mukulupapaa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 2,930
- 1,733
Super ni ama S na Note hizo zingne ni vitoto vya sumsungWakuu hivi hizi series za samsung zimekaa vipi....
Ipi ni superior kati ya hizi....na utofauti ni nini,?
A -series....mfano A7
J-series......mfano J7
S-series....mfano S6
Note-series....mfano Note 3
Naombeni ufafanuzi....manake baadaye nataka niende mobile plaza nikavute samsung moja chap
lumia 55O bei 165kLumia Ipi??
chukua laki aseeNina iphone ina iCloud Nauza sh.200,000
535 lumia 150 tuuu njoo PMlumia 55O bei 165k
nicheki 0719908742535 lumia 150 tuuu njoo PM
Sijakuelewa mkuu, yaani upewe Smartphone na laki nne au ubadishane na smartphone yenye thamani ya laki nne?Huawei Ascend G6
Mpya kabisa haijatumika.
Ram 2 GB
Storage 4GB
4G
Mpya ktk boksi lake utapewa kila kitu
Bei 500,000
Au kama kuna mwenye smart phone iliyoko ktk hali nzuri tunaweza kubadilishana kwa 400,000.
Kwa mawasiliano zaidi nicheki PM
Picha
View attachment 406205View attachment 406206View attachment 406207View attachment 406208