Wauza nazi wagomea kuwauzia mashabiki wa Simba

Wauza nazi wagomea kuwauzia mashabiki wa Simba

Unaonesha ulivyokuwa msahaulifu wa hoja. Wewe ulikuwa unabesa matokeo ya Yanga kwasababu hayamfanyi kwenda kushiriki ligi yoyote. Hivyo mimi nilichokifanya ni kukupa jawabu kuwa kwa ushindi ule wa Yanga ni miongoni mwa malengo. Ili kucheza klabu bingwa lazima wapate point tatu kwa Simba na ni jambo ambalo limefanikiwa kwao. Kombe la Azam litabaki kwaajili ya kutafutiana heshima tu lakini tayari kwa upande wa klabu bingwa wameshajihakikishia kwa kupata point tatu kwa Simba hivyo Azam kaachwa point sita
Utashiriki kama bingwa au ? Bila mbeleko nafasi ya 2 si kitu wewe! Shukuru mbeleko.Mbeleko oyeeeeee!
 
Utashiriki kama bingwa au ? Bila mbeleko nafasi ya 2 si kitu wewe! Shukuru mbeleko.Mbeleko oyeeeeee!
Kama nafasi ya pili sio kitu kwanini asiende biashara klabu bingwa? Halafu muwe na uelewa wa mpira na taratibu zake. Simba kapambania mafanikio ya klabu yao ambayo imeiongezea taifa point za kupanda nafasi za juu. Hivyo iliyopata mafanikio ni Simba pamoja na shirikisho mwanachama wa CAF (TFF) hata kwenye champions league ipo hiyo kuna inchi zinaingiza timu mbili uefa zingine zinaingiza timu nne na zingine timu moja tu hiyo yote ni kutokana na matokeo ya klabu za inchi zao. ingekuwa ni swala la mbeleko angechukuliwa timu yoyote ile ikashiriki maana si unambeba tu?
 
Kama nafasi ya pili sio kitu kwanini asiende biashara klabu bingwa? Halafu muwe na uelewa wa mpira na taratibu zake. Simba kapambania mafanikio ya klabu yao ambayo imeiongezea taifa point za kupanda nafasi za juu. Hivyo iliyopata mafanikio ni Simba pamoja na shirikisho mwanachama wa CAF (TFF) hata kwenye champions league ipo hiyo kuna inchi zinaingiza timu mbili uefa zingine zinaingiza timu nne na zingine timu moja tu hiyo yote ni kutokana na matokeo ya klabu za inchi zao. ingekuwa ni swala la mbeleko angechukuliwa timu yoyote ile ikashiriki maana si unambeba tu?
Kwa hiyo unakubali /unajivunia kula jasho la Simba siyo?
 
Kwa hiyo unakubali /unajivunia kula jasho la Simba siyo?
Kwani Simba ndio iliyoifanya Yanga nafasi ya pili mpaka useme wanakula jasho la Simba? Wanakula jasho lao wenyewe
 
Kwani Simba ndio iliyoifanya Yanga nafasi ya pili mpaka useme wanakula jasho la Simba? Wanakula jasho lao wenyewe
Bila Simba kupambana na kufika hatua ya robo fainali ligi ya mabingwa Afrika no. 2 ingewasaidia nini?
 
Bila Simba kupambana na kufika hatua ya robo fainali ligi ya mabingwa Afrika no. 2 ingewasaidia nini?
Unashindwa kuelewa ya kwamba Simba haijaibeba Yanga bali kaibeba taifa kama taifa kwa ujumla. Yeyote angeshika nafasi ya kwanza na ya pili angewakilisha inchi katika klabu bingwa. Hivyo kushika nafasi ya pili kwa Yanga ni jitihada zake binafsi kufikia hapo. Kucheza klabu bingwa kwa timu mbili na shirikisho CAF timu mbili ni matokeo ya Simba kufanya vizuri na kuibeba taifa.
 
Unashindwa kuelewa ya kwamba Simba haijaibeba Yanga bali kaibeba taifa kama taifa kwa ujumla. Yeyote angeshika nafasi ya kwanza na ya pili angewakilisha inchi katika klabu bingwa. Hivyo kushika nafasi ya pili kwa Yanga ni jitihada zake binafsi kufikia hapo. Kucheza klabu bingwa kwa timu mbili na shirikisho CAF timu mbili ni matokeo ya Simba kufanya vizuri na kuibeba taifa.
Unakubali nini na kukataa nini?
 
Haaaa,,,haya bwana naona Utopolo mmefunguliwa midomo sasa.
 
Back
Top Bottom