Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Nna simu feki zitakazozimwa mwezi wa sita,nauza kwa promosheni ambapo unaweza peleka mikoani na kupata hela nzuri tu maana huko si wajanja kabisa,Huko Morogoro,Mbey,Tanga,Mwanza, kigoma ndo zoote unauZa