezi kuwafanyia hivyo kwa sababu wengi wanawatoto wawili au familia kubwa