Wauza mboga mnaotembeza kwenye madishi mnasumbua kwa hodi alfajiri sana

Wauza mboga mnaotembeza kwenye madishi mnasumbua kwa hodi alfajiri sana

Za asubuhi members,

Jamani kuna haka katabia kakuletewa mboga nyumbani na wale wakina mama wajasiriamali; ni vyema wanapata hela na riziki lakini kuna tabia mtu anapiga hodi utasema anakudai kwa lisauti likubwa zito utasema sasa imekuwa ugomvi au nini.

Sasa mbaya zaidi ndiyo muda ambao unakuta mtu ndiyo upo na mkeo au demu wako.

Mnaoishi nao naomba muwape taarifa sio vizuri, wabishe hodi taratibu na muda wa kuuza mboga sio saa kumi na mbili kamili asubuhi, bado mapema sana hata mtu hujatoka kitandani aise na hujapanga kitu chochote.
Luna Dada alikuwa anauza taa za sola.
Nilimvutia ndani akatoa papuchi nikanunua taa moja.
Nikamrudishia taa take akaendelee kuouza kwa Mara ya pili.
Wamama was michicha siwezi kuwafanyia hivyo kwa sababu wengi wanawatoto wawili au familia kubwa
 
Za asubuhi members,

Jamani kuna haka katabia kakuletewa mboga nyumbani na wale wakina mama wajasiriamali; ni vyema wanapata hela na riziki lakini kuna tabia mtu anapiga hodi utasema anakudai kwa lisauti likubwa zito utasema sasa imekuwa ugomvi au nini.

Sasa mbaya zaidi ndiyo muda ambao unakuta mtu ndiyo upo na mkeo au demu wako.

Mnaoishi nao naomba muwape taarifa sio vizuri, wabishe hodi taratibu na muda wa kuuza mboga sio saa kumi na mbili kamili asubuhi, bado mapema sana hata mtu hujatoka kitandani aise na hujapanga kitu chochote.
Punguza uvivu, mwanaume unalala mpka saa 12 asubuhi?
 
Yan saa 12 upo kitandani...haya maisha sio fair kabisa!!
IMG_20200909_163120.jpg
 
Hii ni wazi kuwa wewe ni mnunuzi wao maarufu, vinginevyo wala wasingepitia kwako.
 
Za asubuhi members,

Jamani kuna haka katabia kakuletewa mboga nyumbani na wale wakina mama wajasiriamali; ni vyema wanapata hela na riziki lakini kuna tabia mtu anapiga hodi utasema anakudai kwa lisauti likubwa zito utasema sasa imekuwa ugomvi au nini.

Sasa mbaya zaidi ndiyo muda ambao unakuta mtu ndiyo upo na mkeo au demu wako.

Mnaoishi nao naomba muwape taarifa sio vizuri, wabishe hodi taratibu na muda wa kuuza mboga sio saa kumi na mbili kamili asubuhi, bado mapema sana hata mtu hujatoka kitandani aise na hujapanga kitu chochote.
Dah chief acha watu watafute riziki acha izo
 
Luna Dada alikuwa anauza taa za sola.
Nilimvutia ndani akatoa papuchi nikanunua taa moja.
Nikamrudishia taa take akaendelee kuouza kwa Mara ya pili.
Wamama was michicha siwezi kuwafanyia hivyo kwa sababu wengi wanawatoto wawili au familia kubwa
hahaha hiyo kibabe zaid
 
Unajua issue sio kutoka unakuta anarudia kama mara kumi hiv HODII HODIII akijua kama ww umelala kumbe unafanya yako yan kunapatikana kakero flan hiv
Mh! Hodi kama zile za wadada wahudumu wa gest!

Kosa ulipie chumba halafu ubaki ukidai chenji.

Wanatabia ya kuotea, wakihisi kuwa tayari upo 'usingizini' ndiyo hupiga hodi mlangoni kwa fujo kurejesha chenji wakiwa na ajenda nyingine ya kukuharibia mood, sijui huwaga ni wivu ama nini sijui dah!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Luna Dada alikuwa anauza taa za sola.
Nilimvutia ndani akatoa papuchi nikanunua taa moja.
Nikamrudishia taa take akaendelee kuouza kwa Mara ya pili.
Wamama was michicha siwezi kuwafanyia hivyo kwa sababu wengi wanawatoto wawili au familia kubwa
Umenikumbusha kuna mzee m1 alikuwa na hiyo tabia kwa wamama wauza mboga.

Ilikuwa mwanamke akipita na dishi la mboga, mihogo, samaki ama chochote kwake akiuza, humuita ndani na kununua dishi zima kwa mkupuo kwa masharti kama yako hayo, ye'alikuwa ni single na hapiki hapo nyumbani!

Sasa uani pake palijaa bidhaa zilizo haribika bila kutumiwa, mihogo, michicha na kabiji zilizosinyaa nk nk, aliwanasa sana kwa udhaifu huo lakini hakufika mbali 'akaukwaa'.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku moja enzi naishi home,bi mkubwa yupo kwenye maombi yake ya asubuhi nasikia hodiiii,mtu anagonga geti Kama ugomvi,Mie kimya maana Jana yake nimechelewa kulala...bi mkubwa anafika getini anamkuta mama mboga daah alimmind Sana....ki ukweli wanasumbua japo wanasaidia
 
Za asubuhi members,

Jamani kuna haka katabia kakuletewa mboga nyumbani na wale wakina mama wajasiriamali; ni vyema wanapata hela na riziki lakini kuna tabia mtu anapiga hodi utasema anakudai kwa lisauti likubwa zito utasema sasa imekuwa ugomvi au nini.

Sasa mbaya zaidi ndiyo muda ambao unakuta mtu ndiyo upo na mkeo au demu wako.

Mnaoishi nao naomba muwape taarifa sio vizuri, wabishe hodi taratibu na muda wa kuuza mboga sio saa kumi na mbili kamili asubuhi, bado mapema sana hata mtu hujatoka kitandani aise na hujapanga kitu chochote.
Ng'oa maua.. Lima tuta moja la mchicha na Spinach mbele ya nyumba yako.... Hutokaa uwasikie!
 
Back
Top Bottom