Tuelimishe mkuu hiyo icloud ndio kitu gani?Umeambiwa ina iCloud, kama hujaelewa ni vyema ungewauliza wanaojua iCloud ni nini
ICloud ni security ya simu kama unavyoweka password kwenye simu yako sema yenyewe inakuwa accessed na server za Apple(kampuni ya iphone), hivyo mteja anaejali ulinzi wa simu yake pindi anaponunua atajiregister na icloud account, pindi simu yake inapoibiwa anaingia website ya apple kisha anaenda find my phone na anaamua kuilock mazima hivyo mara nyingi simu zinazouzwa zikiwa na icloud lock waweza nunua kama toy la kuchezea watoto au unahitaji spearTuelimishe mkuu hiyo icloud ndio kitu gani?
nauza ipad min ....inatumia line bei chee
ushapata simu, kama bado kuna boom j7 170000/=Nahitaji TECNO Boom J8 nina laki 2 cash
Nauza iPhone 4S kwa Tshs 450,000/=. Au kwa mwenye iPhone 5 au 5S tubadilishane nimpe na cash juu. Anaehitaji anicheck 0767554234
Mkuu pungua kidogo uwafaidishe na wenzako! 450k kwa iphone 4 upo juu sana. Ntafute hiyo 450k mi nakupa iphone 5s safi kabisa!
Mkuu vipi hapo tukifanya na hii iPhone 4S inakuwa part of the deal? Utafanya ngapi?
Iphone 4s huwa nazipata kwa 250k hadi 300k honnestly na zinakuwa ktk hali nzuri.
Okay Mkuu . I will get back to you nikiwa vizuri mkuu
Lete 250,000 nikupe sony zperia z3Nina laki mbili nataka simu smartphone ya 4G isiwe tekno au huawei
Lete 250,000 nikupe sony zperia z3