Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

Tuelimishe mkuu hiyo icloud ndio kitu gani?
ICloud ni security ya simu kama unavyoweka password kwenye simu yako sema yenyewe inakuwa accessed na server za Apple(kampuni ya iphone), hivyo mteja anaejali ulinzi wa simu yake pindi anaponunua atajiregister na icloud account, pindi simu yake inapoibiwa anaingia website ya apple kisha anaenda find my phone na anaamua kuilock mazima hivyo mara nyingi simu zinazouzwa zikiwa na icloud lock waweza nunua kama toy la kuchezea watoto au unahitaji spear
 
Nina tecno G9 tablet,
anaehitaji aje pm
592944bfa98a540c473397432c4f5292.jpg
 
Nauza iPhone 4S kwa Tshs
87424245ad5afd64ca11d33d51503504.jpg
05ca23c082403e7bcf2f2ebcd949800d.jpg
450,000/=. Au kwa mwenye iPhone 5 au 5S tubadilishane nimpe na cash juu. Anaehitaji anicheck 0767554234
 
Nauza iPhone 4S kwa Tshs
87424245ad5afd64ca11d33d51503504.jpg
05ca23c082403e7bcf2f2ebcd949800d.jpg
450,000/=. Au kwa mwenye iPhone 5 au 5S tubadilishane nimpe na cash juu. Anaehitaji anicheck 0767554234


Mkuu pungua kidogo uwafaidishe na wenzako! 450k kwa iphone 4 upo juu sana. Ntafute hiyo 450k mi nakupa iphone 5s safi kabisa!
 
natafuta simu budget yang n 200k nipo dar isiwe techno wala huawei
 
Mkuu vipi hapo tukifanya na hii iPhone 4S inakuwa part of the deal? Utafanya ngapi?

Si rahisi mkuu, hii ukiwa tayari sema nikuletee mzigo, hutajuta. 450k nakupa iphone 5s not iphone 5. Ndio maana nimekwambia punguza kidogo! Uza hiyo walau 250 then jichange 200k ntafute tufanye biashara nipo Dar.

Yoyote anayetaka iphones atapata kwa bei fair maana tukubaliane tu iphones bei zimechangamka.
 
Nauza iphone 5s full box imetumika miezi 2 tu na icloud ni ya kwangu bei 550,000/= anaehitaji aje PM
 
Back
Top Bottom